RC GALLAWA-VIONGOZI KUWENI MSTARI WA MBELE KUWAHIMIZA WANANCHI KUJIUNGA NA MFUKO WA AFYA YA JAMII MIJINI(TIKA)

March 28, 2014
MKUU WA MKOA WA TANGA,LUTENI MSTAAFU CHIKU GALLAWA AKIFUNGUA MKUTANO WA SIKU  YA MFUKO WA AFYA YA JAMII MIJINI WA TIBA KWA KADI (TIKA) KOROGWE MJI AMBAPO LENGO LA MKUTANO HUO NI KUCHUKUA MAONI NA KUWAELEZA JINSI TIKA INAVYOFANYA KAZI

MKUU WA WILAYA YA KOROGWE ,MRISHO GAMBO AKIZUNGUMZA KATIKA MKUTANO WA WADAU SIKU YA MFUKO WA AFYA YA JAMII MIJINI WA TIBA KWA KADI(TIKA)

MENEJA WA MFUKO WA TAIFA WA BIMA LA AFYA(NHIF)MKOA WA TANGA,ALLY MWAKABABU AKIELEZEA  UMUHIMU WA  MATUMIZI YA TIBA KWA KADI (TIKA)MBELE YA MGENI RASMI AMBAYE NI MKUU WA MKOA WA TANGA,LUTENI MSTAAFU CHIKU GALLAWA

MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA KOROGWE MJI, NA DIWANI WA KATA YA KILOLE ,ANGELO BENDERA AKISISITIZA JAMBO WAKATI AKIZUNGUMZA KWENYE MKUTANO HUO

MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA KOROGWE MJI,LEWIS KALINJUNA AKISISITIZA UMUHIMU WA JAMII KUJIUNGA NA MFUKO HUO KATIKA MKUTANO HUO

AFISA MATEKELEZO NA URATIBU WA MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA (NHIF)-SINGIDA ISSAYA SHEKIFU AKITOA UZOEFU WAKE KILA MMOJA WILAYA YA IRAMBA -SINGIDA JINSI WANANCHI WALIVYOFADIKA KUPITIA TIKA.
March 28, 2014

*RIDHIWANI KIKWETE AITEKA BWILINGU

 Mgombea wa nafasi ya Ubunge Jimbo la Chalinze kupitia CCM Ndugu Ridhiwani Kikwete akihutubia wakazi wa kijiji cha Matuli Kata ya Bwilingu na kuwaambia CCM ni Chama pekee kinachoweza kuahidi na kutekeleza yale yalioahidiwa.
 Mgombea wa Ubunge Jimbo la Chalinze kupitia tiketi ya CCM Ndugu Ridhiwani Kikwete akisalimiana na Katibu Mkuu wa zamani wa Umoja wa Vijana CCM Ndugu Martine Shigela  wakati wa mkutano wa kampeni za CCM kijiji cha Matuli kata ya Bwilingu.
March 28, 2014

KASEBA NA MASHALI WAPIMA UZITO KUPIGANA JUMAMOSI MARCH 29 PTA SABASABA!!

Bondia Japhert Kaseba akipima uzito kwa ajili ya mpambano wake wa ubingwa na Thomasi mashali kushoto mpambano utakaofanyika PTA Sabasaba siku ya jumamosi march 29 picha nawww.superdboxingcoach.blogspot.com
March 28, 2014

KAMATI YA UCHUMI NA FEDHA YA HALMASHAURI YA MJI KOROGWE, TANGA YAPITISHA MPANGO WA TIBA KWA KADI (TIKA)

Mwenyekiti wa Hamashauri ya Mji Korogwe ambaye ni Diwani wa Kata ya Kilole, Mheshimiwa Angello Bendera akiendesha kikao cha Kamati ya Uchumi na Fedha cha Halmashauri ya Mji kujadili mchakato wa kubadilisha sheria ndogo ya Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) kwenda katika Mfumo wa Afya ya Jamii Mijini wa Tiba kwa Kadi (TIKA). Kikao hicho cha tatu kimefanyika leo Machi 27, 2014 katika ukumbi wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe. Pembeni ni Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji ambaye ni Diwani wa Kata ya Mtonga, Mheshimiwa Francis Komba (kushoto), anayefuatia ni Mganga Mkuu wa Halmashauri ya mji Korogwe, Dokta Jerry Mwakanyamale (kulia) na Meneja wa Bima ya Afya – Mkoa wa Tanga, Bw. Ally Mwakababu (kushoto).
Meneja wa Bima ya Afya – Mkoa wa Tanga, Bw. Ally Mwakababu (kushoto) akieleza umuhimu wa matumizi ya Tiba kwa Kadi (TIKA) kikao cha Kamati ya Uchumi na Fedha cha Halmashauri ya Mji kujadili mchakato wa kubadilisha sheria ndogo ya Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) kwenda katika Mfumo wa Afya ya Jamii Mijini wa Tiba kwa Kadi (TIKA). Kikao hicho cha tatu kimefanyika leo Machi 27, 2014 katika ukumbi wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe. Pembeni ni Mganga Mkuu wa Halmashauri ya mji Korogwe, Dokata Jerry Mwakanyamale (kulia), Mwenyekiti wa Hamashauri ya Mji Korogwe ambaye ni Diwani wa Kata ya Kilole, Mheshimiwa Angello Bendera na Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji ambaye ni Diwani wa Kata ya Mtonga, Mheshimiwa Francis Komba.