KOCHA wa Azam Fc,Stewart Halla akiwapa semina elekezi wachezaji wake kabla ya kuanza mtanange kati yao na Coastal Union ambapo timu hizo zilitoka sare ya bao 1-1,Picha zote na Oscar Assenga,Tanga.
KOCHA Mkuu wa Azam Fc,Stewart Hall akiingia uwanja wa Mkwakwani jana kabla ya kuanza mechi ya Ligi kuu Tanzania bara dhidi yao na Coastal Union ambapo timu hizo ziliweza kutoka sare ya kufungana bao 1-1.
MASHABIKI wa Coastal Union wakishangilia baada ya mechi ya Coastal Union na Azam FC kumalizika ambapo timu hizo zilitoka suluhu pacha ya kutokufungana,Picha na Mwandishi Wetu