WAZIRI KAMWELWE AFUNGUA MKUTANO WA MWAKA WA WADAU WANAOTOA HUDUMA YA MAJI NCHINI JIJINI TANGA LEO

November 23, 2017
 Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhandisi Isack Kamwelwe akizungumza wakati akifungua mkutano wa mwaka wa wadau wanaotoa huduma za maji nchini leo kwenye Ukumbi wa Hotel ya Tanga Beach Jijini Tanga
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji Proffessa Kitila Mkumbo akizungumza katika mkutano huo
 Mwenyekiti wa ATAWAS,Mhandisi Mkama Manyama Bwire akizungumza katika mkutano huo
 Waziri wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji Mhandisi Isack Kamwelwe kulia katikati Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji Proffessa Kitila Mkumbo kushoto ni Mwenyekiti wa ATAWAS Mhandisi Mkama Manyama Bwire wakifuatilia mkutano huo
 Waziri wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji Mhandisi Isack Kamwelwe kulia katikati Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji Proffessa Kitila Mkumbo kushoto ni Mwenyekiti wa ATAWAS Mhandisi Mkama Manyama Bwire wakifuatilia mkutano huo
 Aliyekuwa Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Jijini Tanga (Tanga Uwasa) Mhandisi Joshua Mgeyekwa anayehamia Mkoani Shinyanga akifuatilia kwa umakini hotuba ya Waziri wa Maji na Umwagiliaji,Mhandisi Isack Kamwelwe.
Afisa Mtendaji Mkuu DAWASCO Mhandisi Cyprian Luhemeja kulia akiwa kwenye mkutano huo ambao ulifanyika kwenye ukumbi wa Hotel ya Tanga Beach Resort Jijini Tanga
 Sehemu wa wajumbe  wa mkutano huo wakifuatilia kwa makini hotuba ya Waziri wa Maji na Umwagiliaji,Mhandisi Isack Kamwelwe leo wakati akiufungua uliofanyika kwenye ukumbi wa Hotel ya Tanga Beach Resort Mjini Tanga
 Mmmoja kati ya washiriki wa kikao hicho akijitambulisha kabla ya kuanza mkutano huo
 Mmoja wa washiriki wa mkutano huo akijitambulisha kabla ya kuanza
 Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhandisi Isack Kamwelwe katika akiwa kwenye picha ya pamoja na wajumbe wa mkutano huo kushoto ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji Proffessa Kitila Mkumbo kulia ni Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Thobias Mwilapwa ambaye pia ni Mkuu wa wilaya ya Tanga.
 Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhandisi Isack Kamwelwe kulia akiteta jambo na mmoja wa wadau wa mkutano huo mara baada ya kupiga picha ya pamoja
 Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhandisi Isack Kamwelwe katikati akiteta jambo na Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Tanga ambaye ni Mkuu wa wilaya ya Tanga,Thobias Mwilapwa mara baada ya kufungua mkutano huo kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Wizara ya Maji na Umwagiliaji,Athumani Shariff
Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhandisi Isack Kamwelwe akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kufungua mkutano huo unaofanyika kwenye hotel ya Tanga Beach Resort Mjini Tanga

10 YEARS ANNIVERSARY OF BANK OF AFRICA-TANZANIA

November 23, 2017
The guest of honor; Honorable Charles Mwijage, Minister of Industries, Trade and Investment giving out the speech at the Bank’s 10 years’ anniversary event, yesterday at Serena Hotel.

CEO and Managing Director of BANK OF AFRICA- TANZANIA, Mr. Ammishaddai Owusu-Amoah giving out his very exciting and energetic speech during the 10 years’ corporate anniversary event, which took place yesterday at Serena Hotel.

Deputy Managing Director of BANK OF AFRICA –TANZANIA, Mr. Wasia Mushi giving out his opening remarks and introducing the entire BANK OF AFRICA team present at the 10 years’ corporate anniversary event, which took place yesterday at Serena Hotel.

CEO and Managing Director of BANK OF AFRICA- TANZANIA, Mr. Ammishaddai Owusu-Amoah hands over a copy of his speech to the guest of honor; Honorable Charles Mwijage, Minister of Industries, Trade and Investment.

The guest of honor; Honorable Charles Mwijage, Minister of Industries, Trade and Investment in jovial moment while listening to the speech from CEO and Managing Director of BANK OF AFRICA- TANZANIA, Mr. Ammishaddai Owusu-Amoah. To his left hand side is the Board Chairperson of BANK OF AFRICA-TANZANIA, Ambassador Mwanaidi S. Maajar.

The guest of honor; Honorable Charles Mwijage, Minister of Industries, Trade and Investment, accompanied by the Board Chairperson of BANK OF AFRICA-TANZANIA, Ambassador Mwanaidi S. Maajar and CEO and Managing Director of BANK OF AFRICA- TANZANIA, Mr. Ammishaddai Owusu-Amoah to take part in a great spread of amazing foods available at the event yesterday.
The guest of honor; Honorable Charles Mwijage, Minister of Industries, Trade and Investment together with Board Chairperson of BANK OF AFRICA-TANZANIA, Ambassador Mwanaidi S. Maajar and CEO and Managing Director of BANK OF AFRICA- TANZANIA, Mr. Ammishaddai Owusu-Amoah; in group photo with a section of esteemed clients of the Bank who attended the corporate 10 years anniversary dinner gala.

