MAFUNZO YA KRIKETI LEO KWA SHULE ZA MSINGI JIJINI TANGA KWENYE VIWANJA VYA TANGAMANO.

February 02, 2014
MAFUNZO HAPO YAKIWA YANAENDELEA.



                   MWENYEKITI WA KRIKETI TANZANIA AKISISITIZA JAMBO NA WANAFUNZI WALIOHUDHURIA MAFUNZO HAYO.


HAPA AKIKABIDHI KOMBE KWA NAHODHA WA SHULE YA MSINGI MKWAKWANI AMBAYO ILIFANYA VIZURI KWENYE BONANZA HILO AMBALO PIA LILIKUWA NI SEHEMU YA MASHINDANO KWA SHULE ZA MSINGI JIJINI TANGA.

February 02, 2014

GARI HII INAUZWA WADAU







GARI AINA YA NISSANI TERRANO(TURBO),MENUAL INAUZWA MKOANI TANGA SH.MILIONI 8 MPAKA 7 IKIWEMO MAZUNGUMZO BAINA YA MNUNUZI NA MUUZAJI GARI HIYO IPO TANGA MJINI .

KWA MAWASILIANO ZAIDI PIGA SIMU NAMBA.
0713830779,0786830779 ,0755461370 ILI KUWEZA KUPATA MAELEKEZO ZAIDI. 
February 02, 2014

Matukio pichani katika sherehe za kumpongeza Absalom Kibanda kwa kushinda kesi

 Mhariri Mtendaji wa New Habari 2006 Ltd, wachapishaji wa magazeti ya Mtanzania, Rai, Bingwa, Dimba na The African, Absalom Kibanda, akizungumza na wafanyakazi wa Kampuni hiyo, hawapo pichani katika hafla fupi ya kumpongeza ushindi wake katika kesi iliyokuwa inamkabili iliyodaiwa kuwa ni uchochezi juzi. Halfa hiyo ilifanyika katika ofisi za Kampuni hiyo, Sinza Kijiweni.
Absalom Kibanda kushoto akifurahia jambo kutoka kwa MC, Sidi Mgumia, ambaye ni mwandishi wa Gazeti la The African. Kulia kwa Sidi ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa New Habari, Hussein Bashe.
 Baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni hiyo, Hassan Bumbuli, Jonathan Tito, Kambi Mbwana, Grace Hoka na Mareges Paul wote wamesimama. Ilikuwa burudani kubwa, huku wakiangalia kinachojiri katika tukio hilo la aina yake katika hafla hiyo.
February 02, 2014

*YANGA YAICHAPA MBEYA CITY BAO 1-0 NA KUBAKI NAFASI YA PILI, AZAM FC YAIRARUA KAGERA SUGAR MABAO 4-0

 Mshambuliaji mwenye speed 120 wa timu ya Yanga, Mrisho Ngassa (kuashoto) akichuana kuwania mpira na beki wa Mbeya City, Deogratias Julius, wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, leo jioni. 
Katika mchezo huo Yanga ilishinda bao 1-0 lililofungwa na Mrisho Ngassa , katika dakika ya 15 ya mchezo huo, bao lililodumu hadi kipyenga cha kuashiria kumalizika kwa dakika 90 za mchezo. 
Kwa bao hilo sasa Yanga imefikisha jumla ya Pointi 35 huku ikiendelea kuwa nyuma ya Azam Fc waliofikisha Pointi 36 baada ya kuwafunga Kagera Sugar katika mchezo wao uliopigwa katika dimba la Chamazi, leo jioni kwa jumla ya mabao 4-0.
February 02, 2014

