Vijana wakiwa kwenye maandamano kusherehekea siku ya vijana duniani ambayo
hufanyika kila tarehe 12 Agosti . Maadhimisho haya ni ya kwanza Mkoani Tanga .
|
Kundi la burudani liitwalo Msisimko group likitumbuiza
kwa igizo
|
Kundi la Muziki wa kizazi kipya liitwalo Nguvumali group likitumbuiza kwenye
maadhimisho hayo
|
Kaimu Katibu Tawala Bi. Monica Kinara ambaye ni mgeni rasmi katika maadhimisho hayo akiongea na vijana juu ya umuhimu wao katika jamii |
Baadhi ya bidhaa mbalimbali zinazotengenezwa na vijana
wajasiriamali kutoka sehemu mbalimbali za Tanga.
|
Mwanafunzi Yona
Kishosha wa mwaka wa pili kutoka shule
ya ufundi VETA katika fani ya unyoshaji wa bodi za
gari akionyesha moja ya vifaa vya gari
vinavyotengenezwa chuoni hapo.
|
Baadhi ya bidhaa mbalimbali zinazotengenezwa na vijana
wajasiriamali kutoka sehemu mbalimbali za Tanga.
|