Mwanamuziki
Diamond Platnumz na mpenzi wake Zari wakiwasili kwenye uwanja wa ndege
wa Songea tayari kwa kufanya onesho kubwa kwenye sherehe za miaka 38 ya
kuzaliwa kwa CCM zinazofanyika kwenye uwanja wa Majimaji mjini Songea
leo ambapo viongozi mbalimbali wakiongozwa na Mwenyekiti wa chama hicho
Dr. Jakaya Kikwete.PICHA NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE-SONGEA.
Diamonda Plutnamz akiongozana na mpenzi wake Zari wakiondoka kwenye uwanja wa ndege wa Songea kuelekea hotelini.
Diamond Plutnamz akifanya vitu vyake kwenye uwanja wa Majimaji mjini Songea wakati wa sherehe za miaka 38 ya CCM.