RC GALLAWA AKABIDHI ZAWADI ZA KRISMAS NA MWAKA MPYA ZILIZOTOKA KWA JK KWA MAKAZI YA WAZEE WASIOJIWEZA MISUFINI MUHEZA.

December 24, 2013

                                    
 
Na Mbaruku Yusuph,Muheza.
 IMEWEKWA DESEMBA 24 SAA 3:26 MCHANA.
 MKUU wa Mkoa wa Tanga, Luteni Mstaafu Chiku Gallawa leo amekabidhi zawadi za sikukuu ya Krismas na mwaka mpya kutoka kwa Mh.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanga Dkt Jakaya Mrisho Kikwete katika eneo la makazi ya wazee wasiojiweza la Misufini kata ya Ngomeni wilayani Muheza

Zawadi zilizokabidhiwa na Mkuu wa Mkoa Gallawa ni mchele kilo 150,mbuzi watatu(3) na Mafuta ya Chakula lita 40,michezo ya sabuni pamoja na katoni moja y chumivi vyote vikiwa na thamani ya sh.615,000.

RC CHIKU GALLAWA AKABIDHI ZAWADI ZA KRISMAS NA MWAKA MPYA ZILIZOTOKA KWA RAIS KIKWETE.

December 24, 2013
MKUU WA MKOA WA TANGA,LUTENI MSTAAFU CHIKU GALLAWA AKISALIMIANA NA WAZEE WASIOJIWEZA WANAOISHI KATIKA KITUO CHA MSUFINI KATA YA NGOMENI WILAYANI MUHEZA LEO WAKATI ALIPOKWENDA KUKABIDHI ZAWADI ZA KRISMAS NA MWAKA MPYA ZILIZO TOKA KWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA,DKT JAKAYA MRISHO KIKWETE LEO

MKUU WA WILAYA YA MUHEZA,SUBIRA MGALU AKIZUNGUMZA WAKATI WA MAKABIDHIANO HAYO LEO KABLA YA KUUMKARIBISHA MKUU WA MKOA WA TANGA,LUTENI MSTAAFU CHIKU GALLAWA.

MKUU WA MKOA WA TANGA,LUTENI MSTAAFU CHIKU GALLAWA AKIZUNGUMZA NA WAZEE WA KITUO HICHO BAADA YA KUKABIDHI ZAWADI HIZO.

BAADHI YA VITU ALIVYOKABIDHI MKUU WA MKOA WA TANGA.

MKUU WA MKOA WA TANGA KULIA ALIYEINAMA AKIMKABIDHI MWENYEKITI WA KITUO HICHO JUMA BAKARI ZAWADI ZILIZOTOLEWA NA MH.RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA,JAKAYA MRISHO KIKWETE KWA AJILI YA SIKUU YA KRISMAS NA MWAKA MPYA

MKUU WA MKOA WA TANGA,LUTENI MSTAAFU CHIKU GALLAWA KULIA AKISISITIZA JAMBO MARA BAADA YA KUKABIDHI ZAWADI HIZO KUSHOTO NI MKUU WA WILAYA YA MUHEZA,SUBIRA MGALU.


ZAWADI ZA MBUZI ZILIZOKABIDHIWA KWENYE KITUO CHA KULELEA WAZEE WASIOJIWEZA CHA MSUFINI KATA YA NGOMENI WILAYANI MUHEZA AMBAZO ZILITOKA KWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANI WA TANZANIA,DKT JAKAYA MRISHO KIKWETE.PICHA ZOTE NA MBARUKU YUSUPH MUHEZA.

IMEWEKWA LEO DESEMBA 24 SAA 03:19