Rais Jakaya Kikwete ametengua rasmi uteuzi wa Mawaziri wa nne
waliokuwa wakituhumiwa kwa makosa mbalimbali ya ukiukwaji wa haki za
kiraia wakati wa Oparesheni Tokomeza Ujangili iliyokuwa ikiendeshwa na
Serikali.
Akisoma Bungeni mjini Dodoma leo jioni, Taarifa hiyo ya Rais, Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda Bungeni mjini Dodoma kuwa Rais ameridhia maoni ya
Wabunge wakati wa kujadili ripoti ya Kamati iliyoundwa na kuongozwa na
Mbunge James Lembeli kuwa Mawaziri waliotuhumiwa waondoke.
CHANZO mrokim.blogspot.com