March 21, 2014

DAKIKA 155:46 ZA HOTUBA YA RAIS JAKAYA KIKWETE KWA WAJUMBE WA BUNGE MAALUM LA KATIBA, AMEMALIZA KAZI KWENU WAJUMBE

 Rais Jakaya Kikwete, akiwahutubia Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba leo katika ukumbi wa Bunge mjini Dodom, ambapo katika hotuba yake ametumia dakika 155:46, kwa kutoa ufafanuzi wa masuala mbalimbali yahusuyo muundo wa Katiba mpya ikiwa ni pamoja na kufafanua kuhusu shinikizo la muundo wa Serikali tatu na mambo kadhaa ya Muungano.
 Wajumbe wakinyanyuka kwa pamoja na kupiga makofi kumshangilia Rais Jakaya, baada ya kukonga kwa Speech yake.

RAIS KIKWETE KUANZIA ZIARA MKOANI TANGA,ATATEMBELEA WILAYA NNE.

March 21, 2014


RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dokta Jakaya Mrisho Kikwete anatarajiwa kufanya ziara ya kikazi mkoani Tanga Jumapili wiki hii ambapo ziara hiyo itakuwa kwa awamu mbili .

Mkuu wa mkoa wa Tanga,Luteni Mstaafu,Chiku Gallawa ameyasema hayo leo wakati akiongeza na waandishi wa habari ofisini kwake kuhusu ujio wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mkoani hapa.
March 21, 2014

TANGA UWASA WAPANDA MICHE YA MKONGE ENEO LA UTOFU LEO KUELEKEA KILELE CHA MAADHIMISHO YA WIKI YA MAJI KESHO.

KAIMU MKURUGENZI WA MAMLAKA YA MAJI SAFI NA USAFI WA MAZINGIRA JIJINI TANGA TANGA UWASA FARES ARAM KATIKATI AKIWA KWENYE PICHA YA PAMOJA NA WAFANYAKAZI WA MAMLAKA HIYO MARA BAADA YA KUPANDA MITI YA MIKONGE KWENYE ENEO LA UTOFU JIJINI TANGA IKIWA NI KUELEKEZEA MAADHIMISHO YA WIKI YA MAJI KESHO

WAFANYAKAZI WA MAMLAKA YA MAJI SAFI NA USAFI WA MAZINGIRA JIJINI TANGA TANGA UWASA WAKIJIANDAA KUPANDA MICHEZO YA MKONGE KWENYE ENEO LA UTOFU JIJINI TANGA WA PILI KUTOKA KUSHOTO NI PRA WA MAMLAKA HIYO MWANAUWANI BAWAZIRI


KAIMA MKURUGENZI WA MAMLAKA YA MAJI SAFI NA USAFI WA MAZINGIRA TANGA UWASA FARES ARAM AKIPANDA MCHE WA MKONGE KWENYE ENEO LA UTOFU JIJINI TANGA LEO IKIWA NI MAANDALIZI YA KUELEKEA KILELE CHA MAADHIMISHO YA WIKI YA MAJI.



PRA WA MAMLAKA YA MAJI SAFI NA USAFI WA MAZINGIRA,TANGA UWASA MWANAUWANI BAWAZIRI AKIWEKA UDONGO KWENYE MCHE WA MKONGE MARA BAADA YA KUUPANDA LEO ENEO LA UTOFU JIJINI TANGA.

HAPA AKIENDELEA KUPANDA MCHE WA MKONGE.

MWENYEKITI WA CHAMA CHA WAANDISHI WA HABARI MKOA WA TANGA TANGA PRESSE CLUB,HASSANI HASHIM AKIPANDA MCHE WA MKONGE LEO ENEO LA UTOFU JIJINI TANGA ANAYESHUHUDUA KATIKATI NI PRA WA MAMLAKA YA MAJI SAFI NA USAFI WA MAZINGIRA TANGA TANGA UWASA MWANAUWANI BAWAZIRI.

HAPA  NI PRA WA MAMLAKA YA MAJI SAFI NA USAFI WA MAZINGIRA JIJINI TANGA TANGA UWASA ,MWANAUWANI BAWAZIRI AKIBADILISHANA MAWAZO NA MWANDISHI WA CHANNEL TEN TANGA ,HASSAN HASIMU MARA BAADA YA KUMALIZA KUPANDA MTI HUO LEO.

