DIAMOND PLUTNAMZ ATUA NA MPENZI WAKE ZARI MJINI SONGEA

February 01, 2015


Diamonda Plutnamz akiongozana na mpenzi wake Zari wakiondoka kwenye uwanja wa ndege wa Songea kuelekea hotelini. 3 
Mkuu wa wilaya ya Songea Bw.Joseph Mkirikiti akisalimiana na Zari Mpenzi wa Diamond Plutn 4 5 6 
Diamond Plutnamz akifanya vitu vyake kwenye uwanja wa Majimaji mjini Songea wakati wa sherehe za miaka 38 ya CCM. 7 8 9 
Diamond Plutnamz akiima pamoja na mwanamuziki Abdul Misambano wa kundi la TOT katika sherehe za miaka 38 ya CCM mjini Songea mchana huu. 10 
Umati wa wananchi waliohudhuria katika uwanja huo  11

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »