Mkuu
wa Mkoa wa Singida Mhandisi Mathew Mtigumwe akimpokea Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli mara baada ya kuwasili
katika Wilaya ya Manyoni Mkoani Singida.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia
mamia ya wakazi wa Manyoni Mkoani Singida mara baada ya kuwasili katika
Wilaya hiyo akiwa njiani kuelekea mkoani Singida.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia
mamia ya wakazi wa Manyoni Mkoani Singida mara baada ya kuwasili katika
Wilaya hiyo akiwa njiani kuelekea mkoani Singida.
Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akiwasalimia wakazi wa Singida mara baada ya kuwasili.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwapungia
wakazi wa Manyoni mara baada ya kumaliza kuhutubia katika Uwanja wa
Shule ya Msingi Tambuka Reli Manyoni Mkoani Singida.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwapungia
wakazi wa Manyoni mara baada ya kumaliza kuhutubia katika Uwanja wa
Shule ya Msingi Tambuka Reli Manyoni Mkoani Singida.
Mbunge
wa manyoni Magharibi Yahya Masare akicheza ngoma na kikundi cha Ngoma
za asili cha Manyoni kabla ya Rais wa Jamhuri ya Muungano Dkt. John
Magufuli kuhutubia mkutano katika Uwanja wa Shule ya Msingi Tambuka Reli
Manyoni Mkoani Singida.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akiwahutubia wakazi wa Ikungi waliomsimamisha wakati akielekea Mkoani
Singida. PICHA NA IKULU