MWENYEKITI WA CCM,RAIS KIKWETE AONGOZA MATEMBEZI YA MSHIKAMANO MAADHIMISHO YA MIAKA 37 YA CCM JIJINI MBEYA

 Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM),Rais Jakaya Kikwete  akiwapungia mkono baadhi ya Wananchi (hawapo pichani),walioshirikia matembezi ya mshikamano yaliyoanzia viwanja vya Soweto,kuelekea kwenye bustani iliyopo nje ya uwanja wa kumbukumbu ya Sokoine jijini Mbeya mapema leo asubuhi,ikiwa ni sehemu ya kilele cha maadhimisho ya kusherehekea miaka 37 kuzaliwa kwa chama cha CCM.Kushoto kati ni Mwenyekiti wa CCM wa mkoa wa Mbeya ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Mbozi Mashariki,Mh.Godfrey Zambi,Katibu Mkuu wa chama hicho,ndugu Kinana pamoja na Katibu wa Uchumi na Fedha,Bi Zakia Meghji wakishiriki matembezii hayo yaliyofana kwa kiasi kikubwa jijini humo.Rais Kikwete ambaye ndiye mgeni rasmi wa sherehe hizo atahutubia leo  mchana kwenye maadhimisho ya sherehe hizo zitakazofanyika katika uwanja wa Sokoine mkoani humo.
Rais Kikwete akiongoza  matembezi ya mshikamano yaliyoanzia viwanja vya Soweto akiwa sambamba na baadhi ya watoto,kuelekea kwenye bustani iliyopo nje ya uwanja wa kumbukumbu ya Sokoine jijini Mbeya,ikiwa ni sehemu ya kilele cha maadhimisho ya kusherehekea miaka 37 kuzaliwa kwa chama cha CCM.Kushoto kati ni Mwenyekiti wa CCM wa mkoa wa Mbeya ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Mbozi Mashariki,Mh.Godfrey Zambi,Katibu Mkuu wa chama hicho,ndugu Kinana pamoja na Katibu wa Uchumi na Fedha,Bi Zakia Meghji wakishiriki matembezii hayo yaliyofana kwa kiasi kikubwa jijini humo. 
 Baadhi ya vijana wakereketwa na chama cha CCM wakiwa na mabango yao. 
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM),Rais Jakaya Kikwete  (pilia kulia) akiwa tayari kuongoza wanachana na Wananchi (hawapo pichani) kushiriki matembezi ya mshikamano yaliyoanzia viwanja vya Soweto,kuelekea kwenye bustani iliyopo nje ya uwanja wa kumbukumbu ya Sokoine jijini Mbeya mapema leo asubuhi,ikiwa ni sehemu ya kilele cha maadhimisho ya kusherehekea miaka 37 kuzaliwa kwa chama cha CCM.Kulia ni Makamu Mwenyekiti wa CCM,Bwa.Phillip Mangula,wa tatu kulia ni Mwenyekiti wa CCM wa mkoa wa Mbeya ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Mbozi Mashariki,Mh.Godfrey Zambi,Katibu Mkuu wa chama hicho,ndugu Kinana pamoja na Katibu wa Uchumi na Fedha,Bi Zakia Meghji pamoja na Waziri Ofisi ya Rais asiye na Wizara maalum,Prof Mark Mwandosya wakiwa tayai kuyaanza matembezi hayo.
 Rais Kikwete akizungumza na baadhi ya watoto waliokuwa miongoni mwa watoto waliojitokeza kushiriki  matembezi ya mshikamano yaliyoanzia viwanja vya Soweto mapema leo asubuhi kuelekea kwenye bustani iliyopo nje ya uwanja wa kumbukumbu ya Sokoine jijini Mbeya,ikiwa ni sehemu ya kilele cha maadhimisho ya kusherehekea miaka 37 kuzaliwa kwa chama cha CCM.
 Baadhi ya Wanahabari kutoka vyombo mbalimbali wakishiriki kuchukua matukio yaliyokuwa yakijiri kwenye matembezi ya mshikamano yaliyoanzia viwanja vya Soweto mapema leo asubuhi kuelekea kwenye bustani iliyopo nje ya uwanja wa kumbukumbu ya Sokoine jijini Mbeya,ikiwa ni sehemu ya kilele cha maadhimisho ya kusherehekea miaka 37 kuzaliwa kwa chama cha CCM.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM),Rais Jakaya Kikwete akipokelewa na viongozi wa chama hicho ngazi za juu,pichani akisalimiana na  Katibu Mkuu wa chama hicho,ndugu Kinana na anaeshuhudia pichani kati ni Makamu Mwenyekiti wa CCM,Mh.Phillip Mangula,tayari kwa kuongoza matembezi ya mshikamano yaliyoanzia viwanja vya Soweto,kuelekea kwenye bustani iliyopo nje ya uwanja wa kumbukumbu ya Sokoine jijini Mbeya,ikiwa ni sehemu ya kilele cha maadhimisho ya kusherehekea miaka 37 kuzaliwa kwa chama cha CCM.
February 02, 2014

