Mkuu
wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo akizungumza katika mkutano wa nane wa
wadau wa mfuko wa mafao ya kustaafu wa GEPF jijini Arusha juzi ,wakati
akifunga mkutano huo ambapo aliwataka wastaafu watarajiwa kujiandaa
kustaafu kwa kubuni miradi mbalimbali ya kuongeza kipato hali
itakayosaidia wao kujiendeleza kimaisha(Habari Picha na Pamela Mollel
Arusha)
Katibu Mkuu katika Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu, Eric Shitindi akizungumza katika mkutano huo ambapo alisema ni vyema watumishi wakajianda mapema wakiwemo wa umma na sekta binafsi .
Mkurugenzi wa mfuko wa GEPF Daudi Msangi alisema kuwa tayari kuna mikakati mbalimbali ambayo imeletwa kwenye mkutano huo na itaanza kufanyiwa kazi kwa malengo ya kuboresha maslai ya wanachama na nchi kwa ujumla.
Mwenyekiti wa bodi Ya wadhamini,wa mfuko huo Joyce shaidi akizungumza katika mkutano huo.
Kulia ni mkuu wa kitengo cha kusimamia amana za wawekezaji katika benki ya CRDB Bw.Masumai Ahmed.
Wadau wa mkutano wakiwa wamesimama kuashiria kumalizika kwa mkutano huo
Katibu Mkuu katika Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu, Eric Shitindi akizungumza katika mkutano huo ambapo alisema ni vyema watumishi wakajianda mapema wakiwemo wa umma na sekta binafsi .
Mkurugenzi wa mfuko wa GEPF Daudi Msangi alisema kuwa tayari kuna mikakati mbalimbali ambayo imeletwa kwenye mkutano huo na itaanza kufanyiwa kazi kwa malengo ya kuboresha maslai ya wanachama na nchi kwa ujumla.
Mwenyekiti wa bodi Ya wadhamini,wa mfuko huo Joyce shaidi akizungumza katika mkutano huo.
Kulia ni mkuu wa kitengo cha kusimamia amana za wawekezaji katika benki ya CRDB Bw.Masumai Ahmed.
Wadau wa mkutano wakiwa wamesimama kuashiria kumalizika kwa mkutano huo