WAREMBO wanaowania Taji la Redd's Miss Tanga 2013 wakiwa katika pozi mara baada ya kumalizika mazoezi yao leo katika ukumbi wa Lavida Loca jijini Tanga ambapo shindano hilo linatarajiwa kufanyika June 22 mwaka huu katika uwanja wa Mkwakwani,Picha kwa hisani ya blog hii.