Na Mbaruku Yusuph,Muheza.
IMEWEKWA DESEMBA 24 SAA 3:26 MCHANA.
MKUU wa Mkoa wa Tanga, Luteni Mstaafu Chiku Gallawa leo amekabidhi zawadi za sikukuu ya Krismas na mwaka mpya kutoka kwa Mh.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanga Dkt Jakaya Mrisho Kikwete katika eneo la makazi ya wazee wasiojiweza la Misufini kata ya Ngomeni wilayani Muheza
Zawadi zilizokabidhiwa na Mkuu wa Mkoa Gallawa ni mchele kilo 150,mbuzi watatu(3) na Mafuta ya Chakula lita 40,michezo ya sabuni pamoja na katoni moja y chumivi vyote vikiwa na thamani ya sh.615,000.
IMEWEKWA DESEMBA 24 SAA 3:26 MCHANA.
MKUU wa Mkoa wa Tanga, Luteni Mstaafu Chiku Gallawa leo amekabidhi zawadi za sikukuu ya Krismas na mwaka mpya kutoka kwa Mh.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanga Dkt Jakaya Mrisho Kikwete katika eneo la makazi ya wazee wasiojiweza la Misufini kata ya Ngomeni wilayani Muheza
Zawadi zilizokabidhiwa na Mkuu wa Mkoa Gallawa ni mchele kilo 150,mbuzi watatu(3) na Mafuta ya Chakula lita 40,michezo ya sabuni pamoja na katoni moja y chumivi vyote vikiwa na thamani ya sh.615,000.