MWENYEKITI WA CCM,RAIS KIKWETE AONGOZA MATEMBEZI YA MSHIKAMANO MAADHIMISHO YA MIAKA 37 YA CCM JIJINI MBEYA

 Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM),Rais Jakaya Kikwete  akiwapungia mkono baadhi ya Wananchi (hawapo pichani),walioshirikia matembezi ya mshikamano yaliyoanzia viwanja vya Soweto,kuelekea kwenye bustani iliyopo nje ya uwanja wa kumbukumbu ya Sokoine jijini Mbeya mapema leo asubuhi,ikiwa ni sehemu ya kilele cha maadhimisho ya kusherehekea miaka 37 kuzaliwa kwa chama cha CCM.Kushoto kati ni Mwenyekiti wa CCM wa mkoa wa Mbeya ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Mbozi Mashariki,Mh.Godfrey Zambi,Katibu Mkuu wa chama hicho,ndugu Kinana pamoja na Katibu wa Uchumi na Fedha,Bi Zakia Meghji wakishiriki matembezii hayo yaliyofana kwa kiasi kikubwa jijini humo.Rais Kikwete ambaye ndiye mgeni rasmi wa sherehe hizo atahutubia leo  mchana kwenye maadhimisho ya sherehe hizo zitakazofanyika katika uwanja wa Sokoine mkoani humo.
Rais Kikwete akiongoza  matembezi ya mshikamano yaliyoanzia viwanja vya Soweto akiwa sambamba na baadhi ya watoto,kuelekea kwenye bustani iliyopo nje ya uwanja wa kumbukumbu ya Sokoine jijini Mbeya,ikiwa ni sehemu ya kilele cha maadhimisho ya kusherehekea miaka 37 kuzaliwa kwa chama cha CCM.Kushoto kati ni Mwenyekiti wa CCM wa mkoa wa Mbeya ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Mbozi Mashariki,Mh.Godfrey Zambi,Katibu Mkuu wa chama hicho,ndugu Kinana pamoja na Katibu wa Uchumi na Fedha,Bi Zakia Meghji wakishiriki matembezii hayo yaliyofana kwa kiasi kikubwa jijini humo. 
 Baadhi ya vijana wakereketwa na chama cha CCM wakiwa na mabango yao. 
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM),Rais Jakaya Kikwete  (pilia kulia) akiwa tayari kuongoza wanachana na Wananchi (hawapo pichani) kushiriki matembezi ya mshikamano yaliyoanzia viwanja vya Soweto,kuelekea kwenye bustani iliyopo nje ya uwanja wa kumbukumbu ya Sokoine jijini Mbeya mapema leo asubuhi,ikiwa ni sehemu ya kilele cha maadhimisho ya kusherehekea miaka 37 kuzaliwa kwa chama cha CCM.Kulia ni Makamu Mwenyekiti wa CCM,Bwa.Phillip Mangula,wa tatu kulia ni Mwenyekiti wa CCM wa mkoa wa Mbeya ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Mbozi Mashariki,Mh.Godfrey Zambi,Katibu Mkuu wa chama hicho,ndugu Kinana pamoja na Katibu wa Uchumi na Fedha,Bi Zakia Meghji pamoja na Waziri Ofisi ya Rais asiye na Wizara maalum,Prof Mark Mwandosya wakiwa tayai kuyaanza matembezi hayo.
 Rais Kikwete akizungumza na baadhi ya watoto waliokuwa miongoni mwa watoto waliojitokeza kushiriki  matembezi ya mshikamano yaliyoanzia viwanja vya Soweto mapema leo asubuhi kuelekea kwenye bustani iliyopo nje ya uwanja wa kumbukumbu ya Sokoine jijini Mbeya,ikiwa ni sehemu ya kilele cha maadhimisho ya kusherehekea miaka 37 kuzaliwa kwa chama cha CCM.
 Baadhi ya Wanahabari kutoka vyombo mbalimbali wakishiriki kuchukua matukio yaliyokuwa yakijiri kwenye matembezi ya mshikamano yaliyoanzia viwanja vya Soweto mapema leo asubuhi kuelekea kwenye bustani iliyopo nje ya uwanja wa kumbukumbu ya Sokoine jijini Mbeya,ikiwa ni sehemu ya kilele cha maadhimisho ya kusherehekea miaka 37 kuzaliwa kwa chama cha CCM.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM),Rais Jakaya Kikwete akipokelewa na viongozi wa chama hicho ngazi za juu,pichani akisalimiana na  Katibu Mkuu wa chama hicho,ndugu Kinana na anaeshuhudia pichani kati ni Makamu Mwenyekiti wa CCM,Mh.Phillip Mangula,tayari kwa kuongoza matembezi ya mshikamano yaliyoanzia viwanja vya Soweto,kuelekea kwenye bustani iliyopo nje ya uwanja wa kumbukumbu ya Sokoine jijini Mbeya,ikiwa ni sehemu ya kilele cha maadhimisho ya kusherehekea miaka 37 kuzaliwa kwa chama cha CCM.