MWANDISHI WA GAZETI LA MTANZANIA MKOANI TANGA AMINA OMARI AKIPANDA MCHE WA MKONGE LEO ENEO LA UTOFU JIJINI TANGA.
March 21, 2014

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA JAKAYA MRISHO KIKWETE, WAKATI WA KULIHUTUBIA BUNGE MAALUM LA KATIBA, TAREHE 21 MACHI, 2014, DODOMA

220px-Coat_of_arms_of_Tanzania.svg
Mheshimiwa Samuel Sitta, Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba;
Mheshimiwa Dkt. Mohamed Gharib Bilal, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania;
March 21, 2014

NSSF YAWAFUNDA WANAFUNZI WA CBE KUHUSU MFUKO WA HIFADHI YA JAMII

 Mkurugenzi wa Wanafunzi wanaochukua Mafunzo ya Shahada ya kwanza katika Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), Dk. Esther Mbise akimkaribisha mgeni rasmi, Meneja Kiongozi Uhusiano wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii ( NSSF), Eunice Chiume (katikati),wakati wa Semina kwa wanafunzi wa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), iliyofanyika katika chuoni hapo jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkuu wa Idara ya Masoko chuoni hapo, Felix Chale. Jumla ya wanachuo 180 walihudhuria semina hiyo.

TANGA UWASA WAPANDA MICHE YA MKONGE ENEO LA GOFU LEO KUELEKEA KILELE CHA MAADHIMISHO YA WIKI YA MAJI KESHO.

March 21, 2014
KAIMU MKURUGENZI WA MAMLAKA YA MAJI SAFI NA USAFI WA MAZINGIRA JIJINI TANGA TANGA UWASA FARES ARAM KATIKATI AKIWA KWENYE PICHA YA PAMOJA NA WAFANYAKAZI WA MAMLAKA HIYO MARA BAADA YA KUPANDA MITI YA MIKONGE KWENYE ENEO LA GOFU JIJINI TANGA IKIWA NI KUELEKEZEA MAADHIMISHO YA WIKI YA MAJI KESHO

WAFANYAKAZI WA MAMLAKA YA MAJI SAFI NA USAFI WA MAZINGIRA JIJINI TANGA TANGA UWASA WAKIJIANDAA KUPANDA MICHEZO YA MKONGE KWENYE ENEO LA GOFU JIJINI TANGA WA PILI KUTOKA KUSHOTO NI PRA WA MAMLAKA HIYO MWANAUWANI BAWAZIRI


KAIMA MKURUGENZI WA MAMLAKA YA MAJI SAFI NA USAFI WA MAZINGIRA TANGA UWASA FARES ARAM AKIPANDA MCHE WA MKONGE KWENYE ENEO LA GOFU JIJINI TANGA LEO IKIWA NI MAANDALIZI YA KUELEKEA KILELE CHA MAADHIMISHO YA WIKI YA MAJI.



PRA WA MAMLAKA YA MAJI SAFI NA USAFI WA MAZINGIRA,TANGA UWASA MWANAUWANI BAWAZIRI AKIWEKA UDONGO KWENYE MCHE WA MKONGE MARA BAADA YA KUUPANDA LEO ENEO LA GOFU JIJINI TANGA.

HAPA AKIENDELEA KUPANDA MCHE WA MKONGE.

MWENYEKITI WA CHAMA CHA WAANDISHI WA HABARI MKOA WA TANGA TANGA PRESSE CLUB,HASSANI HASHIM AKIPANDA MCHE WA MKONGE LEO ENEO LA GOFU JIJINI TANGA ANAYESHUHUDUA KATIKATI NI PRA WA MAMLAKA YA MAJI SAFI NA USAFI WA MAZINGIRA TANGA TANGA UWASA MWANAUWANI BAWAZIRI.

HAPA  NI PRA WA MAMLAKA YA MAJI SAFI NA USAFI WA MAZINGIRA JIJINI TANGA TANGA UWASA ,MWANAUWANI BAWAZIRI AKIBADILISHANA MAWAZO NA MWANDISHI WA CHANNEL TEN TANGA ,HASSAN HASIMU MARA BAADA YA KUMALIZA KUPANDA MTI HUO LEO.

MWANDISHI WA GAZETI LA MTANZANIA MKOANI TANGA AMINA OMARI AKIPANDA MCHE WA MKONGE LEO ENEO LA GOFU JIJINI TANGA.

KIKOSI KAZI KUSHUGHULIKIA TIKETI ZA ELEKTRONIKI

March 21, 2014

KIKOSI KAZI KUSHUGHULIKIA TIKETI ZA ELEKTRONIKI
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) na benki ya CRDB zimeunda kikosi kazi (task force) kwa ajili ya kushughulikia matumizi ya tiketi za elektroniki ambayo yalisimamishwa kutoka na changamoto mbalimbali zilizokuwa zimejitokeza.

TFF na CRDB zimefanya kikao cha pamoja jana (Machi 20 mwaka huu) kuhusu masuala ya tiketi za elektroniki na kukubaliana kuunda kikosi kazi hicho kwa ajili ya uboreshaji matumizi ya mfumo huo.