Tamasha la Tigo Fiesta kufanyika Jumamosi Jijini Dar

November 23, 2017
 Mkurugenzi wa Huduma za Masoko Tigo, William Mpinga(katikati) akifafanua jambo wakati akizungumza na waandishi wa habari kwenye mkutano wa kutambulisha wasanii watakaopanda katika jukwaa la Tigo Fiesta siku ya jumamosi viwanja vya Leaders jijini Dar Es Salaam leo mchana. Kulia ni Mwenyekiti wa kamati ya Tigo Fiesta, Sebastian Maganga na wengine ni wasanii.
Msanii Ben Pol akizungumza na waandishi wa Habari kwa niaba ya wasanii wa kiume

WAZIRI HARRISON MWAKYEMBE AZINDUA MICHUANO YA SHIMUTA IRINGA

November 23, 2017
 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe akiwa pamoja na mkuu wa mkoa wa Iringa bi Amina Masenza jukwaa kuu akiwahutubia wanamichezo waliojitokeza kushiriki michuano ya SHIMUTA

 Baadhi ya wanamichezo walikuwa wakifurahia jambo baada ya waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe kuzindua rasmi mashindano hayo


Michuano ya SHIMUTA inayohusisha wafanyakazi wa mashirika ya umma, kampuni za watu binafsi na taasisi zilizopo hapa nchini imezinduliwa rasmi mkoani Iringa huku washiriki wakiwataka waajiri kuwaruhusu wafanyakazi kushiriki katika michezo huku waziri mwenye dhamana ya michezo akitoa onyo kwa mamluki.

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe amezionya timu ambazo zinashiriki kwenye michuano ya Shirikisho la Michezo la Mashirika ya Umma na Kampuni Binafsi Nchini (SHIMUTA) kuacha kuchukua wachezaji ambao sio wafanyakazi  kwani kufanya hivyo kunapunguza ladha ya mashindano hayo.                                

Mwakyembe alisema kuwa michezo hujenga undugu na furaha baina ya wanamichezo hivyo kuwaingiza wachezaji ambao sio wafanyakazi kwenye mashindano hayo wataondoa maana halisi ya mashindano hayo jambo ambalo linaweza kuwafanya kushindwa kufikia malengo yao waliojiwekea. 

  “Mashindano haya ni ya wanamichezo wafanyakazi…kuna wale wanamichezo ambao sio wafanyakazi ambao wanajulikana kama mamluki au wavamizi kwamba hapa sio mahala pao nawasihi tuchezeshe wafanyakazi halisi ili mshindi apatikane kihalali na sio vyenginevyo….. kwa sababu ni hatari sana kumleta mwanamichezo ambaye sio mfanyakazi kwenye michezo hii anaweza kuvunjika mguu au akifa kwa mfano hatuombei itokee hiyo itakuwaje “Alisema Mwakyembe

Aidha Mwakyembe alizitaka timu hizo kuacha kuwatumia wachezaji wa aina hiyo kwani wana madhara makubwa hasa pale yanapokuwa yakijitokeza kwa kuzitaka timu zenye utamaduni huo kuhakikisha wanaondokana nao. 

Hata hivyo waziri Mwakyembe alionekana kukerekwa na baadhi ya menejimenti za Taasisi,Mashirika na makampuni mbalimbali kuwa na utashi wa kutokupenda michezo na wengine kwa kisingizio cha ukosefu wa fedha kuacha kufanya hivyo badala yake wamuunge mkono Rais Jakaya Kikwete katika jitihada zake za kuinua na kuendeleza michezo hapa nchini. 

Akizungumzia waamuzi wanaochezesha mashindano hayo, Mwakyembe aliwataka kuchezesha kwa haki bila upendeleo kwa kufuata sheria za mchezo husika ili mshindi aweze kupatikana kihalali kwa sababu wakienda kunyume chake wanaweza kusababisha tafrani na manung’uniko kwa baadhi ya timu shiriki. 

Hali kadhalika aliwataka kuhakikisha wanakuwa na nidhamu ya hali ya juu wakati wote wa mashindano ikiwemo kukubaliana na matokeo pindi watakapojikuta wamefungwa wakati wa mashindano hayo. 

Naye Mwenyekiti wa Shimuta, Khamis Mkanachi alisema kuwa kupungua kwa idadi ya timu shiriki kunatokana na baadhi ya mashirika kubinafsishwa hali ambayo imepelekea timu nyingi kushindwa kupata nafasi ya kupeleka washiriki wake lakini pamoja na kuwepo hali hiyo shirikisho hilo limendelea na jitihada za ziada kuhakikisha idadi ya timu hizo haipungui bali kuongezeka. 

Nao baadhi ya washiriki wameeleza sababu ya baadhi ya waajiri wasio na mapenzi na michezo kushindwa kutoa hamasa sehemu za kazi kwa kutokujua faida zitokanazo na michezo.

 Ni wajibu wa viongozi kuinua na kuendeleza michezo mahala pa kazi “ni kauli mbiu yenye lengo la kuhamasisha ushiriki wa michezo kwa watumishi kwa lengo la kukutanisha wafanyakazi wa idara tofauti na kubadilishana uzoefu wa kikazi lakini kubwa zaidi ni kujenga afya kwa kupitia michezo.

SHIMUTA ni Shirikisho la Michezo la mashirika ya Umma Taasisi, na kampuni binafsi hapa nchini, lililoanzishwa na serikali ili kuhimiza michezo mahala pa kazi.