RAIS DKT MAGUFULI NA RAIS MUSEVENI WA UGANDA WASAINI TAMKO LA PAMOJA LA UTEKELEZAJI WA UJENZI WA BOMBA LA MAFUTA LA HOIMA-TANGA

May 21, 2017
Rais Dkt John Pombe Magufuli na Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Museveni wakizungumza kabla ya zoezi la kutia saini tamko la pamoja la kukamilika kwa majadiliano na vipengele vya mkataba wa utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta ghafi kutoka Hoima nchini Uganda hadi Tanga nchini Tanzania katika hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Mei 21,PICHA NA IKULU
Rais Dkt John Pombe Magufuli na Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Museveni na wajumbe zao katika mazungumzo ya mwisho  kabla ya kutia saini tamko la pamoja la kukamilika kwa majadiliano na vipengele vya mkataba wa utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta ghafi kutoka Hoima nchini Uganda hadi Tanga nchini Tanzania katika hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Mei 21, 2017
Rais Dkt John Pombe Magufuli na Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Museveni na wajumbe zao katika mazungumzo ya mwisho  kabla ya kutia saini tamko la pamoja la kukamilika kwa majadiliano na vipengele vya mkataba wa utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta ghafi kutoka Hoima nchini Uganda hadi Tanga nchini Tanzania katika hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Mei 21, 2017
Rais Dkt John Pombe Magufuli na Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Museveni wakitia saini tamko la pamoja la kukamilika kwa majadiliano na vipengele vya mkataba wa utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta ghafi kutoka Hoima nchini Uganda hadi Tanga nchini Tanzania katika hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Mei 21, 2017. 
Rais Dkt John Pombe Magufuli na Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Museveni wakitia saini tamko la pamoja la kukamilika kwa majadiliano na vipengele vya mkataba wa utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta ghafi kutoka Hoima nchini Uganda hadi Tanga nchini Tanzania katika hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Mei 21, 2017. 

TUZO ZA LIGI KUU 2016/17

May 21, 2017


SHEREHE za Tuzo ya Mchezaji Bora wa Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) inatarajiwa kufanyika Mei 24 mwaka huu ukumbi wa Mlimani City Dar es Salaam.

Kamati Maalum iliyoundwa kusimamia tuzo hiyo imefanya mabadiliko kiasi kwa kuongeza baadhi ya tuzo ambazo hazikuwepo msimu uliopita lengo ikiwa ni kuboresha tuzo.

Tuzo zilizoongezwa ni: Tuzo ya Heshima (ambayo itatolewa kwa mwanasoka nguli wa zamani mwenye historia nzuri kwa soka la Tanzania).

Nyingine ni: Tuzo ya Kikosi Bora cha Msimu (Itatolewa kwa wachezaji Bora 11 wa Ligi Kuu (VPL XI 2016/2017) walioteuliwa kutokana na ufanisi wao katika ligi hiyo msimu huu.

Pia imeongezwa Tuzo ya Mchezaji Bora mwenye chini ya umri wa miaka 20 (Hii itatolewa kwa wachezaji waliofanya vizuri katika ligi ya vijana ya timu za Ligi Kuu ya Vodacom.

Tuzo hiyo ya Mchezaji Bora wa Ligi ya Vijana itajulikana kama Tuzo ya Ismail Khalfan ikiwa ni heshima ya kumbukumbu ya mchezaji Ismail Khalfan wa Mbao FC aliyefia uwanjani katika mashindano hayo yaliyofanyika mkoani Kagera.

Sospeter Muchunguzi naye azoa mkwanja wa Biko

May 21, 2017

Balozi wa Biko Kajala Masanja kulia akizungumza jambo wakati wa kuchezesha droo ya saba ya kumtafuta mshindi wa Sh Milioni 10 ambapo bwana Sospeter Muchunguzi wa Ubungo, jijini Dar es Salaam alitangazwa mshindi.

Mkutano wa 18 wa Kawaida wa Wakuu wa nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki jijini Dar es salaam

