PICHA ZA GARI LA SH. MILIONI 805 LINALOMILIKIWA NA MTOTO WA BAKHRESA AMBALO LIMEKUJA KWA ODA MAALUM..!!

December 14, 2014

                           
  Gari aina ya Brabus ambayo inayomilikiwa na mmiliki wa klabu ya Manchester City ya England, imeonekana leo Dar es Salaam, lakini ni mali ya Yussuf Bakhresa, mtoto wa bilionea Mtanzania, Alhaj Sheikh Said Salim Awadh Bakhresa. Vyanzo vimesema Yussuf alitoa oda maalum kutengenezewa gari hili na thamani yake jumla si chini ya dola za Kimarekani 500,000 sawa na shiingi milioni 805 za kibongo.


Hii hapa mali ya Yussuf Bakhresa

MAHAFALI YA 12 YA CHUO CHA UHASIBU TANZANIA (TIA) YAFANA, JIJINI DAR ES SALAAM

December 14, 2014


Kikosi cha band cha Jeshi la Magereza kikiongoza maandamano kuelekea uwanjani kwenye mahafali hayo.

 Wahadhiri wa Taasisi hiyo pamoja na mgeni rasimi wakiandamana kwenda uwanjani tayari kwa hafla hiyo.

 Wahitimu wakiandamana kwenda uwanjani tayari kwa hafla hiyo.
Meza kuu

 Mtendaji Mkuu wa Taasisi hiyo, Shah Hanzuruni akizungumza jambo

 
 Wahitimu wa Chuo cha Uhasibu Tanzania (TIA), wakiwa katika mahafali yao hayo.

 Baadhi ya wahitmu wa Chuo hicho, wakitunukiwa shahada zao wakati wa mahafali yao hayo.
 Wahitmu wakitunukiwa shahada zao wakati wa mahafali yao hayo.
 Wahitmu wakitunukiwa shahada zao wakati wa mahafali yao hayo.
 Wahitmu wakitunukiwa shahada zao wakati wa mahafali yao hayo.
 Mdau wetu Nicko Anthony baada ya kula nondo kwenye mahafali ya 12 ya Chuo cha Uhasibu Tanzania (TIA)
 
Mdau wetu Nicko Anthony(wa kwanza kushoto)  akiwa kwenye picha ya pamoja wahitimu wenzake
 Baadhi ya wahitimu wakiwa kwenye picha ya pamoja
  Mdau wetu Nicko Anthony akiwa kwenye picha ya pamoja na Teddy mara baada ya kumalizika kwa sherehe hizo
Baadhi ya wananchi waliofika kwenye mahafari hayo
Justine Kajerero(kushoto) akiwa pamoja na mdau wetu Nicko Anthony