SERIKALI YA JAPAN YAIPATIA MSAADA WA DOLA LAKI 1.4 HALMASHAURI YA WILAYA YA MONDULI

March 06, 2015

Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akiongozana na mwenyeji wake ambaye ni Kaimu Balozi wa Japan nchini Tanzania,Mh. Kazuyoshi Matsunaga wakati alipowasili nyumbani kwa Balozi huyo,Masaki Jijini Dar es salaam,kulikofanyika hafla fupi ya kusaini mkataba wa makubaliano wa kufanikisha Miradi miwili iliyopo kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Monduli,jijini Arusha.Serikali ya Japan imeipatia Halmashauri hiyo dola za kimarekani 142,251 (sawa na Shilingi Milioni 250) kwa ajili ya kufanikisha miradi hiyo.PICHA ZOTE NA OTHMAN MICHUZI.
Kaimu Balozi wa Japan nchini Tanzania,Mh. Kazuyoshi Matsunaga (kushoto) akionyesha kitu kwenye karatasi kwa Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa pamoja Mbunge wa Viti Maalum - Monduli,Mh. Namelock Sokoine,wakati wa hafla fupi ya kusaini mkataba wa makubaliano wa kufanikisha Miradi miwili iliyopo kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Monduli,jijini Arusha.Serikali ya Japan imeipatia Halmashauri hiyo dola za kimarekani 142,251 (sawa na Shilingi Milioni 250) kwa ajili ya kufanikisha miradi hiyo.
Kaimu Balozi wa Japan nchini Tanzania,Mh. Kazuyoshi Matsunaga akitoa hotuba yake mbele ya Ujumbe wa Wilaya ya Monduli pamoja na Waandishi wa habari wakati wa hafla fupi ya kusaini mkataba wa makubaliano wa kufanikisha Miradi miwili iliyopo kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Monduli,jijini Arusha.Serikali ya Japan imeipatia Halmashauri hiyo dola za kimarekani 142,251 (sawa na Shilingi Milioni 250) kwa ajili ya kufanikisha miradi hiyo.
Kaimu Balozi wa Japan nchini Tanzania,Mh. Kazuyoshi Matsunaga (kulia) na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli,Twalib Mbasha wakisaini mkataba wa makubaliano wa kufanikisha Miradi miwili iliyopo kwenye Halmashauri ya Monduli.Serikali ya Japan imeipatia Halmashauri hiyo dola za kimarekani 142,251 (sawa na Shilingi Milioni 250) kwa ajili ya kufanikisha miradi hiyo.Wengine pichani ni Mbunge wa Viti Maalum - Monduli,Mh. Namelock Sokoine (katikati),Mwenyekiti wa Halmashauri ya Monduli,Edward Sapunyu pamoja na Afisa wa Mambo ya Nje na Mkuu wa Idara ya Miradi wa Ubalozi wa Japan nchini,Takashi Higuchi.
Kaimu Balozi wa Japan nchini Tanzania,Mh. Kazuyoshi Matsunaga (kulia) na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli,Twalib Mbasha wakibadilishana mikataba mara baada ya kuisaini,wakati wa hafla ya fupi iliyofanyika leo nyumbani kwa Balozi huyo,Masaki jijini Dar.Serikali ya Japan imeipatia Halmashauri ya Monduli dola za kimarekani 142,251 (sawa na Shilingi Milioni 250) kwa ajili ya kufanikisha miradi miwili ya wilaya hiyo.Wengine pichani ni Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa (kulia) Mbunge wa Viti Maalum - Monduli,Mh. Namelock Sokoine pamoja na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Monduli,Edward Sapunyu.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akiteta jambo na Kaimu Balozi wa Japan nchini Tanzania,Mh. Kazuyoshi Matsunaga wakati wa hafla fupi ya kusaini mkataba wa makubaliano wa kufanikisha Miradi miwili iliyopo kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Monduli,jijini Arusha.Serikali ya Japan imeipatia Halmashauri hiyo dola za kimarekani 142,251 (sawa na Shilingi Milioni 250) kwa ajili ya kufanikisha miradi hiyo.
Mbunge wa Viti Maalum - Monduli,Mh. Namelock Sokoine akitoa akizungumza machache mbele ya Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa,Kaimu Balozi wa Japan nchini Tanzania,Mh. Kazuyoshi Matsunaga pamoja na waandishi wa habari (hawapo pichani).
Picha ya pamoja.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akiagana na Kaimu Balozi wa Japan nchini Tanzania,Mh. Kazuyoshi Matsunaga mara baada ya hafla hiyo.

