Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi ambae ni mgombea wa Urais wa Zanzibar kupitia Chama
cha Mapinduzi CCM Dk.Ali Mohamed Shein akifuatana na Mkuu wa Mkoa wa
Kusini Unguja Dkt.Idriss Muslim Hija (kushoto) wakati alipowasili katika
kituo cha kupiga kura Skuli ya Bungi msingi wilaya ya Kati
Unguja.Oktoba 25, 2015.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi ambae ni mgombea wa Urais wa Zanzibar kupitia Chama
cha Mapinduzi CCM Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akiwa katika foleni ya
wapiga kura katika kituo cha kupiga kura Skuli ya Bungi wilaya ya Kati
Unguja zoezi ambalo limefanyika leo,(wa pili kushoto) Mkuu wa Mkoa wa
Kusini Unguja Dkt.Idriss Muslim Hija.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi ambae ni mgombea wa Urais wa Zanzibar kupitia Chama
cha Mapinduzi CCM Dk.Ali Mohamed Shein akipokea karatasi ya kupigia kura
kutoka kwa Afisa Sibira Ramadhan Iddi katika kituo cha kupiga kura
Skuli ya Bungi wilaya ya Kati Unguja zoezi ambalo limefanyika.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi ambae ni mgombea wa Urais wa Zanzibar kupitia Chama
cha Mapinduzi CCM Dk.Ali Mohamed Shein akitumbukiza kura katika kituo
cha kupigia kura cha Skuli ya Bungi msingi wilaya ya kati Mkoa wa Kusini
Unguja.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi ambae ni mgombea wa Urais wa Zanzibar kupitia Chama
cha Mapinduzi CCM Dk.Ali Mohamed Shein akitumbukiza kura katika kituo
cha kupigia kura cha Skuli ya Bungi msingi wilaya ya kati Mkoa wa Kusini
Unguja.
Mke wa Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mama Mwanamwema Shein akitumbukiza
kura katika kituo cha kupigia kura cha Skuli ya Bungi msingi wilaya ya
kati Mkoa wa Kusini Unguja.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi ambae ni mgombea wa Urais wa Zanzibar kupitia Chama
cha Mapinduzi CCM Dk.Ali Mohamed Shein akifanya mahojiano na waandishi
wa habari baada ya kipiga kura leo katika kituo cha Skuli ya Msingi
Bungi Wilaya ya kati Mkoa wa Kusini Unguja,
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi ambae ni mgombea wa Urais wa Zanzibar kupitia Chama
cha Mapinduzi CCM Dk.Ali Mohamed Shein akifuatana na Mkuu wa Mkoa wa
Kusini Unguja Dkt.Idriss Muslim Hija(kushoto)baada ya kupiga kura katika
kituo cha kupiga kura Skuli ya Bungi wilaya ya Kati Unguja zoezi ambalo
limefanyika leo,(kulia)Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kusini Unguja Ramadhan
Abdalla Ali,
[Picha na Ikulu.]