Na Masanja Mabula .Zanzibar .
Kocha
Mkuu wa timu ya Taifa ya Zanzibar Salim Nassor Bausi ametangaza majina
ya wachezaji 30 ambao wataunda timu ya Zanzibar Herroes kitachakashiriki
michuano ya challange .
Katika kikosi hicho Majina yaNahodha wa timu hiyo na
msaidizi wake Nadri Haroub Kanavaro na Agrey Morris yakiwa hayamo
huku pia kukiwa na mchezaji mmoja pekee kutoka timu za Pemba
zinazoshiriki ligi kuu ya Zanzibar .
Makipa
walioitwa kuunda timu hiyo ni Mwadin Ali kutoka Azam ,Abdalla Rashid
Ruvu Shooting pamoja na Ali Suleiman kutoka timu ya Miembeni .
kwa
upande wa walinzi ni Mohammed Azan kutoka Polisi , Waziri Salum Azam ,
Shafi Hassan Malindi , Mohammed Faki Zimamoto , Salum Haji Miembeni ,
Said Yussuf Mtende Rangers , Mohamed Othaman kutoka Jamhuri ya Pemba ,
Mussa Said Chwaka Stars pamoja na Nassor Massoud Cholo Simba .
Viungo
ambao wameitwa na kocha Bausi ni Abduhalim Humud ,Simba , Sabri Ali,
JKT
Oljoro , Adeyoum Saleh , Simba ,Is-haka Othaman JKU , Ali Kani JKT
Oljoro , Hamad Mshamata Chuoni , Salum Hamad Miembeni , Awadh Juma ,
Mtibwa Sugar , na Masoud Ali Mtibwa Sugar .
Washambuliaji
ambao wamepewa jukumu la kuhakikisha kwamba n yvu za timu pinzani
zinapata hujuma kila wakati ni Seif Abdalla ,Azam Suleiman Kassim
Serembe Coastal Union ,Khamis Mcha Azam , Amour Omar Miembeni , na Amir
Hamad JKT Oljoro .
Wengine
ni Jaku Joma Mafunzo , Faki Nahoda Kimbuga , Hassan Seif Mtibwa Sugar
pamoja na Juma Ali kutoka klabu ya New Geeration .
Kwa
mujibu wa kocha bausi ni kwamba timu hiyo itaingia kambini Novemba 15
huku pia akiitaka ZAF kuandaa michezo mingi ya kirafiki kabla ya
kuielekea Kenye kwa ajili ya michuano hiyo .