MAMA SALMA KIKWETE ATEMBELEA KATA ZA MIKUMBI,NDARO NA MBANJA HUKO LINDI MJINI KWA AJILI YA KAMPENI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA

December 12, 2014

  Mke wa Rais na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi wa Wilaya ya Lindi Mjini Mama Salma Kikwete akisalimiana na viongozi wa CCM Kata ya Mikumbi iliyoko Mjini Lindi wakati alipowasili kwenye eneo hilo kwa ajili ya kufanya mkutano wa ndani na viongozi hao tarehe 11.12.2014. Anayemtambulisha kwa wajumbe hao ni Mwenyekiti wa CCM wa Kata ya Mikumbi Bwana Bakari Seif Mikojo.
  Mjumbe wa NEC Taifa ya CCM anayewakilisha Wilaya ya Lindi Mjini na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akizungumza na viongozi wa chama wa Kata ya Mikumbi katika mkutano wa ndani wa Chama hicho kuhusiana na uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika nchini tarehe 14.12.2014.
  Mjumbe wa NEC Taifa ya CCM anayewakilisha Wilaya ya Lindi Mjini na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akizungumza na viongozi wa chama wa Kata ya Mikumbi katika mkutano wa ndani wa Chama hicho kuhusiana na uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika nchini tarehe 14.12.2014.
  Mjumbe wa NEC Taifa ya CCM anayewakilisha Wilaya ya Lindi Mjini na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akizungumza na viongozi wa chama wa Kata ya Mikumbi katika mkutano wa ndani wa Chama hicho kuhusiana na uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika nchini tarehe 14.12.2014.
  Mjumbe wa NEC Taifa ya CCM anayewakilisha Wilaya ya Lindi Mjini na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akizungumza na viongozi wa chama wa Kata ya Mikumbi katika mkutano wa ndani wa Chama hicho kuhusiana na uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika nchini tarehe 14.12.2014.
  Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi wa Wilaya ya Lindi Mjini na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akisalimiana na uongozi wa Chama wa Kata ya Ndoro iliyoko Lindi Mjini mara baada ya kuwasili katani hapo kwa lengo za kuzungumza na viongozi wa kata hiyo kuhusiana na uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika tarehe 14.12.2014. Anayetambulisha ni Mwenyekiti wa CCM wa Kata hiyo Ndugu Saleh Ahmed Saleh.
 Mjumbe wa NEC Taifa ya CCM na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akishirikiana na viongozi wa CCM wa Kata ya Ndaro kuunga mkono muundo wa serikali mbili unaopendekezwa na Rasimu ya Katiba.
 Mjumbe wa NEC Taifa ya CCM na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akishirikiana na viongozi wa CCM wa Kata ya Ndaro kuunga mkono muundo wa serikali mbili unaopendekezwa na Rasimu ya Katiba.
 Mjumbe wa NEC Taifa ya Chama Cha Mapinduzi na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akizungumza na uongozi wa Kata ya Ndaro katika mkutano wa ndani kuhusiana na uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika nchini tarehe 14.12.2014.
  Mjumbe wa NEC Taifa ya CCM anayewakilisha Wilaya ya Lindi Mjini na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiwatambulisha na kuwaombea kura wagombea uenyekiti wa serikali za mitaa wa Kata ya Ndaro kwa wajumbe wa mkutano. Mama Salma yuko Wilayani Lindi Mjini kuhamasisha wananchi kukipigia kura Chama Cha Mapinduzi katika uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika tarehe 14.12.2014.
  Mjumbe wa NEC Taifa ya Chama Cha Mapinduzi wa Wilaya ya Lindi Mjini na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiwahutubia wananchi wa Kata ya Mbanja kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika katika tawi la Mto Mkavu katika wilaya ya Lindi Mjini tarehe 11.12.2014. PICHA NA JOHN  LUKUWI 

DC GAMBO AFUNGUA KITUO CHA AFYA KILICHOJENGWA NA HIFADHI YA TAIFA YA MKOMAZI

December 12, 2014


 Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Mrisho Gambo akifungua kituo cha Afya kijiji cha  Kalalani kata ya Kigwase Wilayani humo kilichojengwa na Hifadhi ya Taifa ya Taifa ya  Mkomazi kilichogharimu zaidi ya shilingi milioni 97 kati ya pesa hizo wananchi wamechangia milioni 19.

 Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Mrisho Gambo akipima afya mara baada ya kufungua kituo cha Afya kijiji cha Kalalani kata ya Kigwase kilichojengwa na Hifadhi ya Taifa ya Mkoazi na hadi kukamilika kwake kiligharimu zaidi ya shilingi milioni 97 kati ya pesa hizo wananchi wamechangia milioni 19

MKUU MPYA WA MKOA WA TANGA AKABIDHIWA OFISI RASMI

December 12, 2014

       Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Magalula Saidi Magalula ( kushoto)  akipokea taarifa ya makabidhiano ya Mkoa wa Tanga kutoka kwa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Dk. Rajabu Rutengwe aliyeshika wadhifa huo kwa muda usiozidi mwezi mmoja. Katikakati ni aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Tanga  Mhe. Chiku Gallawa  kabla ya kuteuliwa Mhe. Dk. Rutengwe. Anayeangalia (kulia) ni Katibu Tawala Mkoa Bw. Salum Mohamed Chima ( Alhaji)
Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Chiku Gallawa akimkabidhi taarifa ya makabidhiano kwa Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Dk. Rajabu Rutegwe 
 Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Magalula Saidi Magalula akisaini kitabu cha wageni mapema leo mara baada ya kuwasili katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
Mhe. Magalula akisalimia wakati wa mapokezi
 
Waliokuwa Wakuu wa Mkoa wa Tanga wakisaini taarifa ya makabidhiano
 
Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Magalula Saidi Magalula (kushoto) na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Dk. Rajabu Rutengwe wakisaini taarifa ya Makabidhiano  
Baadhi ya Watumishi  kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mashirika ya umma na Binafsi na Taasisi za Serikali na Viongozi wa dini na Viongozi wa Vyama vya Siasa