JK AZINDUA MAJENGO PACHA YA GHOROFA 35 YA PSPF JIJINI DAR ES SALAAM LEO
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Mkurugenzi Mkuu wa mfuko wa pensheni wa PSPF Bw. Adam
Mayingu alipowasili kuzindua majengo pacha ya ghorofa 35 ya PSPF TOWERS
mtaa wa Sokoine jijini Dar es salaam leo Septemba 16, 2015
Mrisho Mpoto na Mjomba Band wakitumbuiza kwenye sherehe za majengo pacha ya ghorofa 35 ya PSPF TOWERS mtaa wa Sokoine jijini Dar es salaam leo Septemba 16, 2015
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Mkurugenzi Mkuu wa PPF Bw. William Erio na Mkurugenzi Mkuu wa NSSF Dr. Ramadhani Dau alipowasili kuzindua majengo pacha ya ghorofa 35 ya PSPF TOWERS mtaa wa Sokoine jijini Dar es salaam leo Septemba 16, 2015
majengo pacha ya ghorofa 35 ya PSPF TOWERS mtaa wa Sokoine jijini Dar es salaam yaliyozindulia leo Septemba 16, 2015
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea jambo na Mkurugenzi Mkuu wa mfuko wa pensheni wa PSPF Mkurugenzin Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF,
Adam Mayingu katika sherehe za kuzindua majengo pacha ya ghorofa 35 ya
PSPF TOWERS mtaa wa Sokoine jijini Dar es salaam leo Septemba 16, 2015
Rais Jakaya Mrisho Kikwete hutubia kabla ya kuzindua rasmi majengo pacha ya ghorofa 35 ya PSPF TOWERS mtaa wa Sokoine jijini Dar es salaam leo Septemba 16, 2015
Sehemu ya wageni na wafanyakazi wa PSPF kuzindua majengo pacha ya ghorofa 35 ya PSPF TOWERS mtaa wa Sokoine jijini Dar es salaam leo Septemba 16, 2015
Makandarasi waliojenga majengo pacha hayo wakisimama kutambuliwa
Makandarasi waliojenga majengo pacha hayo wakisimama kutambuliwa
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akijaza fomu kujiunga na mfuko wa pensheni wa PSPF
kwenye sherehe hizo. Kulia ni Naibu waziri wa Fedha Mhe. Adam Kighoma
Malima. Kulia kwa Rais ni Mwenyekiti wa Bodi ya PSPF Mhe. George Yambesi
na kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa mfuko wa pensheni wa PSPF Bw. Adam Mayingu
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akipokea mfano wa kadi kwa ajili ya Mama Salma
Kikwete ambaye pia amejiunga na mfuko wa pensheni wa PSPF kwenye sherehe
hizo. Kulia ni Naibu waziri wa Fedha Mhe. Adam Kighoma Malima. Kulia
kwa Rais ni Mwenyekiti wa Bodi ya PSPF Mhe. George Yambesi na kushoto ni
Mkurugenzi Mkuu wa mfuko wa pensheni wa PSPF Bw. Adam Mayingu
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akipokea mfano wa kadi yake baada ya kujiunga
mfuko wa pensheni wa PSPF kwenye sherehe hizo. Kulia ni Naibu waziri wa
Fedha Mhe. Adam Kighoma Malima. Kulia kwa Rais ni Mwenyekiti wa Bodi ya
PSPF Mhe. George Yambesi na kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa mfuko wa
pensheni wa PSPF Bw. Adam Mayingu
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka alama ya dole kwenye fomu yake ya
uanmachama baada ya kujiunga mfuko wa pensheni wa PSPF kwenye sherehe
hizo. Kulia ni Naibu waziri wa Fedha Mhe. Adam Kighoma Malima. Kulia kwa
Rais ni Mwenyekiti wa Bodi ya PSPF Mhe. George Yambesi na kushoto ni
Mkurugenzi Mkuu wa mfuko wa pensheni wa PSPF Bw. Adam Mayingu
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na na Mkurugenzi Mkuu wa NSSF Dr. Ramadhani Dau na Mkurugenzi Mkuu wa PPF Bw. William Erio kwenye sherehe zsa kuzindua majengo pacha ya ghorofa 35 ya PSPF TOWERS mtaa wa Sokoine jijini Dar es salaam leo Septemba 16, 2015
Rais Kikwete na msanii Mrisho Mpoto baada ya kuzindua majengo pacha ya PSPF
Rais Kikwete akikagua sehemu ya majengo hayo
Rais Kikwete katika picha ya pamoja na viongozi na wakuu wa mifuko ya pensheni
Rais Kikwete na viongozi wengine wakifurahia sanamu ya ukutani inayopamba eneo la mapokezi
Rais Kikwete akiwa na Bodi ya PSPF
Wakurugenzi wa vitengo mbalimbali vya PSPF
Makandarasi wazalendo waliojenga majengo pacha ya PSPF Towers
Watumishi wa PSPF
Rais Kikwete akifungua mabango kuzindua sanamu kubwa ya PSPF
Rais Kikwete akifunua pazia kuzindua rasmi majengo pacha ya PSPF TOWERS
Rais Kikwete akikata utepe kuzindua rasmi majengo pacha ya PSPF TOWERS
Rais Kikwete akipokea zawadi ya picha ya PSPF Towers na Bw. George Yambesi. PICHA NA IKULU
Amos Makalla AAGA RASMI WIZARA YA MAJI
Mhe. Amos Makalla akisalimiana na
watumishi wa Wizara ya Maji waliompokea mara baada ya kuwasili Wizarani,
pamoja na Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali watu, Gideon Manambo.