May 21, 2017
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki anayemaliza muda wake Rais Dkt. John Pombe Magufuli akimpokea Mwenyekiti mpya wa Jumuiya hiyo Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Museveni kwenye Mkutano wa 18 wa Kawaida wa Wakuu wa nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki ukumbi wa mikutano wa Kikwete Ikulu jijini Dar es salaam
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki anayemaliza muda wake Rais Dkt. John Pombe Magufuli akimtambukilisha Waziri wa Biashara, Viwanda na Masuala ya Jumuiya ya Afrika Mashariki wa Rwanda Mhe. Francois Kanimba kwa Mwenyekiti mpya wa Jumuiya hiyo Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Museveni  kabla ya kuanza kwa  Mkutano wa 18 wa Kawaida wa Wakuu wa nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki ukumbi wa mikutano wa Kikwete Ikulu jijini Dar es salaam
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki anayemaliza muda wake Rais Dkt. John Pombe Magufuli akimtambulisha Makamu wa Kwanza wa Rais wa Burundi Mhe. Gaston Sindimwo kwa Mwenyekiti mpya wa Jumuiya hiyo Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Museveni  kabla ya kuanza kwa  Mkutano wa 18 wa Kawaida wa Wakuu wa nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki ukumbi wa mikutano wa Kikwete Ikulu jijini Dar es salaam
Naibu Rais wa Kenya Mhe. William Ruto akilakiwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa kikanda Dkt. Augustine Mahiga
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki anayemaliza muda wake Rais Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Naibu Rais wa Kenya Mhe William Ruto
Viongozi wakijiandaa na mkutano wao wa ndani
Naibu Rais wa Kenya Mhe William Ruto akiongea na Waziri wa Sheria na Katiba wa Tanzania Profesa Paramagamba Kabudi
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki anayemaliza muda wake Rais Dkt. John Pombe Magufuli akiteta jambo na Naibu Rais wa Kenya Mhe William Ruto
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki anayemaliza muda wake Rais Dkt. John Pombe Magufuli akiongea na Rais Yoweri Museveni wa Uganda na Naibu Rais wa Kenya Mhe William Ruto
RAIS WA ZANZIBAR DK. ALI MOHAMED SHEIN AONGOZA HAFLA YA UCHANGIAJI VIFAA VYA MICHEZO SKULI ZA SERIKALI (1)

RAIS WA ZANZIBAR DK. ALI MOHAMED SHEIN AONGOZA HAFLA YA UCHANGIAJI VIFAA VYA MICHEZO SKULI ZA SERIKALI (1)

May 21, 2017
haf1
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mhe.Riziki Pembe Juma alipowasili katika viwanja vya  Ukumbi wa zamani wa Baraza la Wawakilishi Mnazi Mmoja Mjini Unguja jana katika hafla ya uchangiaji wa Vifaa vya michezo katika Skuli za Serikali za Zanzibar,[Picha na Ikulu.] 20/05/2017.
haf2
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein na Mkewe Mama Mwanamwema Shein (katikati) wakifuatana  na  Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mhe.Riziki Pembe Juma (kulia) walipokuwa wakiingia   katika  Ukumbi wa zamani wa Baraza la Wawakilishi   Mnazi Mmoja Mjini Unguja jana katika hafla ya uchangiaji wa Vifaa vya michezo katika Skuli za Serikali za Zanzibar,[Picha na Ikulu.] 20/05/2017.
haf3
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein na Mkewe Mama Mwanamwema Shein (katikati) wakiwa na Viongozi mbali mbali katika hafla ya uchangiaji wa Vifaa vya michezo katika Skuli za Serikali za Zanzibar iliyofanyika jana katika  Ukumbi wa zamani wa Baraza la Wawakilishi  Mnazi Mmoja Mjini Unguja akiwepo Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mzee Ali Hassan Mwinyi (wa pili kulia),[Picha na Ikulu.] 20/05/2017. 
