RAIS KIKWETE NA MKEWE WAMJULIA HALI MBUNGE WA NAMTUMBO MHE VITA KAWAWA ALIYELAZWA HOSPITALI YA AMI JIJINI DAR ES SALAAM
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakimjulia hali Mbunge wa Namtumbo Mhe. Vita Kawawa aliyelazwa katika hospitali ya AMI jijini Dar es salaam akipatiwa matibabu ya tumbo. Katikati yao ni Mhe Adam Malima, nai bu Waziri wa Fedha na kushoto ni Daktari katika wodi hiyo. Picha na IKULU
*WANAFUNZI 84 WA UDOM WATIWA MBARONI KWA KUHAMASISHA MAANDAMANO MJINI DODOMA
Baadhi
ya Wanafunzi 84 wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) wakiwa kwenye gari ya
polisi baada ya kutiwa mbaroni kwa tuhuma za kuhamasisha uvunjifu wa
amani Chuoni hapo na kufanya maandamano haramu kutoka Chuoni kuelekea
katika Ofisi mbalimbali za viongozi wa Serikali zilizopo mjini Dodoma
leo.
Baadhi
ya Wanafunzi 84 wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) wakiwa chini ya ulinzi
kwa tuhuma za kuhamasisha uvunjifu wa amani Chuoni hapo na kufanya
maandamano haramu kutoka Chuoni kuelekea katika Ofisi mbalimbali za
viongozi wa Serikali zilizopo mjini Dodoma leo.
Subscribe to:
Posts (Atom)