Waandishi wa habari wakichukua matukio katika mkutano huo uliofanyika mapema mwishoni mwa wiki iliyopita. |
SERENGETI, NGORONGORO NA KILIMANJARO SI VIVUTIO PEKEE VINAVYOPATIKANA TANZANIA
Na Jumia Travel Tanzania
Watalii wanaokuja Tanzania na kuelekea moja kwa moja kwenye hifadhi za taifa za Serengeti, Kilimanjaro au Ngorongoro inamaanisha nini? Ni kwamba wanakuwa wamekwishaambiwa kuwa ukifika Tanzania sehemu pekee za kutembelea ni hizo tu? Je tunawezaje kukabiliana na hali hii ambayo kwa namna moja ama nyingine inaweza kufifisha vivutio vilivyopo maeneo mengine nchini kutotembelewa?
Hakuna anayeweza kubisha kwamba sehemu ya Kaskazini mwa Tanzania imebarikiwa kwa kiasi kikubwa kuwa na vivutio visivyopatikana duniani kote. Vivutio kama hifadhi za kitaifa za Serengeti, bonge la Ngorongoro, Mlima Kilimanjaro na hivi karibuni mti mrefu zaidi barani Afrika uligunduliwa.
WATANZANIA WATAKIWA KUBADILI FIKRA KUFIKIA UCHUMI WA VIWANDA
Waziri
wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, kazi, Ajira na Walemavu
Jenista Mhagama kushoto akizungumza jambo na Mwenyekiti wa Bodi ya
Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC), Dk. John Jingu
(katikati) na Katibu Mtendaji wa Baraza hilo, Bi. Beng Issa kulia
wakati wa ufunguzi wa Kongamano la Pili la Uwezeshaji Wananchi
Kiuchumi.
Waziri
wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, kazi, Ajira na Walemavu
Jenista Mhagama kushoto akikata utepe(ribbon) kuashiria kuzindua wa
taarifa ya utekelezaji wa sera ya taifa ya uwezeshaji wananchi kiuchumi
ya Julai 2015 mpaka April 2017 wakati wa Kongamano la Pili la
Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi,(katikati) Mwenyekiti wa Bodi wa Baraza la
Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC), Dk. John Jingu na kulia
ni Katibu Mtendaji wa baraza hilo, Bi. Beng’i Issa.
Waziri
wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, kazi, Ajira na Walemavu
Jenista Mhagama kushoto akionyesha kitabu cha taarifa ya utekelezaji wa
sera ya taifa ya uwezeshaji wananchi kiuchumi ya Julai 2015 mpaka April
2017 mara baada ya kuzindua taarifa hiyo wakati wa Kongamano la Pili la
Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi,(katikati) Mwenyekiti wa Bodi wa Baraza
la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC), Dk. John Jingu na kulia
ni Katibu Mtendaji wa baraza hilo, Bi. Beng’i Issa.
Waziri
wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, kazi, Ajira na Walemavu
Jenista Mhagama kushoto akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Bw. Joel
Bendera taarifa ya utekelezaji wa sera ya taifa ya uwezeshaji wananchi
kiuchumi ya Julai 2015 mpaka April 2017 mara baada ya kuzindua taarifa
hiyo wakati wa ufunguzi wa Kongamano la Pili la Uwezeshaji Wananchi
Kiuchumi kulia ni Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji
Wananchi Kiuchumi (NEEC),Bi. Beng Issa.
Watanzania
wametakiwa kubadili fikra za kimtanzamo na kila mtu kutimiza wajibu
wake kwa lengo la kuunga mkono dhamira ya serikali ya awamu ya tano ili
kujenga uchumi wa viwanda na kuboresha ustawi wa jamii.
MTOTO WA MIAKA 12 AIBUKA KIDEDEA MASHINDANO YA KUHIFADHI QURAN
Waziri Mkuu, Kasssim Majaliwa akizungumza katika kilele cha Mashindano
ya 11 ya Afrika ya Kuhifadhi Qur-an Tukufu yaliyofanyika kwenye uwanja
wa Taifa jijini Dar es salaam Juni 11, 2017.