haf4
Viongozi na Wafanyabiashara mbali mbali wakiwa katika ukumbi wa zamani wa Baraza la Wawakilishi Mnazi Mmoja Mjini Unguja wakiwa hafla ya uchangiaji wa Vifaa vya michezo katika Skuli za Serikali za Zanzibar iliyofanyika jana katika mgeni rasmi akiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani),[Picha na Ikulu.]  20/05/2017. 
haf5
Baadhi ya wawakilishi wa Makampuni ya kibiashara wakiwa hafla ya uchangiaji wa Vifaa vya michezo katika Skuli za Serikali za Zanzibar iliyofanyika jana katika ukumbi wa zamani wa Baraza la Wawakilishi Mnazi Mmoja Mjini Unguja mgeni rasmi akiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani),[Picha na Ikulu.]  20/05/2017. 
haf6
Mfanyabishara wa Zanzibar Said Bophar alipokuwa akitangaza mchango wake mbele ya uuma uliokusanyika katika ukumbi wa zamani wa Baraza la Wawakilishi Mnazi Mmoja Mjini Unguja wakati wa hafla ya uchangiaji wa Vifaa vya michezo katika Skuli za Serikali za Zanzibar iliyofanyika jana, mgeni rasmi akiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani),[Picha na Ikulu.]  20/05/2017. 
haf7
Mwakilishi wa Mamlaka ya Maji safi na Salama ZAWA  Nd,Kazija Mussa Msheba akitangaza mchango wao wa Millioni tano wakati wa hafla ya uchangiaji wa Vifaa vya michezo katika Skuli za Serikali za Zanzibar iliyofanyika jana,katika ukumbi wa zamani wa Baraza la Wawakilishi Mnazi Mmoja Mjini Unguja  ambapo mgeni rasmi akiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani),[Picha na Ikulu.]  20/05/2017. 
haf8
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mhe.Riziki Pembe Juma alipokuwa akitangaza mchango wake wa Milioni moja kumdhamini Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein katika hafla ya uchangiaji wa Vifaa vya michezo katika Skuli za Serikali za Zanzibar iliyofanyika jana katika viwanja vya  Ukumbi wa zamani wa Baraza la Wawakilishi Mnazi Mmoja Mjini Unguja,[Picha na Ikulu.] 20/05/2017.
haf9
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein alipokuwa akitangaza mchango wa Millioni nane kwa niaba ya familia yake kumdhamini Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akiwa mgeni rasmi katika hafla ya uchangiaji wa Vifaa vya michezo katika Skuli za Serikali za Zanzibar iliyofanyika jana katika viwanja vya  Ukumbi wa zamani wa Baraza la Wawakilishi Mnazi Mmoja Mjini Unguja,[Picha na Ikulu.] 20/05/2017.
haf10
Picha  ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akipiga mpira wakati wa Uzinduzi wa Mashindano ya Vyuo Vikuu ikinadisha wakati wa hafla ya uchangiaji wa Vifaa vya michezo katika Skuli za Serikali za Zanzibar iliyofanyika jana katika viwanja vya  Ukumbi wa zamani wa Baraza la Wawakilishi Mnazi Mmoja Mjini Unguja,[Picha na Ikulu.] 20/05/2017.
haf11
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) na Mkewe  Mama Mwanamwema Shein (kushoto) pamoja na Mshauri wa Rais Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Uchumi pia Mwenyekiti wa Kamati ya Uchangiaji Vifaa vya Michezo katika Skuli za Serikali za Zanzibar Mhe.Mohamed Ramia wakiangalia picha ya zamani wakati Dk.Shein alivyokuwa akishiriki mchezo wa Riadha katika Skuli ya Lumumba picha hiyo iliyofikishwa katika hafla ya uchangiaji wa Vifaa vya michezo katika Skuli za Serikali za Zanzibar iliyofanyika jana katika viwanja vya  Ukumbi wa zamani wa Baraza la Wawakilishi Mnazi Mmoja Mjini Unguja,[Picha na Ikulu.] 20/05/2017.  