Wizara ya Mambo ya Nje yajipanga kutekeleza Sera ya Elimu n Mafunzo ya Mwaka 2014

March 06, 2015

Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Prof.Sifuni Mchome akiwasilisha mada kuhusu Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014 kwa Watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa katika warsha fupi iliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa  Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam tarehe 06 Machi, 2015.

Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati katika  Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirkiano wa Kimataifa, Balozi Simba Yahya (kushoto) akiwa na Mkurugenzi Idara ya Asia na Austaralasia, Balozi Mbelwa Kairuki (katikati) na Mkurugenzi Msaidizi katika Idara ya Sera na Mipango  Bw. Joachim Otaro wakifuatilia kwa makini warsha hiyo
Sehemu ya Watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wakimsikiliza Prof. Mchome ambaye hayupo pichani wakati akiwasilisha mada kuhusu Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014
 Prof. Mchome akiendelea na mada yake

KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA NA UJUMBE WAKE AENDELEA NA ZIARA YAKE JIMBO LA KONGWA MKOANI DODOMA.

March 06, 2015


Baadhi ya Wananchi wa kijiji cha Mkoka wakitazama Msafara wa Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana na ujumbe wake ukikatiza kwenye moja ya daraja wakati wakielekea katika kijiji hicho cha Mkoka,Wilayani Kongwa mkoani Dodoma,Ndugu kinana aliweka jiwe la msingi la kitega uchumi cha tawi la CCM pamoja na kufungua Ofisi ya CCM Tawi la Mkoka
 Mamia ya Wananchi wa kijiji cha Mkoka wakiwa wamejitokeza kwa wingi kwenye uwanja wa kijiji hicho kumsikiliza Katibu Mkuu waa CCM,Ndugu Kinana na Ujumbe wake katika mkutano wa hadhara uliofanyika leo,wilayani Kongwa mkoani Dodoma.
Kikundi cha ngoma ya asili ya Kigogo,kiitwacho KIFARU kitumbuiza katika uwanja wa kijiji cha Mkoka kabla ya mkutano wa hadhara kuanza.
Mbunge wa jimbo la Kongwa na Naibu Spika wa Bunge,Mh.Job Ndugai akiwahutubia wakazi wa kijiji cha Mkoka,kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika jioni ya leo wilayani Kongwa mkoani Dodoma.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiwahutubia wakazi wa kijiji cha Mkoka,kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika jioni ya leo wilayani Kongwa mkoani Dodoma.
Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia mamia ya wakazi wa kijiji cha Mkoka jioni ya leo kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwaja wa kijiji cha Mkoka,Wilayani Kongwa mkoani Dododoma.Ndugu Kinana akiwa amembatana na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Taifa,Nape Nnauye anaendelea na ziara yake ya siku tisa mkoani humo,akikagua na kuhimiza utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 ikiwemo sambamba na kuimarisha uhai wa chama,kusikiliza matatizo ya Wananchi na kuyatafutia ufumbuzi.
Mamia ya wakazi wa kijiji cha Mkoka wakishangilia jambo wakati
Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana alipokuwa akiwahutubia jioni ya leo katika mkutano wa hadhara Wilayani Kongwa mkoani Dododoma.Ndugu Kinana akiwa amembatana na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Taifa,Nape Nnauye anaendelea na ziara yake ya siku tisa mkoani humo,akikagua na kuhimiza utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 ikiwemo sambamba na kuimarisha uhai wa chama,kusikiliza matatizo ya Wananchi na kuyatafutia ufumbuzi.
 Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana pamoja na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye wakiwa wamefuatana na wananchi walipokuwa wakiwasili katika uwanja wa Mkoka kwa ajili ya kufanya mkutano wa hadhara,mbali ya Uongozi huo wa juu wa CCM,pia waliambatana Mbunge wa jimbo la Kongwa Mh.Job Ndugai,Mkuu wa Mkoa wa Dodoma,Mh.Chiku Galawa,Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dodoma,Mh.Addam Kimbisa pamoja na viongozi wengine wa wilaya.
Baadhi ya akina mama wa kijiji cha Chamae kata ya Hogolo wakimkaribisha Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana na ujumbe wake,wilayani Kongwa.
Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana pichani juu ya jengo akiwa sambamba na Mbunge wa jimbo la Kongwa Mh.Job Ndugai wakishiriki ujenzi wa zahanati ya kijiji cha Njoge,Kata ya Njoge pamoja na kusalimia Wananchi wa eneo hilo.
Jengo la zahanati hiyo ya Kijiji cha Njoge kama lionekavyo kwa nje,ujenzi wake ukiendelea kwa kasi.
Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akiwasalimia wananchi wa kijiji cha Njoge,mara baada ya kushiriki ujenzi wa Zahanati ya kijiji hicho,wilayani Kongwa,mkoani Dodoma.
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dodoma,Mh Adam Kimbisa akizungumza mbele ya wanakijiji cha Njoge na  kumkaribisha Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Kinana kwa ajili ya kuwasalimia na kuzisikiliza kero zao.
katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akisalimiana na baadhi ya viongozi wa dini,wakati alipokuwa akiwasili katika kijiji cha Njoge,wilayani Kongwa kwa ajili ya kushiriki ujenzi wa Zahanati ya kijiji na kusikiliza matatizo ya Wananchi hao.
Mbunge wa jimbo la Kongwa Mh.Job Ndugai akifafanua jambo kwa Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana mara baada ya kushiriki ujenzi wa dara la shule ya msingi Mlali,katika kijiji cha Mlali Wilayani Kongwa.
Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akishiriki ujenzi wa matofali kwa ajili ya darasa la shule ya msingi Mlali,katika kijiji cha Mlali Wilayani Kongwa,anaeshuhudia kushoto kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma,Mh Chiku Galawa.
Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akizindua mradi wa maji katika kijiji cha Mlali Wilayani Kongwa,mradi huo uliogharimu zaidi ya shilingi milioni mia sita ulianza kujengwa mnamo mwaka 2013 na kutarajiwa kumalizika mei 2014,lakini kwa bahati mbaya mradi huo haukukamilika kwa wakati kutokana na ukosefu wa fedha.Mbunge wa jimbo hilo la Kongwa,Mh.Ndugai alieleza kuwa mradi huo kwa sasa umekwishakamilika kwa asilimia tisini na kwamba mradi huo wa maji safi na salama utawanufaisha wanakijiji wapatao mia saba na zaidi.
Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akitoka kushiriki kupalilia shamba la kijiji katika Kata ya Iduo,wilayani Kongwa
Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana wa pilia shoto akishiriki kupalilia shamba la kijiji la Alizeti katika Kata ya Iduo,wilayani Kongwa,shoto kwake ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dodoma,Mh.Adam Kimbisa.