Waziri Mkuu, Kasssim Majaliwa akizungumza katika kilele cha Mashindano ya 11 ya Afrika ya Kuhifadhi Qur-an Tukufu yaliyofanyika kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam Juni 11, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimkabidhi , Mohammed Abdullah Aden (12) wa Somalia hundi ya shilingi milioni 15, 750,000/= mshindi wa kwaza wa mashindano ya 18 ya Afrika ya Kuhifadhi Qur-an Tukufu yaliyofanyika kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam Juni 11, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimkabidhi , Mohammed Abdullah Aden (12) wa Somalia hundi ya shilingi milioni 15, 750,000/= mshindi wa kwaza wa mashindano ya 18 ya Afrika ya Kuhifadhi Qur-an Tukufu yaliyofanyika kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam Juni 11, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Mh. Paul Makonda akizungumza katika mashindano hayo yaliyofanyika kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam leo.
Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili na Mlezi wa Taasisi ya Al- Hikma Foundation, Alhaj Ali Hassan Mwinyi akizungumza katika kilele cha Mashindano ya 18 ya Kuhifadhi Qur-an Tukufu yaliyofanyika kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam Juni 11, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kasssim Majaliwa akizungumza katika kilele cha Mashindano ya 11 ya Afrika ya Kuhifadhi Qur-an Tukufu yaliyofanyika kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam Juni 11, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimkabidhi , Mohammed Abdullah Aden (12) wa Somalia hundi ya shilingi milioni 15, 750,000/= mshindi wa kwaza wa mashindano ya 18 ya Afrika ya Kuhifadhi Qur-an Tukufu yaliyofanyika kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam Juni 11, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimkabidhi , Mohammed Abdullah Aden (12) wa Somalia hundi ya shilingi milioni 15, 750,000/= mshindi wa kwaza wa mashindano ya 18 ya Afrika ya Kuhifadhi Qur-an Tukufu yaliyofanyika kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam Juni 11, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Mh. Paul Makonda akizungumza katika mashindano hayo yaliyofanyika kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam leo.
Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili na Mlezi wa Taasisi ya Al- Hikma Foundation, Alhaj Ali Hassan Mwinyi akizungumza katika kilele cha Mashindano ya 18 ya Kuhifadhi Qur-an Tukufu yaliyofanyika kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam Juni 11, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
MKUTANO WA WAKUU WA MAGEREZA /TAASISI ZA UREKEBISHAJI ZA NCHI ZA SADC WAFANYIKA JIJINI DAR
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya
Nchi, Mhe. Mhandisi Hamad Masauni(wa pili toka kulia) akiwaongoza
kuimba wimbo wa Taifa la Tanzania Wakuu wa Magereza/Taasisi za
Urekebishaji za Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa
Afrika – SADC – Corrections/Prisons Sub Committee(hawapo
pichani). Wa pili kulia ni Kamishna Jenerali wa Magereza nchini Dkt.
Juma Malewa, (wa kwanza kutoka kushoto) ni Mjumbe wa Sekretarieti ya
SADC, Bw. Maemo Machete. Mkutano huo unafanyika kwa siku moja leo Juni
11, 2017 katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mwl. Julius Nyerere, Jijini Dar
es Salaam.
Kamishna Jenerali wa Magereza
nchini Dkt. Juma Malewa ambaye ni Mwenyekiti wa Mkutano huo wa Wakuu wa
Magereza/Taasisi za Urekebishaji za Nchi Wanachama wa Jumuiya ya
Maendeleo ya Kusini mwa Afrika – SADC – Corrections/Prisons Sub Committee akitoa maelezo mafupi kabla ya kumkaribisha mgeni kufungua rasmi mkutano huo wa siku moja.
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya
Nchi, Mhe. Mhandisi Hamad Masauni akitoa hotuba ya ufunguzi rasmi wa
Mkutano wa Wakuu wa Magereza/Taasisi za Urekebishaji za Nchi Wanachama
wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika – SADC – Corrections/Prisons Sub Committee uliofanyika leo Juni 11, 2017 katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mwl. Julius Nyerere, Jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya Wajumbe wa Mkutano huo
toka nchi za SADC wakifuatilia hotuba ya Mgeni rasmi(wa kwanza kulia) ni
Kamishna wa Utawala na Fedha wa Jeshi la Magereza Gaston Sanga.
