MAPOKEZI YA WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA MKOANI TANGA.

September 25, 2013

Mhe. Peter Kayanza Pinda , Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwasili katika Mkoa wa Tanga kwa ajili ya Kongano la Uwekezaji Kanda ya Kaskazini litakalofanyika Septemba 26-27 mwaka huu. Mara baada ya Mapokezi Mhe. Pinda atapokea taarifa ya maendeleo ya Mkoa wa Tanga katika ukumbi wa mikutano wa Tanga Beach resort.

 Mhe.  Pinda akisalimiana na Katibu Tawala Mkoa wa Tanga Bw. Benedict Ole Kuyan. Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Chiku Gallawa

3 &4 Mhe. Pinda  akisalimiana na Viongozi wa ngazi za juu katika Mkoa wa Tanga.



.Mhe. Mizengo Pinda akifurahia burudani ya vikundi mbalimbali ( havipo pichani) mara tu baada ya kuwasili katika Mkoa wa Tanga. ( wa kwanza kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Tanga Mhe. Halima Ndedego na kulia kwake ni Mama Pinda , mke wa Waziri Mkuu Mhe . Pinda.

6&7. Burudani mbalimbali. Picha zote na Monica Laurent, Afisa Habari Mkoa wa Tanga.


SIKU YA MAZIWA DUNIANI TANGA ILIVYOAZIMISHWA LEO KATIKA VIWANJA VYA TANGAMANO.

September 25, 2013






Picha nambari sam5743jpg hadi picha nambari sam5765jpg, Wanafunzi wa shule mbalimbali za Msingi na Sekondari mjini Tanga wakiwa katika maandamano ya siku ya Unywaji wa Maziwa Duniani yaliyofanyika kitaifa Mkoani Tanga jana.

Picha na Salim Mohammed