Makamu
Mwenyekiti wa Kamati namba kumi (10) Salmin Awadh Salmin, akiwasilisha
uchambuzi wa Kamati yake wa sura ya kwanza na sita ya rasimu ya Katiba
mpya jana mjini Dodoma.
Msemaji
wa walio wachache wa Kamati namba kumi (10) Profesa Ibrahim Lipumba,
akiwasilisha maoni ya wachache kuhusu sura ya kwanza na sita ya Katiba
mpya jana mjini Dodoma.