MAJIMAREFU ATOA MIFUKO 50 YA SARUJI KITUO CHA POLISI MAGOMA

September 01, 2013
MBUNGE wa Jimbo la Korogwe Vijijini,Stephen Ngonyani "Maji Marefu"mwenye shuti akipata maelekezo kutoka kwa Afisa Tarafa ya Magoma Haji Mbaruku kuhusu ujenzi wa kituo cha Polisi cha Tarafa hiyo wakati alipokitembelea jana,Picha na Oscar Assenga,Korogwe.