KITWANGA AHIMIZA UBUNIFU, UZALENDO KWA SEKTA YA MADINI

March 06, 2015

Kaimu Kamishna Msaidizi wa Madini, Sehemu ya Uchumi na Biashara ya Madini, Aloyce Tesha (Kulia) akitoa maelezo kwa Naibu Waziri wa Nishati na Madini (Madini), Charles Kitwanga (Kushoto) kuhusu utendaji kazi katika sekta hiyo. Naibu Waziri Kitwanga aliwatembelea Watumishi wa Idara ya Madini kuzungumza nao na kukagua utendaji kazi wao.
Naibu Waziri wa Nishati na Madini (Madini), Charles Kitwanga (wa kwanza Kulia), akifafanua jambo kwa Viongozi wa Idara ya Madini alipokutana nao kujadili utendaji kazi katika sekta hiyo. Naibu Waziri Kitwanga aliwatembelea Watumishi wa Idara ya Madini kuzungumza nao na kukagua utendaji kazi wao.
Naibu Waziri wa Nishati na Madini (Madini), Charles Kitwanga (Katikati) akizungumza na baadhi ya Wafanyakazi wa Idara ya Madini alipowatembelea kujionea utendaji kazi katika Idara hiyo.
Naibu Waziri wa Nishati na Madini (Madini) (wa tatu kutoka Kushoto), akimsikiliza Kamishna Msaidizi wa Madini, Sehemu ya Kuendeleza Uchimbaji Madini mdogo, Julius Sarota (wa pili kutoka Kushoto), akitoa maelezo kuhusu utendaji kazi wa sekta hiyo pamoja na kuwatambulisha baadhi ya watumishi wa sekta husika. Naibu Waziri Kitwanga aliwatembelea Watumishi wa Idara ya Madini kuzungumza nao na kukagua utendaji kazi wao.
Naibu Waziri wa Nishati na Madini (Madini) (wa pili kutoka Kushoto) akimweleza jambo Kamishna Msaidizi wa Madini anayesimamia Uratibu kazi za Madini, John Shija (wa kwanza Kushoto), alipomtembelea Ofisini kwake hivi karibuni kukagua utendaji kazi wa Sehemu hiyo na Idara husika. Wengine pichani ni Kamishna Msaidizi wa Madini, Sehemu ya Kuendeleza Uchimbaji Madini mdogo, Julius Sarota (Kulia) na Kamishna Msaidizi wa Madini, Sehemu ya Baruti, Mhandisi Oforo Ngowi (wa pili kutoka Kulia).
Naibu Waziri wa Nishati na Madini (Madini), Charles Kitwanga akitia saini Kitabu cha Wageni cha Shirika la Madini la Taifa (STAMICO), alipotembelea Makao Makuu ya Shirika hilo jijini Dar es Salaam kuzungumza na wafanyakazi na kujionea utendaji kazi wao. Anayeshuhudia ni Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa STAMICO, Mhandisi Edwin Ngonyani.
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Madini la Taifa (STAMICO), Mhandisi Edwin Ngonyani (aliyesimama) akiwasilisha taarifa ya utendaji kazi wa Shirika hilo kwa Naibu Waziri wa Nishati na Madini (Madini), Charles Kitwanga (wa kwanza Kulia). Naibu Waziri Kitwanga alitembelea Makao Makuu ya STAMICO hivi karibuni kuzungumza na wafanyakazi na kujionea utendaji kazi wao.
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Madini la Taifa (STAMICO), Mhandisi Edwin Ngonyani (aliyesimama), akiwasilisha taarifa ya utendaji kazi wa Shirika hilo kwa Naibu Waziri wa Nishati na Madini (Madini), Charles Kitwanga (katikati). Naibu Waziri Kitwanga alitembelea Makao Makuu ya STAMICO hivi karibuni kuzungumza na wafanyakazi na kujionea utendaji kazi wao.
