Mwenyekiti
wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Andrew Chenge akisoma
dua ya kuliombea Bunge katika kikao cha 38 cha Mkutano wa Saba wa Bunge
la 11 leo Mjini Dodoma Mei 31, 2017.
Naibu
Waziri wa Nishati na Madini Mhe.Dk.Medard Kalemani akiwasilisha Randama
za Makadirio na Matumizi ya Wizara yake kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018
katika kikao cha 38 cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma
Mei 31, 2017.
Naibu
Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhe. Mhandisi Isack Kamwelwe akijibu
maswali mbalimbali ya wabunge katika kikao cha 38 cha Mkutano wa Saba wa
Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Mei 31, 2017.
Waziri
Mkuu wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa
akizungumza jambo na Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo
Mhe.Harrison Mwakyembe katika kikao cha 38 cha Mkutano wa Saba wa Bunge
la 11 leo Mjini Dodoma Mei 31, 2017.
Mwanasheria
Mkuu wa Serikali Mhe.George Masaju akifuatilia jambo kutoka kwa Naibu
Waziri Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki
Mhe.Dk.Suzan Kolimba katika kikao cha 38 cha Mkutano wa Saba wa Bunge
la 11 leo Mjini Dodoma Mei 31, 2017.Kushoto ni Waziri wa Nchi Ofisi ya
Waziri Mkuu Sera,Bunge,Ajira,Kazi,Vijana na Watu wenye Ulemavu
Mhe.Jenista Mhagama.
Waziri
wa Maliasili na Utalii Mhe.Prof Jumanne Maghembe akimskiliza Mbunge wa
Mtama(CCM) Mhe.Nape Nnauye katika kikao cha 38 cha Mkutano wa Saba wa
Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Mei 31, 2017.
Naibu
Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Mhe.Khamis
Kigwangalla akijibu maswali mbalimbali ya wabunge katika kikao cha 38
cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Mei 31, 2017.
Waziri
wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Mhe. Charles Mwijage akijibu maswali
mbalimbali ya wabunge katika kikao cha 38 cha Mkutano wa Saba wa Bunge
la 11 leo Mjini Dodoma Mei 31, 2017.