Mwenyekiti wa Mkutano wa Wakuu wa
Magereza/Taasisi za Urekebishaji za Nchi Wanachama wa Jumuiya ya
Maendeleo ya Kusini mwa Afrika – SADC – Corrections/Prisons Sub Committee ambaye ni Kamishna Jenerali wa Magereza nchini Dkt. Juma Malewa akiongoza Kikao hicho kama inavyoonekana katika picha.
Wajumbe wa Mkutano huo toka nchi
za SADC wakifuatilia majadiliano kama wanavyoonekana katika
picha(katikati) ni Mkuu wa Magereza nchini Botswana, Silas Motlalekgosi.
. Kamishna Jenerali wa Magereza
nchini Dkt. Juma Malewa(kulia) ambaye ni Mwenyekiti wa Mkutano huo
akiteta jambo na Mjumbe wa Sekretarieti ya Jumuiya ya Maendeleo ya
Kusini mwa Afrika – SADC, Bw. Maemo Machete.
Wajumbe wa kutoka Jeshi la
Magereza Tanzania wakipitia baadhi ya nyaraka mbalimbali za Mkutano
huo(kulia) ni Mkuu wa Magereza Mkoa wa Pwani, SACP. Boyd
Mwambigu(katikati) ni Kaimu Mkuu wa Magereza Mkoa wa Morogoro, SACP.
Mzee Ramadhan Nyamka(kushoto) ni SACP. Justine Kaziulaya.
Mgeni rasmi Naibu Waziri wa Mambo
ya Ndani ya Nchi, Mhe. Mhandisi Hamad Masauni (katikati) akiwa katika
picha ya pamoja na Wajumbe wa Mkutano wa Wakuu wa Magereza/Taasisi za
Urekebishaji za Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa
Afrika mara baada ya ufunguzi wa Mkutano wa Wakuu wa Taasisi za Magereza
toka nchi za SADC. Wa tatu toka kulia ni Kamishna Jenerali wa Magereza,
Dkt. Juma Malewa(Picha zote na Kitengo cha Habari na Mawasiliano –
Jeshi la Magereza).
Mgeni rasmi Naibu Waziri wa Mambo
ya Ndani ya Nchi, Mhe. Mhandisi Hamad Masauni (katikati) akiwa katika
picha ya pamoja na Wakuu wa Magereza/Taasisi za Urekebishaji za Nchi
Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika mara baada ya
ufunguzi wa Mkutano wa Wakuu wa Taasisi za Magereza toka nchi za SADC.
Wa tatu toka kulia ni Kamishna Jenerali wa Magereza, Dkt. Juma Malewa.
PROF. JUMMANE MAGHEMBE ATEMBELEA JAMII YA WAHADZABE, KABILA AMBALO BADO WANAISHI KWA KUWINDA NA KUCHUMA VYAKULA BILA UZALISHAJI
Waziri wa Maliasili na Utalii,
Prof. Jummane Maghembe akishuhudia jamii ya Wahadzabe wakitengeneza
chakula cha mchana ambao ni unga utokanao na ubuyu. Kabila la Wahadzabe
ni moja ya jamii za wawindaji na wakusanyaji wanaopatikana Tanzania
ambao chakula chao kikuu ni nyama, matunda, mizizi na asali
Waziri wa Maliasili na Utalii, Prof. Jummane Maghembe akionja unga wa ubuyu ambao ndiyo chakula maarufu cha jamii ya Wahadzabe.
Waziri wa Maliasili na Utalii, Prof. Jummane Maghembe akipewa maelezo kuhusu nyumba maarufu za jamii ya Wahadzabe
Waziri wa Maliasili na Utalii, Prof. Jummane Maghembe akipewa maelezo ya matumizi ya mshale katika jamii ya Wahadzabe
Waziri wa Maliasili na Utalii,
Prof. Jummane Maghembe akichezewa ngoma maarufu ya jamii ya Wahadzabe
ambayo huchezwa wakati wakimpokea Mgeni mwenye hadhi katika jamii.
Waziri wa Maliasili na Utalii,
Prof. Jummane Maghembe akisaini kitabu cha Wageni mara alipowasilia
katika kijiji cha Yaeda chini wilayani Mbulu mkoani Manyara.
Mkurugenzi
wa Rasilimali Misitu wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS)Bw.
Zawadi Mbwambo (katikati) akisikiliza kwa makini risala iliyosomwa na
Wawakilishi wa Jamii ya Wahadzabe kwa Mgeni rasmi
Subscribe to:
Posts (Atom)