Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya
Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwamini Malemi (kulia) akimkabidhi zawadi ya
Ngao ya Utumishi Mrefu na Maadili Mema, Katibu Mkuu wa wizara hiyo,
Mbarak Abdulwakil, kwa niaba ya Wakuu wa Idara na Vitengo wizarani humo.
Zawadi hiyo ya kushtukiza iliandaliwa na viongozi hao wa Idara baada ya
hivi karibuni Rais Jakaya Kikwete kumvisha Nishani ya Utumishi Mrefu na
Maadili Mema Daraja la (I), Katibu Mkuu wao katika tukio lililofanyika
Ikulu, jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mkurugenzi wa Utawala na
Rasilimali Watu wa wizara hiyo, Lilian Mapfa.
Picha zote na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya
Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwamini Malemi (kulia) akimkabidhi zawadi ya ua
Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Mbarak Abdulwakil, kwa niaba ya Wakuu wa
Idara na Vitengo wizarani humo. Zawadi hizo za kushtukiza ziliandaliwa
na viongozi hao baada ya hivi karibuni Rais Jakaya Kikwete kumvisha
Nishani ya Utumishi Mrefu na Maadili Mema Daraja la (I), Katibu Mkuu wao
katika tukio lililofanyika Ikulu, jijini Dar es Salaam.
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya
Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwamini Malemi (kulia) akimkabidhi zawadi ya
kitabu cha kutunzia kumbukumbu, Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Mbarak
Abdulwakil, kwa niaba ya Wakuu wa Idara na Vitengo wizarani humo. Zawadi
hizo za kushtukiza ziliandaliwa na watendaji hao baada ya hivi karibuni
Rais Jakaya Kikwete kumvisha Nishani ya Utumishi Mrefu na Maadili Mema
Daraja la (I), Katibu Mkuu wao katika tukio lililofanyika Ikulu, jijini
Dar es Salaam.
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya
Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwamini Malemi (kulia) akimkabidhi zawadi ya
Mswala wa kuswalia, Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Mbarak Abdulwakil, kwa
niaba ya Wakuu wa Idara na Vitengo wizarani humo. Zawadi hizo za
kushtukiza ziliandaliwa na watendaji hao baada ya hivi karibuni Rais
Jakaya Kikwete kumvisha Nishani ya Utumishi Mrefu na Maadili Mema Daraja
la (I), Katibu Mkuu wao katika tukio lililofanyika Ikulu, jijini Dar es
Salaam.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya
Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil (kushoto), akimshukuru Mkurugenzi wa
Utawala na Rasilimali Watu wa wizara hiyo, Lilian Mapfa, pamoja na Wakuu
wa Idara wengine baada ya kupewa zawadi za kushtukiza na wakuu hao
baada ya Katibu Mkuu huyo hivi karibuni Rais Jakaya Kikwete kumvisha
Nishani ya Utumishi Mrefu na Maadili Mema Daraja la (I), katika tukio
lililofanyika Ikulu, jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya
Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil (kulia), akimshukuru Mkuu wa Kitengo
cha Ukaguzi wa Ndani wa wizara hiyo, Martina Nguluma pamoja na Wakuu wa
Idara wengine baada ya kupewa zawadi za kushtukiza na watendaji hao
baada ya Katibu Mkuu huyo hivi karibuni Rais Jakaya Kikwete kumvisha
Nishani ya Utumishi Mrefu na Maadili Mema Daraja la (I), katika tukio
lililofanyika Ikulu, jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya
Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil (kulia), akimshukuru Mkuu wa Kitengo
cha Uhasibu wa wizara hiyo, Edwin Makene pamoja na Wakuu wa Idara
wengine baada ya kupewa zawadi za kushtukiza na viongozi hao baada ya
Katibu Mkuu huyo hivi karibuni Rais Jakaya Kikwete kumvisha Nishani ya
Utumishi Mrefu na Maadili Mema Daraja la (I), katika tukio lililofanyika
Ikulu, jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya
Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil (kulia), akimshukuru Mkurugenzi wa
Idara ya Probesheni na Huduma kwa Jamii wa wizara hiyo, Fidelis Mboya
pamoja na Wakuu wa Idara wengine baada ya kupewa zawadi za kushtukiza na
viongozi hao baada ya Katibu Mkuu huyo hivi karibuni Rais Jakaya
Kikwete kumvisha Nishani ya Utumishi Mrefu na Maadili Mema Daraja la
(I), katika tukio lililofanyika Ikulu, jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya
Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil (wanne kushoto), akiwa katika picha ya
pamoja na Naibu Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Mwamini Malemi (watatu
kulia), Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu, Lilian Mapfa
(katikati), Mkurugenzi wa Sera na Mipango, Haji Janabi (wanne kulia),
Mkurugenzi wa Kitengo cha Manunuzi, Manyama Mapesi (watatu kushoto),
Mkurugenzi wa Huduma za Sheria, Marlin Komba (kushoto), Mkuu wa Kitengo
cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA), Jane Massawe (wapili
kushoto), Mkuu wa Kitengo cha Uhasibu, Edwin Makene (wapili kulia) na
Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali, Christina Mwangosi.
Wakuu wa Idara wa wizara hiyo walimpa zawadi ya kushtukiza Katibu Mkuu
wao baada ya hivi karibuni Rais Jakaya Kikwete kumvisha Nishani ya
Utumishi Mrefu na Maadili Mema Daraja la (I).