CCM WAKONGA NYOYO ZA WATU WA KALENGA: MKUTANO WA UFUNGUZI WA KAMPENI ZA UBUNGE ,JIMBO LA KALENGA
Mgombea
Ubunge wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Godfrey William Mgimwa akibebwa Juu
na Wanachama/wapenzi wa CCM mara baada ya Kuwasili Viwanja Vya
Stendi-kata ya Ifunda.
Mapokezi
Mazito yakiendelea ya Naibu Katibu Mkuu CCM-Bara na Kijana Mgombea
Ubunge Jimbo la Kalenga Ndugu Godfrey William Mgimwa kwenye uwanja wa
Stedi-Kata ya Ifakara hii leo wakati wa Mkutano wa Ufunguzi wa Kampeni
za Ubunge Jimbo la Kalenga.
Mh:Naibu
Katibu Mkuu CCM-Bara akisaini Kitabu akiwa na Mgombea Ubunge Jimbo la
Kalenga Ndugu Godfrey William Mgimwa mara baada ya kuwasili Viwanja Vya
Stendi Kata ya Ifunda.