MAHAFALI YA 29 YA KIDATO CHA SITA YA SHULE YA SEKONDARI YA AL HARAMAIN JIJINI DAR ES SALAAM

May 21, 2017


Wahitimu wa kidato cha sita wa Shule ya Sekondari ya Al Haramain, wakiingia kwenye ukumbi wa mahafali wakati wa mahafali yao ya 29, jijini Dar es Salaam jana.(Picha zote na Kassim Mbarouk-www.bayana.blogspot.com)
Mwanafunzi wa kidato cha tatu wa Shue ya Sekondari ya Al Haramain, Hairat Hashim akisoma Qur'an katika mahafali hayo.
Mwanafunzi Mohammed Fauz wa shule hiyo, akitoa mawaidha wakati wa mahafali hayo.
Mwalimu wa Nidhamu katika shule hiyo, Mwalimu Omar Hamad, akiwaongoza wanafunzi wa kidato cha tatu kughani kaswida wakati wa mahafali hayo ya 29, jijini Dar es Saaam jana.
Wanafunzi wa kidato cha tatu wakipiga dufu na kughani kaswida wakati wa mahafali hayo ya 29, jijini Dar es Saaam jana.
Rais mstaafu wa Serikali ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Al Haramain, mhitimu wa kidato cha sita, Hassan Hamisi akizungumza wakati wa mahafali hayo.
Rais mpya wa Serikali ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Al Haramain, mwanafunzi wa kidato cha tano, Salim Mruta, akitoa shukrani zake kwa wahitimu, wakati wa mahafali hayo.
Imam wa Msikiti wa Al Haramain, Sheikh Issa Kalunga, akitoa dua wakati wa mahafali hayo.
Wahitimu wa kike wa kidato cha sita wa shule hiyo, wakiwa kwenye ukumbi wa mahafali yao hayo jana. 
Mwanafunzi wa kidato cha tano wa Shule ya Sekondari ya Al Haramain, Omar Rajab, akisoma Qur'an katika mahafali hayo.
Mwanafunzi wa kidato cha tano wa Shule ya Sekondari ya Al Haramain, Ally Athumani akitoa tafsiri ya Qur'an iliyosomwa katika mahafali hayo.
Baadhi ya wazazi na walezi wa wahitimu wa kidato cha sita, wakiwa kwenye ukumbi wa mahafali hayo, wakifuatilia matukio mbaimbali yaliyokuwa yakifanyika ukumbini humo.
Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Al Haramain, Mwalimu Nuh Jabir (wa pili kushoto), akiwa na baadhi ya walimu viongozi katika meza kuu katika mahafali hayo. Kushoto ni Mwalimu wa Taaluma, Mwalimu Rashid Kassim.
Hali ya ukumbi ulivyokuwa wakati wa mahafali hayo.
Wanafunzi wa kidato cha tano wa shule hiyo, Mwajuma Ahmad (kushoto) na Husna Khalid wakighani utenzi mbele ya mgeni rasmi katika Mahafali ya 29 ya kidato cha Sita ya Shule ya Sekondari ya Al Haramain, Mwenyekiti wa Halmashauri Kuu ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), Sheikh Hamis Mataka.
Mgeni rasmi katika Mahafali ya 29 ya kidato cha Sita ya Shule ya Sekondari ya Al Haramain, Mwenyekiti wa Halmashauri Kuu ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), Sheikh Hamis Mataka (katikati, mwenye simu), akiwa meza kuu pamoja na Mkuu wa shule hiyo, Mwalimu Nuh Jabir (kushoto) na Mkuu wa Chuo cha Ualimu cha Al- Haramain, Mwalimu Suleiman Urassa.
Mkuu wa shule hiyo, Mwalimu Nuh Jabir, akimkaribisha Mgeni rasmi katika Mahafali ya 29 ya kidato cha Sita ya Shule ya Sekondari ya Al Haramain, Mwenyekiti wa Halmashauri Kuu ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), Sheikh Hamis Mataka (kushoto kwake) pamoja na kutambulisha walimu viongozi kwenye meza kuu. Kulia ni Mkuu wa Chuo cha Ualimu cha Al- Haramain, Mwalimu Suleiman Urassa na kushoto ni Mwalimu wa Taaluma, Mwalimu Rashid Kassim.
Mhitimu wa kidato cha sita, Hassan Hamis (kushoto), akisoma risala ya wahitimu. Kulia anayemsaidia ni Waziri Hassan.
Mkuu wa Chuo cha Ualimu cha Al- Haramain, Mwalimu Suleiman Urassa, akizungumza wakati wa mahafali ya 29 ya kidato cha sita ya Shule ya Sekondari ya Al Haramain. Kushoto ni Mgeni rasmi katika mahafali hayo, Mwenyekiti wa Halmashauri Kuu ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), Sheikh Hamis Mataka.
Wahitimu wa kidato cha sita, Yusra Said (kushoto) na Raiyan Hassan wakighani utenzi mbele ya mgeni rasmi katika Mahafali ya 29 ya kidato cha Sita ya Shule ya Sekondari ya Al Haramain, Mwenyekiti wa Halmashauri Kuu ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), Sheikh Hamis Mataka.
Mkuu wa shule hiyo, Mwalimu Nuh Jabir, akisoma taarifa ya shule kwa Mgeni rasmi katika mahafali hayo ya 29 ya kidato cha Sita, Mwenyekiti wa Halmashauri Kuu ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), Sheikh Hamis Mataka (kulia), wakati wa mahafali hayo. Kushoto ni Mwalimu wa Taaluma, Mwalimu Rashid Kassim.
Mgeni rasmi katika Mahafali ya 29 ya kidato cha Sita ya Shule ya Sekondari ya Al Haramain, Mwenyekiti wa Halmashauri Kuu ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), Sheikh Hamis Mataka, akizungumza na wahitimu hao, wakati wa mahafali hayo, jijini Dar es Dar es Salaam jana. Kushoto ni Mkuu wa shule hiyo, Mwalimu Nuh Jabir na kulia ni Mkuu wa Chuo cha Ualimu cha Al- Haramain, Mwalimu Suleiman Urassa.
Mgeni rasmi katika Mahafali ya 29 ya kidato cha Sita ya Shule ya Sekondari ya Al Haramain, Mwenyekiti wa Halmashauri Kuu ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), Sheikh Hamis Mataka, akimkabidhi cheti cha Kiongozi Bora, mhitimu Khadija Mashaka, wakati wa mahafali hayo, jijini Dar es Dar es Salaam jana. Kushoto ni Mkuu wa shule hiyo, Mwalimu Nuh Jabir.
Mgeni rasmi Sheikh Hamis Mataka, akimkabidhi cheti Mwanafunzi Bora katika somo la Geography, mhitimu Mussa Baruti, wakati wa mahafali hayo, jana, jijini Dar es Dar es Salaam. Kushoto ni Mkuu wa shule hiyo, Mwalimu Nuh Jabir.
Mgeni rasmi Sheikh Hamis Mataka, akimkabidhi cheti cha kuhitimu kidato cha sita mhitimu Hawa Gulamu, wakati wa mahafali hayo, jana, jijini Dar es Dar es Salaam.