Wafanyakazi wa Shirika la Madini la Taifa (STAMICO), wakimsikiliza Naibu Waziri wa Nishati na Madini (Madini), Charles Kitwanga (hayupo pichani), aliyewatembelea hivi karibuni kuzungumza nao na kujionea utendaji kazi wao.
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Madini la Taifa (STAMICO), Mhandisi Edwin Ngonyani (aliyesimama), akiwasilisha taarifa ya utendaji kazi wa Shirika hilo kwa Naibu Waziri wa Nishati na Madini (Madini), Charles Kitwanga (katikati). Naibu Waziri Kitwanga alitembelea Makao Makuu ya STAMICO hivi karibuni kuzungumza na wafanyakazi na kujionea utendaji kazi wao.
Naibu Waziri wa Nishati na Madini (Madini), (Katikati) akisisitiza jambo kwa wafanyakazi wa Shirika la Madini la Taifa (STAMICO), alipowatembelea hivi karibuni kuzungumza nao na kujionea utendaji kazi wao.
Ofisa Uhusiano wa Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) Issa Mtuwa (aliyesimama), akitoa maoni kuhusu uboreshaji wa Shirika hilo kwa Naibu Waziri wa Nishati na Madini (Madini), Charles Kitwanga (hayupo pichani). Naibu Waziri Kitwanga alitembelea Makao Makuu ya STAMICO hivi karibuni kuzungumza na wafanyakazi na kujionea utendaji kazi wao.
Mmoja wa watumishi wa Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) Justin Henry Kasanga (aliyesimama), akitoa maoni kuhusu uboreshaji wa Shirika hilo kwa Naibu Waziri wa Nishati na Madini (Madini), Charles Kitwanga (hayupo pichani). Naibu Waziri Kitwanga alitembelea Makao Makuu ya STAMICO hivi karibuni kuzungumza na wafanyakazi na kujionea utendaji kazi wao.
Mmoja wa watumishi wa Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) Mohamed Omari Kaunya (aliyesimama), akitoa maoni kuhusu uboreshaji wa Shirika hilo kwa Naibu Waziri wa Nishati na Madini (Madini), Charles Kitwanga (hayupo pichani). Naibu Waziri Kitwanga alitembelea Makao Makuu ya STAMICO hivi karibuni kuzungumza na wafanyakazi na kujionea utendaji kazi wao.
Kaimu Kamishna Msaidizi wa Madini, Kanda ya Mashariki, Getty Masawe (wa pili kutoka Kulia), akijadiliana jambo na Naibu Waziri wa Nishati na Madini (Madini), (wa pili kutoka Kushoto). Naibu Waziri Kitwanga alitembelea Ofisi hizo hivi karibuni kuzungumza na wafanyakazi na kujionea utendaji kazi wao.
Mhandisi Migodi wa Ofisi ya Madini, Kanda ya Mashariki, Joseph Ng’itu (katikati), akifafanua jambo kwa Naibu Waziri wa Nishati na Madini (Madini), Charles Kitwanga (wa kwanza Kushoto). Naibu Waziri Kitwanga alitembelea Ofisi hizo hivi karibuni kuzungumza na wafanyakazi na kujionea utendaji kazi wao.
Kaimu Kamishna Msaidizi wa Madini, Kanda ya Mashariki, Getty Masawe (wa pili kutoka Kulia), akijadiliana jambo na Naibu Waziri wa Nishati na Madini (Madini), (wa pili kutoka Kushoto). Naibu Waziri Kitwanga alitembelea Ofisi hizo hivi karibuni kuzungumza na wafanyakazi na kujionea utendaji kazi wao.
