PINDA MGENI RASMI, HAFLA YA KUKABIDHI HUNDI ZA RUZUKU KWA WACHIMBAJI WADOGO
|
|
|
|
Waziri Mkuu wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Mizengo Pinda atakuwa mgeni rasmi katika
hafla iliyoandaliwa na Wizara ya Nishati na Madini ya kukabidhi hundi za ruzuku
ya Dola za Marekani 500,000 kwa wachimbaji wadogo 11 waliokidhi vigezo.
Hafla ya Utoaji wa hundi
hizo kwa wachimbaji wadogo itafanyika mjini Dodoma tarehe 9/4/2014 katika Chuo
cha Madini ambapo Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo
akiambatana na Naibu Waziri
anayeshughulikia Madini, Stephen Masele pamoja na watendaji kutoka Benki ya
Rasilimali Tanzania (TIB), Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) pamoja na
Shirikisho la Wachimbaji Wadogo Tanzania (FEMATA) watashuhudia utoaji wa hundi
hizo.
WAKULIMA WA MKONGE WAISHAURI SERIKALI KUPITIA UPYA VIWANGO VYA KODI.
NA RAISA SAID,TANGA.
WAKULIMA wa zao la Mkonge mkoani Tanga wameishauri Serikali ipitie upya viwango vya kodi ya ardhi na kufanya uchambuzi yakinifu ikiwahusisha wadau katika sekta mbalimbali ili kufanya maamuzi kwa maslahi ya walio wengi na Taifa kwa ujumla.
Akizungumza katika mahojiano na vyombo vya habari vya mkoa wa Tanga, Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya mkonge ya Katani Limited, Salum Shamte alisema kuwa kodi ya ardhi ni suala mtambuka ambalo Serikali haitakiwi kulifumbia macho.
WAKULIMA wa zao la Mkonge mkoani Tanga wameishauri Serikali ipitie upya viwango vya kodi ya ardhi na kufanya uchambuzi yakinifu ikiwahusisha wadau katika sekta mbalimbali ili kufanya maamuzi kwa maslahi ya walio wengi na Taifa kwa ujumla.
Akizungumza katika mahojiano na vyombo vya habari vya mkoa wa Tanga, Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya mkonge ya Katani Limited, Salum Shamte alisema kuwa kodi ya ardhi ni suala mtambuka ambalo Serikali haitakiwi kulifumbia macho.
"liko ndani ya uwezo wa Serikali, kwamba mwekezaji anaweza kuruhusiwa
kuwekeza kabla ya kulipa kodi hadi atakapoanza kuwa na mapato kama
ilivyo kwenye sheria ya uwekezaji katika sekta nyingine," alishauri
Shamte.
SOKO LA MICHUNGWANI LITAPUNGUZA UMBALI KWA WAKAZI WASIOPUNGUA 13,513 MUHEZA
NA OSCAR ASSENGA,MUHEZA.
MKURUGENZI wa Halmashauri ya wilaya ya Muheza,Ibrahimu Matovu amesema ujenzi wa soko la michungwani wilayani hapo litasaidia kupunguza umbali kwa wakazi wasiopungua 13,513 wa maeneo ya kata za Genge na Majengo ambao awali walikuwa kupata mahitaji yao katika soko kuu la Muheza mjini.
MKURUGENZI wa Halmashauri ya wilaya ya Muheza,Ibrahimu Matovu amesema ujenzi wa soko la michungwani wilayani hapo litasaidia kupunguza umbali kwa wakazi wasiopungua 13,513 wa maeneo ya kata za Genge na Majengo ambao awali walikuwa kupata mahitaji yao katika soko kuu la Muheza mjini.
TIMU TATU FDL ZARUDI LIGI YA MKOA
Timu tatu za Ligi Daraja la Kwanza (FDL) zitacheza
Ligi ya Mkoa katika mikoa yao msimu ujao baada ya kushika nafasi za mwisho
katika makundi yao, hivyo kushuka daraja.
Transit Camp imekata nafasi ya mwisho katika A
wakati Mkamba Rangers imeshuka daraja kwa kukamata mkia katika kundi B. Nayo
Pamba SC imerudi kucheza Ligi ya Mkoa wa Mwanza baada ya kuwa ya mwisho kwenye
kundi C.
Subscribe to:
Posts (Atom)