Na Oscar Assenga, Tanga.
MKUU wa Mkoa wa Tanga, Chiku Gallawa jana aliwaongoza wakazi wa mkoa katika mapokezi ya kuipokea timu ya Vijana ya Coastal Union ambao ni mabingwa wapya wa Mashindano ya Kombe Uhai Cup baada ya kuifunga Yanga kwenye mechi ya Fainali.
Maandalizi ya mapokezi hayo yalianza majira ya saa nane mchana kwa shamrashamra za aina yake huku barabara iliyokua ikielekea kwenye uwanja wa Mkwakwani ilifurika umati mkubwa wa mashabiki wake.
MKUU wa Mkoa wa Tanga, Chiku Gallawa jana aliwaongoza wakazi wa mkoa katika mapokezi ya kuipokea timu ya Vijana ya Coastal Union ambao ni mabingwa wapya wa Mashindano ya Kombe Uhai Cup baada ya kuifunga Yanga kwenye mechi ya Fainali.
Maandalizi ya mapokezi hayo yalianza majira ya saa nane mchana kwa shamrashamra za aina yake huku barabara iliyokua ikielekea kwenye uwanja wa Mkwakwani ilifurika umati mkubwa wa mashabiki wake.