Naibu Waziri wa Nishati na Madini (Madini), Charles Kitwanga, akisaini Kitabu cha Wageni alipofika katika Ofisi za Madini, Kanda ya Mashariki. Naibu Waziri Kitwanga alitembelea Ofisi hizo hivi karibuni kuzungumza na wafanyakazi na kujionea utendaji kazi wao.
Naibu Waziri wa Nishati na Madini (Madini), Charles Kitwanga akisaini Kitabu cha Wageni katika Ofisi za Wakala wa Ukaguzi Madini Tanzania (TMAA). Naibu Waziri Kitwanga alitembelea Ofisi hizo hivi karibuni kuzungumza na wafanyakazi na kujionea utendaji kazi wao. Anayeshuhudia ni Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala huo, Elikana Petro.
Wafanyakazi wa Wakala wa Ukaguzi Madini Tanzania (TMAA), wakimsikiliza Naibu Waziri wa Nishati na Madini (Madini), Charles Kitwanga (hayupo pichani) aliyetembelea Ofisi hizo hivi karibuni kuzungumza na wafanyakazi na kujionea utendaji kazi wao.
Kamishna Msaidizi wa Madini, Sehemu ya Kuendeleza Uchimbaji Madini Mdogo, Julius Sarota (aliyesimama) akitoa hotuba ya ufunguzi wa Kikao cha Naibu Waziri wa Nishati na Madini (Madini), Charles Kitwanga (katikati). Naibu Waziri Kitwanga alitembelea Ofisi hizo hivi karibuni kuzungumza na wafanyakazi na kujionea utendaji kazi wao.
Wafanyakazi wa Wakala wa Ukaguzi Madini Tanzania (TMAA), wakimsikiliza Naibu Waziri wa Nishati na Madini (Madini), Charles Kitwanga (hayupo pichani) aliyetembelea Ofisi hizo hivi karibuni kuzungumza na wafanyakazi na kujionea utendaji kazi wao.
Mmoja wa Maofisa wa Wakala wa Ukaguzi Madini Tanzania (TMAA), Omar Sige (aliyesimama), akitoa maoni kuhusu uboreshaji utendaji kazi wa Wakala huo kwa Naibu Waziri wa Nishati na Madini (Madini), Charles Kitwanga (hayupo pichani). Naibu Waziri Kitwanga alitembelea Ofisi hizo hivi karibuni kuzungumza na wafanyakazi na kujionea utendaji kazi wao.
Naibu Waziri wa Nishati na Madini (Madini), Charles Kitwanga (Kushoto), akijibu swali la mmoja wa Maofisa wa Wakala wa Ukaguzi Madini Tanzania (TMAA), Omar Sige (aliyesimama). Naibu Waziri Kitwanga alitembelea Ofisi hizo hivi karibuni kuzungumza na wafanyakazi na kujionea utendaji kazi wao.
Mmoja wa Maofisa wa Wakala wa Ukaguzi Madini Tanzania (TMAA), Michael Kambi (aliyesimama), akitoa maoni kuhusu uboreshaji utendaji kazi wa Wakala huo kwa Naibu Waziri wa Nishati na Madini (Madini), Charles Kitwanga (hayupo pichani). Naibu Waziri Kitwanga alitembelea Ofisi hizo hivi karibuni kuzungumza na wafanyakazi na kujionea utendaji kazi wao.
Mmoja wa Maofisa wa Wakala wa Ukaguzi Madini Tanzania (TMAA), Mvumilwa Mwarabu (aliyesimama), akitoa maoni kuhusu uboreshaji utendaji kazi wa Wakala huo kwa Naibu Waziri wa Nishati na Madini (Madini), Charles Kitwanga (hayupo pichani). Naibu Waziri Kitwanga alitembelea Ofisi hizo hivi karibuni kuzungumza na wafanyakazi na kujionea utendaji kazi wao.