Oscar Assenga,Tanga.
MADEREVA maarufu 20 wa mbio za magari wa mkoa wa Tanga wakiwamo wanawake wawili kesho Jumapili watachuana vikali katika michuano ya “Chillly Will 77 Sprint Rally “.
Mwenyekiti wa Chama cha Mbio za Magari Mkoa wa Tanga,Hussein Moor(Makoroboi) alisema kuwa mgeni rasmi katika michuano hiyo atakuwa Mkuu wa Wilaya ya Tanga,Halima Dendego.
Alisema michuano hiyo itaanza kayofanyikia Pongwe nje kidogo ya mji wa Tanga katika eneo la viwanda.
Aliwataja washiriki wa michuano hiyo kuwa ni pamoja na Ally
Kiraka,Twalib Hatib,Said Baghoza,Tonny Kurban,Utu Nirmal,Akida Saad,Ally Asgar Papuu,Shani Abbas,Nail Nail Haria Alli Hamud,Hashim Ramzani na Faizn Ramzani.
Meneja Uhusiano wa kinywaji cha Chilly Willy,Meshack Nzowa alisema kuwa wameamua kudhamini mashindano hayo ili kutoa burudani kwa wakazi wa Jiji la Tanga lakini pia kuhamasisha vijana kushiriki mbio za magari.
MWISHO
MADEREVA maarufu 20 wa mbio za magari wa mkoa wa Tanga wakiwamo wanawake wawili kesho Jumapili watachuana vikali katika michuano ya “Chillly Will 77 Sprint Rally “.
Mwenyekiti wa Chama cha Mbio za Magari Mkoa wa Tanga,Hussein Moor(Makoroboi) alisema kuwa mgeni rasmi katika michuano hiyo atakuwa Mkuu wa Wilaya ya Tanga,Halima Dendego.
Alisema michuano hiyo itaanza kayofanyikia Pongwe nje kidogo ya mji wa Tanga katika eneo la viwanda.
Aliwataja washiriki wa michuano hiyo kuwa ni pamoja na Ally
Kiraka,Twalib Hatib,Said Baghoza,Tonny Kurban,Utu Nirmal,Akida Saad,Ally Asgar Papuu,Shani Abbas,Nail Nail Haria Alli Hamud,Hashim Ramzani na Faizn Ramzani.
Meneja Uhusiano wa kinywaji cha Chilly Willy,Meshack Nzowa alisema kuwa wameamua kudhamini mashindano hayo ili kutoa burudani kwa wakazi wa Jiji la Tanga lakini pia kuhamasisha vijana kushiriki mbio za magari.
MWISHO