Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais
Dkt John Pombe Magufuli akilakiwa na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu
Abdulrahman Kinana wakati akiwasili kuongoza Mkutano wa Halmashauri Kuu
ya Taifa (NEC) ya Chama hicho jijini Dar es salaam leo November 21, 2017
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt John Pombe Magufuli
akifungua Mkutano wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama hicho
jijini Dar es salaam leo November 21, 2017
Waliokuwa wanachama wa vyama vya upinzani wakiwasili ukumbuni kuomba
ridhaa ya kurudi CCM wakati wa Mkutano wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC)
ya Chama hicho jijini Dar es salaam leo November 21, 2017
Waliokuwa wanachama wa vyama vya upinzani wakiwasili ukumbuni kuomba
ridhaa ya kurudi CCM wakati wa Mkutano wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC)
ya Chama hicho jijini Dar es salaam leo November 21, 2017
Katibu Mkuu Wizara ya Maji Profesa Kitila Mkumbo aliyepata kuwa
mwanachama mwandamizi wa chama cha ACT akiomba na kukubaliwa kurudi CCM
mbele ya Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt John Pombe
Magufuli na wajumbe wa Mkutano wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya
Chama hicho jijini Dar es salaam leo November 21, 2017
Katibu Mkuu Wizara ya Maji Profesa Kitila Mkumbo aliyepata kuwa
mwanachama mwandamizi wa chama cha ACT akiomba na kukubaliwa kurudi CCM
mbele ya Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt John Pombe
Magufuli na wajumbe wa Mkutano wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya
Chama hicho jijini Dar es salaam leo November 21, 2017
Aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani na Mwanachama wa CHADEMA Bw.
Lawrence Masha akiomba na kukubaliwa kurudi CCM mbele ya Mwenyekiti wa
Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt John Pombe Magufuli na wajumbe wa
Mkutano wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama hicho jijini Dar es
salaam leo November 21, 2017
Aliyewahi
kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani na Mwanachama wa CHADEMA Bw.
Lawrence Masha akipeana mkono na Mwenyekiti wa
Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt John Pombe Magufuli kwenye Mkutano
wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama hicho jijini Dar es
salaam leo November 21, 2017
Aliyekuwa mwanachama mwandamizi wa ACT Bi.
Edna sunga akiomba kurudi na kukaribishwa CCM mbele ya Mwenyekiti wa
Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt John Pombe Magufuli na wajumbe wa
Mkutano wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama hicho jijini Dar es
salaam leo November 21, 2017
Aliyekuwa
mwanachama mwandamizi wa ACT Bi.
Edna sunga akipeana mkono na Mwenyekiti wa
Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt John Pombe Magufuli kwenye Mkutano
wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama hicho jijini Dar es
salaam leo November 21, 2017
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Bw. Samson Mwigamba
akiomba na kukaribishwa kurudi CCM mbele ya Mwenyekiti wa Chama cha
Mapinduzi (CCM) Rais Dkt John Pombe Magufuli na wajumbe wa Mkutano wa
Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama hicho jijini Dar es salaam leo
November 21, 2017
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Bw. Samson Mwigamba
akipeana mkono na Mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt John Pombe Magufuli kwenye Mkutano wa
Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama hicho jijini Dar es salaam leo
November 21, 2017.
Aliyekuwa
Katibu Mkuu wa Bw. Samson Mwigamba akipeana mkono na Katibu Mkuu wa CCM
Ndugu Abdulrahman Kiinana kwenye Mkutano wa Halmashauri Kuu ya Taifa
(NEC) ya Chama hicho jijini Dar es salaam leo November 21, 2017.
Aliyekuwa Mshauri wa Chama cha ACT Wakili
Albert Msando akiomba na kukaribishwa kurudi CCM mbele ya Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt John Pombe Magufuli na wajumbe wa
Mkutano wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama hicho jijini Dar es
salaam leo November 21, 2017
Aliyekuwa
Mshauri wa Chama cha ACT Wakili Albert Msando akipeana mkono na
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt John Pombe Magufuli
kwenye Mkutano wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama hicho jijini
Dar es salaam leo November 21, 2017.
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Vijana la CHADEMA (BAVICHA) Bw.
Patrobas Katambi akiomba na kukaribishwa kurudi CCM mbele ya
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt John Pombe Magufuli na
wajumbe wa Mkutano wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama hicho
jijini Dar es salaam leo November 21, 2017