DC DENDEGO NA DIWANI SELEBOSI WAPANIA KUINUA VIPAJI VYA WANAMICHEZO WILAYANI TANGA.

February 02, 2014



Picha hizo ni Kikundi cha Majuto Arts Group wakionyesha umahiri wao
kwenye bonanza la Michezo ambalo limeandaliwa na Mkuu wa wilaya ya
Tanga Halima Dendego kwa kushirikiana na Diwani wa Kata ya Nguvumali
Mustapha Selebosi ambapo bonanza hilo hufanyika kila Jumamosi kwenye
viwanja vya shule ya msingi Majani Mapana jijini Tanga.
Na Oscar Assenga, Tanga.
DHAMIRA ya Mkuu wa wilaya ya Tanga,Halima Dendego na Diwani wa Kata ya Nguvumali Mustapha Sellebosi ya kuinua vipaji vya soka kwa vijana inapaswa kuungwa mkono na wadau wengine mkoani Tanga kwani itasaidia kupunguza vitendo viovu na kuwaepusha kukaa vijweni.

Viongozi hao wawili waliamua kukaa na kuamua kuanzisha bonanza la michezo ambalo limekuwa kivutio kikubwa kwa vijana wa wilaya ya Tanga ambalo hufanyika kila Jumamosi kwa kuwakutanisha wasanii chipukizi na timu mbalimbali za mpira wa miguu,pete,wavu na michezo mengine ikiwemo kukimbia na kuvuta kamba.

MAKANGE SIUNGI MKONO SERIKALI TATU.

February 02, 2014
Na Oscar Assenga, Tanga.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Jakaya Mrisho Kikwete ni kiongozi ambaye  anapaswa kupongezwa kwa dhamira yake ya thati ya kuhakikisha anawapatia watanzania Katiba Mpya hii inaonyesha kwamba ni msikuvu mwanademokrasia makini na mtu asiyeogopa mabadiliko.

Kauli hiyo ilitolewa na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Tanga(UVCCM)Abdi Makange wakati akizungumza na mwandishi wa makala hii ambapo anasema Rais Kikwete  katika suala hilo angeweze kuacha kuwapatia watanzania katiba mpya lakini akaona bora afanye hivyo.

Makange anasema wao kama umoja wa wa vijana wanampongeza sana pamoja na kumpongeza kwa mazuri yaliyomo kwenye katiba mpya ambapo anasema binafsi haungi mkono suala la serikali tatu kwa sababu haoni kama inatija kwa watanzania hapa nchini.

Anasema suala la Katibu mpya linahitaji umakini mkubwa sana ingawa hakupata bahati ya kuisoma kiundani zaidi kwa kusema ina mazuri yake na mambo yasiyokuwa mazuri likiwemo suala la serikali tatu ambalo litaweza kurudisha nyuma maendeleo nchi.
February 02, 2014
KAMPIRA AACHIA NGAZI MGAMBO SHOOTING.
OSCAR ASSENGA,TANGA.
ALIYEKUWA Kocha Mkuu wa timu ya Mgambo Shooting yenye maskani yake Handeni Mkoani Tanga,Mohamed Kampira ameamua kujiuzulu nafasi ya  kuifudisha timu hiyo kwa  sababu ya kukosa ushirikiano wa kutosha na uongozi wa ngazi ya juu ya timu hiyo.