Mhe. Amos Makalla akizungumza na watumishi wa Wizara ya Maji, wakati akiaga wizarani hapo.
Mhe. Amos Makalla akiwa ofisini kwake, alipofika kuaga Wizara ya Maji.
Mhe. Amos Makalla akipokea shada la maua kutoka kwa Mkurugenzi Msaidizi wa Utawala, Beatrice Patrick.
Mhe. Amos Makalla akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi na watumishi wa Wizara ya Maji.
………………………………………
Aliyekuwa Naibu Waziri wa Maji,
Mhe. Amos Makalla leo mchana ameaga rasmi watumishi wa Wizara ya Majina
kwenda kuanza majukumu mapya kama Mkuu wa Mkoawa Kilimanjaro.
Mhe.Makalla ambaye alifika Wizarani hapo, akitokea Ikulu alikoapishwa rasmi na Mhe. Rais, Jakaya Mrisho Kikwete, mara baada ya kuteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro.
Mhe.Makalla ambaye alikuwa Naibu Waziri wa Maji kwa zaidi ya mwaka mmoja, aliweza kufanya kazi kwa weledi mkubwa licha kuwa mgeni kwenye Sekta hiyo. Ambapo aliweza kuzunguka karibu mikoa yote na kutembelea karibu Mamlaka zote za Maji nchini kati
Mhe.Makalla ambaye alifika Wizarani hapo, akitokea Ikulu alikoapishwa rasmi na Mhe. Rais, Jakaya Mrisho Kikwete, mara baada ya kuteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro.
Mhe.Makalla ambaye alikuwa Naibu Waziri wa Maji kwa zaidi ya mwaka mmoja, aliweza kufanya kazi kwa weledi mkubwa licha kuwa mgeni kwenye Sekta hiyo. Ambapo aliweza kuzunguka karibu mikoa yote na kutembelea karibu Mamlaka zote za Maji nchini kati
RAIS KIKWETE AKAGUA MAENDELEO YA KITUO CHA MICHEZO KWA VIJANA CHA KIDONGO CHEKUNDU DAR ES SALAAM
Kituo cha Michezo kwa vija na cha Kidongo Chekundu jijini Dar es salaam kinavyoonekana kutoka angani.
Rais Jakaya Mrisho kikwete
akitembezwa na Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya umeme ya Symbion Bw. Paul
Hicks wakati akikagua maendeleo ya ujenzi wa
kituo cha kisasa cha Michezo kwa
vijana cha Kidongo Chekundu jijini Dar es salaam leo Septemba 16, 2015.
Kituo hicho kinajengwa kwa msaada wa Klabu ya Sunderland ya Uingereza
na kampuni ya symbion
Rais Jakaya Mrisho kikwete
akitembezwa na Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya umeme ya Symbion Bw. Paul
Hicks kwa mmoja wa wasimamizi wa mradi huo wakati akikagua maendeleo ya
ujenzi wa
kituo cha kisasa cha Michezo kwa
vijana cha Kidongo Chekundu jijini Dar es salaam leo Septemba 16, 2015.
