February 08, 2014

SERIKALI YATOA ONYO URAIS 2015.

Suala la baadhi ya viongozi nchini kuanza kampeni za kuwania urais mwaka 2015 kwa kumwaga fedha ili kujijengea mazingira ya ushindi, limechukua sura mpya baada ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma kuanza kuwabana.
Habari zilizolifikia gazeti hili na baadaye kuthibitishwa na Kamishna wa Sekretarieti hiyo, Jaji Mstaafu Salome Kaganda, zinaeleza kuwa chombo hicho cha Serikali tayari kimewaita watu hao na kuwapa onyo baadhi yao wakiwamo mawaziri na wabunge walioanza kufanya kampeni.

NMB WAMKABIDHI NAIBU WAZIRI UMMY VITANDA SABA KWA AJILI YA VITUO VYA AFYA JIJINI TANGA LEO

February 08, 2014
NAIBU WAZIRI WA OFISI YA MAKAMU RAIS MAZINGIRA UMMY MWALIMU AKIZUNGUMZA WAKATI WA AKIPOKEA VITANDA SABA KUTOKA KWA BENKI YA NMB LEO AMBAPO VITANDA HIVYO VINA GHARAMA YA SH.MILIONI 5

KUSHOTO NI MENEJA WA NMB TAWI LA MADARAKA MKOANI TANGA JUMA MPIMBI AKIMKABIDHI VITANDA NAIBU WAZIRI OFISI YA  RAIS MAZINGIRA UMMY MWALIMU WANAOSHUHUDIA NI MEYA WA JIJI LA TANGA OMARI GULEDI NA MBUNGE WA JIMBO LA TANGA,OMARI NUNDU

WAKINA MAMA WAKIOJITOKEZA WAKATI WA MAKABIDHIANO YA VITANDA HIVYO LEO


MKUU WA WILAYA YA TANGA,HALIMA DENDEGO AKIZUNGUMZA KWENYE HAFLA HIYO YA MAKABIDHIANO LEO KWENYE KITUO CHA AFYA MAKORORA JIJINI TANGA.

VITANDA VILIVYOKABIDHIWA LEO NA BENKI YA NMB KWA NAIBU WAZIRI W OFISI YA MAKAMU WA RAIS MAZINGIRA UMMY MWALIMU KWA AJILI YA KUJIFUNGULIA WAKINA MAMA.

MENEJA WA NMB TAWI LA MADARAKA MKOANI TANGA JUMA MPIMBI AKITOA HOTUBA YAKE WAKATI WA MAKABIDHIANO YA VITANDA SABA VILIVYOTOLEWA NA BENKI HIYO KWA NAIBU WAZIRI OFISI YA RAIS MAZINGIRA UMMY MWALIMU KWA AJILI YA AKINA MAMA WAJAWAZITO WAKATI WAKIJIFUNGUA LEO

NAIBU WAZIRI WA OFISI YA  RAIS MAZINGIRA UMMY MWALIMU AKIFURAHIA JAMBO MARA BAADA YA MAKABIDHIANO HAYO LEO

NAIBU WAZIRI OFISI YA MAKAMU WARAIS MAZINGIRA UMMY MWALIMU KULIA AKIPOKEA VITANDA SABA KUTOKA KWA NEMEJA WA BENKI YA NMB TAWI LA MADARAKA JUMA MPIMBI LEO AMBAVYO NI MAHUSUSI KWA AJILI YA AKINA MAMA WAJAWAZITO WAKATI WA KUJIFUNGUA KWENYE KITUO CHA AFYA MAKORORA LEO

CCM TANGA YAFUNGA KAMPENI KIOMONI KWA KISHINDO

February 08, 2014
NAIBU WAZIRI  OFISI YA MAKAMU WA RAIS UMMY MWALIMU AKIWASALIMIA WANANCHI WA KATA YA KIOMONI LEO




KATIBU WA CCM WILAYA YA TANGA,LUICIA MWIRU NAYE AKITOA NENO

NAIBU WAZIRI  OFISI YA MAKAMU WA RAIS UMMY MWALIMU WA KWANZA KUSHOTO AKIWA NA MBUNGE WA JIMBO LA TANGA OMARI NUNDU WAKIFUATILIA HOTUBA YA KATIBU WA CCM MKOA WA TANGA,GUSTAV MUBBA LEO




NAIBU WA OFISI YA MAKAMU WA RAIS UMMY MWALIMU KUSHOTO NA KULIA WA KWANZA KULIA NI KATIBU WA CHAMA CHA MAPINDUZI CCM GUSTAV MUBBA


YANGA WAIFUNGA WAKOMORO BAP0 7-0

February 08, 2014
 Kocha wa Makipa Juma Pondamali, akiwafua makipa Deogratius Munishi na Juma Kaseja, wakati wa kupasha misuri moto. 

Timu zote hivi sasa zinaingia uwanjani tayari kabisa kwa kukaguliwa kuanza mtanange huo.

VIKOSI VINAVYOANZA
YANGA:- Juma Kaseja, Mbuyu Twite, Oscar Joshua, Nadir Haroub (c), Kelvin Yondani, Frank Domayo, Simon Msuva, Haruna Niyonzima, Hamis Kiiza, Mrisho Ngassa na David Luhende.

RIZEVU:- Deogratius Munishi, Rajab Zahir, Nizar Khalfan, Didier Kavumbagu, Juma Abdul, Hussein Javu, na Hassan Dilunga.

WACOMORO:- Attoumani Farid, Ali Mohamed, Nizar Amir, Abdou Moussoidikou, Ahamadi Houmadi Anli, Moidjie Ali, Mortadhoi Fayssoil, Attoumane Omar, Mohamed Erfeda (c), Mouayade Almansoor na Ahmed Waladi.
February 08, 2014
JUDICIAL ORGANS, INDEPENDENT & STANDING COMMITTEES TFF
BOARD OF TRUSTEES; Said Hamad El-Maamry, Stephen Mashishanga, Dr Ramadhan Dau, Joel Bendera, Mohamed Abdul Aziz
Kamati ya Nidhamu; Tarimba Abbas (Mwenyekiti), Advocate Jerome Msemwa (Makamu Mwenyekiti), Kassim Dau, Nassoro Duduma, Kitwana Manara.
Kamati ya Rufani ya Nidhamu; Profesa Mgongo Fimbo (Mwenyekiti), Advocate Hamidu Mbwezeleni (Makamu Mwenyekiti), Titus Bandawe, Twaha Mtengera, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) mstaafu Boniface Mpaze.
Kamati ya Maadili; William Erio (Mwenyekiti), Advocate Ezekiel Maganja (Makamu Mwenyekiti), Advocate Victoria Mandari, Kanali mstaafu Enos Mfuru na Said Mtanda.
Kamati ya Rufani ya Maadili; Jaji mstaafu Stephen Ihema (Mwenyekiti), Wakili Alesia Mbuya (Makamu Mwenyekiti), Lilian Kitomari, Jabir Shekimweri na Chabanga Hassan Dyamwale.