WAZIRI KITWANGA AKARIBISHWA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI MARA BAADA YA KUAPISHWA IKULU LEO

December 13, 2015

 Rais Dkt. John Magufuli (kushoto) akimuapisha Mhe. Charles Kitwanga (Mb) Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Ikulu jijini Dar es salaam leo. Wapili kushoto ni Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue.


 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Samia Suluhu Hassan (kushoto) akimpongeza Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga, mara baada ya kuapishwa Ikulu jijini Dar es Salaam leo.

 Waziri Mkuu Mhe Majaliwa Kassim Majaliwa (kushoto) akimpongeza Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga, mara baada ya kuapishwa Ikulu jijini Dar es Salaam leo.

 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga (kushoto) akiteta jambo na Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Mbarak Abdulwakil (kulia) na Naibu Katibu Mkuu, John Mngodo mara baada ya kumpongeza Waziri huyo mpya, nje ya Ukumbi wa Mikutano Ikulu, jijini Dar es Salaam.

 Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, John Mngodo (kulia) akimkaribisha wizarani Waziri mpya wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga mara baada ya kuapishwa Ikulu, jijini Dar es Salaam leo.

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil (kushoto) akimkaribisha Waziri mpya wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga, ndani ya ofisi ya waziri huyo iliyopo Mtaa wa Ohio, jijini Dar es Salaam.

 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga akisaini kitabu cha wageni kilichopo ndani ya ofisi yake, mara baada ya Waziri huyo mpya kuingia ndani ya ofisi hiyo baada ya kuapishwa Ikulu jijini Dar es Salaam leo.

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil (wapili kushoto) akimfafanulia Waziri mpya wa Wizara hiyo, Charles Kitwanga (kulia), shughuli mbalimbali zinazofanywa na wizara hiyo. Kushoto ni Naibu Katibu Mkuu, John Mngodo. Tukio hilo lilifanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Wizara hiyo jijini Dar es Salaam, mara baada ya Waziri huyo kuapishwa Ikulu leo. 
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga (kulia) akijadiliana na watendaji wa wizara hiyo kuhusu masuala mbalimbali ya wizara hiyo, mara baada ya Waziri huyo kuapishwa Ikulu jijini Dar es Salaam leo. Wanne kushoto ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Mbarak Abdulwakil, anayefuata ni Naibu Katibu Mkuu, John Mngodo, Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza (CGP), John Minja, Naibu Mkuu wa Jeshi la Polisi (D/IGP), Abdurahman Kaniki na Kamishina wa Fedha na Utawala wa Idara ya Uhamiaji, Piniel Mgonja (hayupo pichani). 
Picha zote na Felix Mwagara, Kitengo cha Mawasiliano-MOHA.
RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANI DKT.JOHN POMBE MAGUFULI AMEAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI IKULU JIJINI DAR ES SALAAM DESEMBA 12,2015

RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANI DKT.JOHN POMBE MAGUFULI AMEAPISHA MAWAZIRI NA MANAIBU WAZIRI IKULU JIJINI DAR ES SALAAM DESEMBA 12,2015

December 13, 2015

1 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Dkt. Hussen Ali Mwinyi kuwa Waziri wa ulinzi na jeshi la kujenga Taifa ikulu jijini Dar es salaam Desemba 12,2015
3
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Dkt. Hussen Ali Mwinyi kuwa Waziri wa ulinzi na jeshi la kujenga Taifa ikulu jijini Dar es salaam Desemba 12,2015
wwwwswRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Ndg. Williamu Vangimembe Lukuvi kuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na maendeleo ya Makazi ikulu jijini Dar es salaam Desemba 12,2015
DSC_3028
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Dkt. Harrison George Mwakyembe kuwa Waziri wa katiba na sheria  ikulu jijini Dar es salaam Desemba 12,2015
DSC_3036Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Ndg. George Boniface Taguvala simbachawene kuwa Waziri wa Ofisi ya Rais,(Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa)  Ikulu jijini Dar es salaam Desemba 12,2015
DSC_3048
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Ndg. Jenista Joakim Muhagama  kuwa Waziri wa ofisi ya waziri mkuu ( Sera Bunge,Kazi,VIjana,Ajira na wenye Ulemavu)  Ikulu jijini Dar es salaam Desemba 12,2015