Kituo hicho kinajengwa kwa msaada wa Klabu ya Sunderland ya Uingereza
na kampuni ya symbion
Rais Jakaya Mrisho kikwete
akitembezwa na Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya umeme ya Symbion Bw. Paul
Hicks kwa kocha wa vijana wa kandanda mwenye
kutambulika na FIFA kutoka
Uingereza wa mradi huo wakati akikagua maendeleo ya ujenzi wa kituo cha
kisasa cha Michezo kwa vijana cha Kidongo Chekundu jijini Dar es
salaam
leo Septemba 16, 2015. Kituo hicho kinajengwa kwa msaada wa Klabu ya Sunderland ya Uingereza na kampuni ya symbion.
PICHA NA MICHUZI
MKUTANO WA UIMARISHAJI NA UHAKIKI WA MIPAKA KATI YA TANZANIA NA KENYA
Mkurugenzi Idara ya upimaji na
Ramani Justo Lyamuya, Mkurugenzi wa Nyumba Charles Mafuru kutoka Wizara
ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na Barozi wa Kenya nchini
Tanzania Chirua Ali wakiwa katika kikao hicho.
Wajumbe kutoka Tanzania na Kenya wakiwa katika kikao hicho.
Baadhi ya wajumbe kutoka Tanzania wakiwa katika kikao hicho.
Baadhi ya wajumbe kutoka Kenya wakiwa katika kikao hicho.
Washiriki wa mkutano wakiwa katika picha ya pamoja, hoteli ya Kilimanjaro jijini Dar es salaam.
Picha zote na Hassan mabuye
……………………………………………
Wizara ya Ardhi, Nyumba na
Maendeleo ya Makazi inafanya mkutano wa siku tano kati ya Serikali ya
jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Kenya ili
kuimarisha na kuhakiki mipaka kati ya nchi hizo. Kikao hicho cha wajumbe
maalumu kutoka nchi hizo mbili kinafanyika katika Hoteli ya Kilimanjaro
jijini Dar es salaam kuanzia tarehe 14 hadi 18 septemba 2015.
MTANDAO WA EVERJOBS TANZANIA KUWAKUTANISHA WAAJIRIWA NA WAAJIRI
Mkurugenzi Mtendaji wa Everjobs wa Ukanda wa Afrika Eric
Lauer, akiwaelezea waandishi wa habari pamoja na wageni waalikwa jinsi
mfumo wao wa tovuti ambao unaweza kuwaunganisha waajiri na waajiriwa kwa
urahisi kabisa huku waajiri wakipata nafasi ya kuweza kupata taarifa
zote muhimu kutoka kwa wanaoomba kazi kupitia tovuti hiyo pindi
wanapokuwa wamejiunga na Kampuni ya Everjobs Tanzania.Mkutano huo
ulifanyika jana katika hoteli ya Serena Jijini Dar Es salaam.
Mkurugenzi wa Everjobs Tanzania, Florens
Roell akielezea namna ambavyo waajiri na waajiriwa wanaweza kunufaika
na Kampuni ya Everjobs Tanzania ambayo inatoa nafasi kwa waajiriwa
kuweza kuomba kazi kupitia tovuti yao ya www.everjobs.co.tz.
Mkuu wa Kitengo cha Mauzo wa Everjobs Tanzania Lucas Masson (wa pili kutoka kulia) akielezea jinsi ya waajiliwa ambavyo wanaweza kujiunga katika tovuti yao ya www.everjobs.co.tz na kuweza kuona nafasi za kazi mbalimbali zinazotangazwa kupitia tovuti hiyo na kuweza kuomba kazi hapo hapo kupitia tovuti.
Mmoja wa wageni waalikwa akiuliza swali kwa Wakurugenzi na maafisa wa Everjobs wakati wa mkutano wao na waandishi wa habari pamoja na wageni waalikwa uliofanyika jana
Mkurugenzi Mtendaji wa Everjobs Katika Ukanda wa Afrika Eric
Lauer (wa kwanza kushoto) akijibu baadhi ya maswali yaliyokuwa
yakiulizwa na waandishi wa habari pamoja na wageni waalikwa
waliohudhuria mkutano uliofanyika jana katika hoteli ya Serena Jijini
Dar
Mmoja wa wageni akitoa shukrani kwa wamuluki wa kampuni ya Everjobs Tanzania kwa kuona changamoto na kuifanya kuwa fursa.
Baadhi ya Wageni waalikwa na waandishi wa habari wakifuatilia kwa makini mkutano huo
Subscribe to:
Posts (Atom)