DAKIKA 155:46 ZA HOTUBA YA RAIS JAKAYA KIKWETE KWA WAJUMBE WA BUNGE MAALUM LA KATIBA, AMEMALIZA KAZI KWENU WAJUMBE
Rais
Jakaya Kikwete, akiwahutubia Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba leo
katika ukumbi wa Bunge mjini Dodom, ambapo katika hotuba yake ametumia
dakika 155:46, kwa kutoa ufafanuzi wa masuala mbalimbali yahusuyo muundo
wa Katiba mpya ikiwa ni pamoja na kufafanua kuhusu shinikizo la muundo
wa Serikali tatu na mambo kadhaa ya Muungano.
Wajumbe wakinyanyuka kwa pamoja na kupiga makofi kumshangilia Rais Jakaya, baada ya kukonga kwa Speech yake.