DSC_3061

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Prof. Sospeter Mwijarubi Muhongo kuwa Waziri wa Nishati na Madini ikulu jijini Dar es salaam Desemba 12,2015
DSC_3070
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Ndg. Charles Muhangwa Kitwanga  kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi  ikulu jijini Dar es salaam Desemba 12,2015
DSC_3081
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Ndg. Ummy  Ally Mwalimu  kuwa Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto Ikulu jijini Dar es salaam Desemba 12,2015
DSC_3090
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Ndugu January Yusuph Makamba kuwa Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) ikulu jijini Dar es salaam Desemba 12,2015
DSC_3098
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Ndg. Angellah Jasmine Kiruki  kuwa Waziri wa Ofisi ya Rais (Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora) Ikulu jijini Dar es salaam Desemba 12,2015
DSC_3110
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Ndg. Mwigulu Lameck Nchemba  kuwa Waziri wa Kilimo,Mifugo na Uvuvi Ikulu jijini Dar es salaam Desemba 12,2015
DSC_3117
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Ndg. Charles John Paul Mwijage  kuwa Waziri wa Viwanda,Biashara na Uwekezaji Ikulu jijini Dar es salaam Desemba 12,2015
DSC_3129
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Balozi Dkt. Augustine Philip Mahiga   kuwa Waziri wa Mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki,Kikanda na Kimataifa Ikulu jijini Dar es salaam Desemba 12,2015
DSC_3139
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Ndg. Nape Mosese Nnauye  kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, sanaa na michezo Ikulu jijini Dar es salaam Desemba 12,2015
DSC_3145
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha . Eng. Stella Martin Manyanya kuwa Naibu Waziri wa sayansi ,Teknolojia na mafunzo ya Ufundi Ikulu jijini Dar es salaam Desemba 12,2015
DSC_3153
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Ndg. Angeline Syvester Mabula Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na maendeleo ya Makazi   Ikulu jijini Dar es salaam Desemba 12,2015
DSC_3163
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Ndg. Anthony Peter Mavunde Naibu waziri Ofisi ya waziri Mkuu (kazi vijana na ajira)   Ikulu jijini Dar es salaam Desemba 12,2015
DSC_3171
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Ndg. Luhaga Joelson mpina kuwa Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Ikulu jijini Dar es salaam Desemba 12,2015
DSC_3180
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Ndg. Anastanzia James Wambura kuwa Naibu Waziri Habari, Utamaduni, sanaa na michezoIkulu jijini Dar es salaam Desemba 12,2015
DSC_3188
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Dkt. HAMIS Andrea Kigwangala  Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto jijini Dar es salaam Desemba 12,2015
DSC_3195
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Eng. Ramo Matala Makani kuwa Naibu Waziri Maliasili na utalii Ikulu jijini Dar es salaam Desemba 12,2015
DSC_3201
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Ndg. Selemani Said Jafo kuwa Naibu Waziri Ofisi ya Rais,(Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa) Ikulu jijini Dar es salaam Desemba 12,2015
DSC_3209
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Eng. Edward Amandus Ngonyani kuwa Naibu Waziri  wa ujenzi , uchukuzi na mawasiliano Ikulu jijini Dar es salaam Desemba 12,2015
DSC_3221
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Dkt. Merdard Matogolo Kalemani  kuwa Naibu Waziri wa Nishati na Madini Ikulu jijini Dar es salaam Desemba 12,2015
DSC_3231
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Eng. Isack Aloyce Kamwele  kuwa Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji Ikulu jijini Dar es salaam Desemba 12,2015
DSC_3250
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Dkt. Abdallah Saleh Possi kuwa Naibu Waziri Ofisi ya waziri mkuu (wenye ulemavu) Ikulu jijini Dar es salaam Desemba 12,2015
DSC_3262
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Dkt. Susan Kolimba kuwa Naibu Waziri wa Mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki,Kikanda na Kimataifa  Ikulu jijini Dar es salaam Desemba 12,2015
DSC_3268
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Dkt. Kachwamba kijaji Ashatu  kuwa Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Ikulu jijini Dar es salaam Desemba 12,2015
DSC_3279
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Ndg. Tate William Ole- Nasha  kuwa Naibu Waziri kilimo na Uvuvi Ikulu jijini Dar es salaam Desemba 12,2015