Kampira aliyesema hayo jana ambapo alisema kuwa ameachia ngazi kwa manufaa ya timu kwa sababu timu ni chombo cha watu na asingependa kuona timu hiyo haifanyi vizuri kwa sababu yake .


Alisema kitu kingine ni kutokana na matatizo yake ya kifamilia na
kuhaidi kukabidhi barua ya kuachia ngazi kwenye timu hiyo kwa uongozi wa timu hiyo pindi timu hiyo  Jumatatu wakati timu itakaporudi kutoka jijini Dar es Salaam.

  'Sababu kubwa ni kukosa ushirikiano kwani ni dhahiri kabisa
unapokuwa mwalimu kwenye timu yoyote ile na ukashindwa kuelewana na uongozi hasa kwenye mambo muhimu hautaweza kuendelea kufanya kazi zaidi ya kuachia ngazi "Alisema Kampira.


Akizungumzia soka la Tanzania hasa kwa vilabu vinavyoshiriki Ligi kuu soka Tanzania bara,Kampira alisema mfumo walionao viongozi wa vilabu kuingilia maamuzi ya mabenchi ya ufundi utaua mpira wa Tanzania na kushindwa kupiga hatua.
February 02, 2014

Government move on oil ship affects Tanga economy 

 By Paskal Mbunga, Tanga      January 29, 2014


TANGA's battered economy continues to slip behind following the Government decision to terminate the off-loading of petroleum liquid at the Tanga port imported by private oil depot owners in the region, which has a far reaching consequences as regards to peoples' daily life.
 
The government move is translated as a protection gear against rampant cheatiing by the oil transporters countrywide forcing the government to make Dar es Salam port as the centre point for petroleium oil distribution under the bulk procurement policy..
However, more than 500 people in this town whose lives  depended on the off-loading incoming tankers from the  Middle East have been disrupted as  they do not have any business to do now.

According to the Chairman of the Union of the Port Workers in Tanga, Mr.Ali Hassan told this paper that the city's residents are now experiencing the pinch following the government move whereas employment in the sector came to a ground halt at the end of 2012 after the big tankers said good bye to the beautiful coastal city.

Hassan said hundreds of youth who got the opportunity in employment or casual jobs with the tankers have now been laid off.  Petty businesses which mushroomed in and around the port areas have dwindled giving way to people engaging in criminal activities.

The Tanga port authorities said it has lost a considerable amount of revenue after the government move to terminate importation of petroleum oil by oil depot owners under the bulky procurement policy.

The Acting Tanga Port Manager,  Fred Liundi said it was the  petrodollar that increased the port's revenue tremendously ranking oil as the main top revenue source.

Liundi said for the last two years, 2010/2012, Tanga port total accrued revenue stood at (so much billions)of which over half of it derived from oil  revenue collection.

But when the government move to curtail importation of petroleum oil by private depot owners, the port revenue plummeted from (billions to millions) hence sending hundreds of casual workers  into jobless.

The Tanga TRA Regional Manager, Juma Mahanyu asserted that though the region has lost one of its main revenue source,the government has lost nothing in terms of revenue, because it is the same regime which also collects in Dar es Salaam and is entered in the general government fund.

He disclosed that during the 2010/2011 fiscal year, the authority collected T.shs. 7,475,605,550.57  from oil revenue

He said the volume dropped dramatically for the 2012/2013 fiscal year when the importation of petroleum products through Tanga port was localized for transit fuel intended to go to the Democratic Republic of Congo (DRC)..

"The Regional Revenue Collector managed to collect only T.shs .2,177,705,783.20 from wet cargo for the 2012/2013 financial year".he said.  

"The contributions of more than seven billion shillings from wet cargo like that which contributed in 2011/2012 fiscal year to disappear permanently, is a very big loss to the region", conceded Mahanyu, adding that despite of the amount contributed unexpectedly gained from localization of transit fuel intended for the Democratic Republic of Congo (DRC) for the 2012/2013 financial year. 

During the financial year 2012/2013, customs revenue collection performance tends to be very poor in Tanga region against the over estimated allocated target.

Comparisons with other two previous financial years have abeen made to ascertain the contributors of such low performance.                                                                              


While Tanga region continues to suffer from strangled employment opportunities and other income generating avenues, unemployment in Tanga city accounts for about 90 per cent of the region's population, hence putting its economic progress at stake.