Mshindi wa Milioni 10 Ukonga apokea chake
Ofisa
wa benki ya NMB Makao Makuu jijini Dar es Salaam kushoto, akimkabidhi moja ya
karatasi muhimu baada ya kufanikiwa kumfungulia akaunti mshindi wa Biko, Ijue
Nguvu ya Buku, Nicholaus Mlasu aliyeibuka na ushindi wa Bahati Nasibu ya
Biko mwishoni mwa wiki. Makabidhiano ya fedha za ushindi huo yalifanyika jijini
Dar es Salaam jana. Kulia ni Meneja Masoko wa Biko, Goodhope Heaven. Picha zote na Mpiga picha Wetu.
Milioni 10 za Biko ‘Nguvu ya Buku’
zamfikia Nicholaus Mlasu
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
ZAWADI ya juu ya Sh Milioni 10 inayotolewa na Bahati Nasibu ya Biko, Ijue Nguvu ya Buku imetolewa jana na kukabidhiwa mshindi Nicholaus Mlasu, mkazi wa Ukonga Mombasa, Manispaa ya Ilala, huku akipokea fedha zake Makao Makuu ya Benki ya NMB, jijini Dar es Salaam jana.
Fedha za mshindi huyo ziliingizwa moja kwa moja kwenye akaunti yake iliyofunguliwa kwenye benki hiyo kwa ajili ya kijana huyo kujipanga vizuri kabla ya kuanza kuzitumia fedha hizo kwa maendeleo yake.
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
ZAWADI ya juu ya Sh Milioni 10 inayotolewa na Bahati Nasibu ya Biko, Ijue Nguvu ya Buku imetolewa jana na kukabidhiwa mshindi Nicholaus Mlasu, mkazi wa Ukonga Mombasa, Manispaa ya Ilala, huku akipokea fedha zake Makao Makuu ya Benki ya NMB, jijini Dar es Salaam jana.
Fedha za mshindi huyo ziliingizwa moja kwa moja kwenye akaunti yake iliyofunguliwa kwenye benki hiyo kwa ajili ya kijana huyo kujipanga vizuri kabla ya kuanza kuzitumia fedha hizo kwa maendeleo yake.
Meneja Masoko wa Biko Tanzania waendeshaji
wa Bahati Nasibu kwa njia ya ujumbe wa maneno kwenye simu za mikononi, Goodhope
Heaven kulia akizungumza jambo wakati wa kumfungulia akaunti mshindi wao wa Sh
Milioni 10 na kumkabidhi fedha hizo jana Makao Makuu ya benki ya NMB, jijini
Dar es Salaam. Katikati ni mshindi huyo Nicholaus Mlasu akifuatiwa na Ofisa wa
NMB Makao Makuu.
Akizungumza katika makabidhiano hayo
yaliyofanyika jana jijini Dar es Salaam, Meneja Masoko wa Biko Tanzania,
Goodhope Heaven, alisema kwamba mbali na kutoa fedha hizo kila mwisho wa wiki,
pia wanaendelea kutoa pesa za papo kwa hapo ambapo ongezeko la washiriki ni kubwa.
EfG YAPONGEZWA KUFUNGUA KLABU ZA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA SOKO LA ILALA BOMA JIJINI DAR ES SALAAM
Mfanyabiashara wa nguo za mitumba ya kike katika Soko la Ilala Boma jijini Dar es Salaam, Daud Omary (kushoto), akitoa maelezo Dar es Salaa jana ya vitendo vya ukatili wa kijinsia wanavyofanyiwa na baadhi ya askari polisi wa Kituo cha Pangani kwa Mwezeshaji wa kisheria katika soko hilo (kulia) kutoka Shirika la Equality for Growth (EfG), wakati wa uhamsishaji wa kufungua klabu za mabadiliko ya kupinga ukatili wa kijinsia masokoni unaofanywa na Shirika hilo kwa kusimamiwa na Kituo cha Msaada wa Kisheria kwa Wanawake Tanzania (WLAC) kupitia kampeni ya miezi miwili ya Tunaweza. Katikati ni mfanyabiashara Seleman Adam.
Subscribe to:
Posts (Atom)