Msanii Mrisho Mpoto akielezea kupitia mashairi
Mama Zaida Mgalla akitoa ufafanuzi kwa ripota wa Uwezo TV Bi. Melania Mhagama
Mgeni Rasmi akionyesha ripoti baada ya kuzindua.
Wakati
ambapo asilimia 100 ya watoto wa Darasa la 3 na kuendelea wanapaswa kuweza
kusoma na kufanya hesabu za kiwango fulani, matokeo ya Uwezo yanaonyesha kwamba
ni wachache tu ndiyo wanaoweza kufanya hivyo.
Katika
Darasa la 3, mmoja kati ya watoto wanne anaweza kusoma Kiswahili kwa kiwango
sahihi. Shule za binafsi zinafanya vizuri zaidi kidogo kulinganisha na zile za
Serikali, ambapo asilimia 61 ya watoto walio na umri chini ya miaka 9 hawawezi kusoma
Kiswahili na kufanya Hesabu za Kuzidisha kulinganisha na asilimia 85 ya wenzao
walio katika shule za Serikali.