PANONE FC YASONGA MBELE LIGI YA SHIRIKISHO YA AZAM,YAIFUNGA POLISI DAR ES SALAAM BAO 2 KWA 1

November 21, 2015
Wachezaji wa timu ya soka ya Panone fc wakipasha misuli moto kabla ya kuanza kwa mchezo wa ligi ya shirikisho inayodhaminiwana Azam.
Wachezaji wa timu ya Polisi Dar wakipasha misuli moto kabla ya kuanza kwamchezo wa ligi ya shirikisho hidi ya Panone fc mchezo uliopigwa katika uwanja wa Chuo cha Ushirika.
Kocha wa timu ya soka ya Panone fc,Atuga Manyundo akizungumza na Azam TV iliyokuwa ikirusha mchezo huo moja kwa moja.
Wapiga picha wa Azam Tv wakiweka sawa mitambo yao kwa ajili ya kurusha live mchezo huo.
Vikosi vya timu za Polisi Dar na Panone fc vikiwa tayari kuingia uwanjani.
Vikosi vikiingia uwanjani.
Panone fc
Polisi Dar.
Wachezaji wa timu hizo wakisalimiana.
Benchi la Polisi Dar.
Benchi la Panone fc.
Kikosi cha Panone fc.
Waamuzi wa mchezo uo.
Camera maalum aina ya Drone akipiga picha za juu katika uwanja wa Ushirika wakati wa mchezo wa ligi ya Shirikisho kati ya Panone fc na Polisi Dar.
Azam Tv walikuwa live kurusha mchezo huo.
heka heka katika mchezo huo.
Panone fc wakishangilia baada ya kupata bao la kwanza.
Heka heka.
Heka heka langoni mwa timu ya Polisi Dar.
Wachezaji wa Polisi Dar wakishangilia mara baada ya kusawazisha bao.
Panone fc wakifanya mabadiliko ,mchezaji Pompy akinngia.
Baadhi ya Mashabiki waliojitokeza katika mchezo huo.
Figisu figisu ilipotokea uwanjanihapa kidogo wachezaji wa timu zote mbili akioneshana msuli.
Mmoja wa wachezaji wa timu ya Panone fc akiwa chini akisikilizia maumivu baada ya kuchezewa vibaya na mchezaji wa Polisi Dar.
Mchezaji wa Panone fc akipewa msaada wa huduma ya kwanza mara baada ya kuchezewa vibaya.
Mlinzi wa timu ya Panone fc Pompy akijaribu kumiliki mpira.
Aliyekuwa Kocha wa timu ya soka ya JKT Ruvu ,Felix Minziro akiwa katika uwanja wa Ushirika akifuatilia mchezo kati ya timu ya Panone fc na Polisi Dar ,
Moja ya heka heka langoni mwa timu ya Panone fc.
Pompy akijaribu kumzuia msgambuliaji wa timu ya Polisi  Dar,
Mwamuzi wamchezo huo ,Nathan akiashiria kumalizika kwa dakika 90 za mchezo huo.
Mwisho wa mchezo Panone fc 2 Polisi Dar 1.
Waamuzi wakitoka uwanjani.
Wazee wa kubeti nao hao hawako nyuma sasa hivi wanatembea na mashine zao hadi katika viwanja vya michezo.
Wapiga picha wa Azam Tv wakichukua matukio mbalimbali.

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.
WAZIRI MKUU MAJALIWA KWENYE HAFLA FUPI YA KUZINDUA BUNGE

WAZIRI MKUU MAJALIWA KWENYE HAFLA FUPI YA KUZINDUA BUNGE

November 21, 2015

X1 X2
Waziri  Mkuu,   Majaliwa Kassim Majaliwa  akizungumza na  Mke wa Rais Mstaafu wa  Awamu ya Nnne , Mama Salma Kikwete katika hafla fupi  iliyoyofanyika kwenye viwanja vya Bunge mjiniDodoma  baada ya Rais John Magufuli kuzindua Bunge Novemba 2015.
X3
Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete  na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa Kassim  wakizungumza na baadhi ya wabunge  na waalikwa waliohudhuria hafla fupi  iliyofanyika kwenye viwanja vya bunge mjini Dodoma  baada ya Rais John Magufuli kuzindua Bunge Novemba  20, 2015.
X4
Waziri  Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa akisalimiana na mbunge wa Mufindi, Cosato Chumi katika hafla  fupi ya kuzindua bunge iliyofanyika kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Novemba 20, 2015. Katkati ni Mbunge wa ROrya Lameck Airo.
X5
Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa akizungumza na  Spika wa Bunge Job Ndugai (kushoto) , Mkewe Mary  (wapili kushoto) na  Katibu wa Bunge Dkt. Thomas Kashilila  (wapili kulia) katika hafla ya  kuzindua Bunge iliyofanyika kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Novemba 20, 2015.
(Picha na Ofisi ya  Waziri Mkuu)