RAIS KIKWETE KATIKA HAFLA YA KONGAMANO LA PILI LA DIASPORA HOTELI YA SERENA JIJINI DAR ES SALAAM

August 15, 2015
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Mama wa Mitindo Asia Idarous-Khamsin wakati alipowasili hoteli ya Serena jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo kuhudhuria hafla ya Kongamano la pili la Diaspora. Kushoto mwenye kanzu ni Mhe Ali Mzee Ali, Mjumbe wa Bodi ya AICC
Rais Kikwete akiwa meza kuu na viongozi wengine katika  hoteli ya Serena jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo wakati wa hafla ya Kongamano la pili la Diaspora. Wengine kutoka kulia ni Mhe Ali Mzee Ali, Mjumbe wa Bodi ya AICC, Bw. Matheu Lamolle Mtafiti wa Massoko wa Taasisi ya International Trade Centre (ITC) ya Uswisi ambao ndio waliokuwa wadhamini wakuu wa kongamano hilo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu  Zanzibar (Utawala Bora)  Mhe Dk Mwinyihaji Makame, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Watanzania DMV Marekani  Bw. Iddi Sandaly, Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Balozi Liberata Mulamula na Bi Mariam Mungula wa Diapora London
MC wa hafla hiyo ambaye ni Mratibu wa Dawati la Diaspora katika Ofisi ya Waziri Mkuu Bi Suzana Mzee akiwa kazini
Wadau wa Diaspora kutoka nchi mbalimbali na Tanzania  katika  hoteli ya Serena jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo wakati wa hafla ya Kongamano la pili la Diaspora.
Wadau wa Diaspora kutoka nchi mbalimbali na Tanzania  katika  hoteli ya Serena jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo wakati wa hafla ya Kongamano la pili la Diaspora.
Wadau wa Diaspora kutoka nchi mbalimbali na Tanzania  katika  hoteli ya Serena jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo wakati wa hafla ya Kongamano la pili la Diaspora.
Wadau wa Diaspora kutoka nchi mbalimbali na Tanzania  katika  hoteli ya Serena jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo wakati wa hafla ya Kongamano la pili la Diaspora.
Wadau wa Diaspora kutoka nchi mbalimbali na Tanzania  katika  hoteli ya Serena jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo wakati wa hafla ya Kongamano la pili la Diaspora.

BIMA YA AFYA (NHIF) YAWANOA WANACHAMA WA CHAMA CHA WAANDISHI WANAWAKE MKOA WA TANGA (TWMO)

August 15, 2015

Mwenyekiti wa Chama Cha Waandishi  Wanawake Mkoa wa Tanga (TWMO) Bertha Mwambela ambaye pia ni Mwandishi wa Shirika la Utangazaji la TBC akisoma risala kwa mgeni rasmi wakati wa kongamano la siku moja la Mfuko wa Taifa wa  Bima ya Afya  (NHIF) kuwajengea uwezo namna ya kujiunga na mfuko huo wa matibabu bure kwa malipo kdogo kongamano lililofanyika leo Wilayani Korogwe Mkoani Tanga.



 Mkurugenzi wa Mifuko ya Afya ya Jamii kutoka Makao Makuu,(NHIF) Eugen Mikongoti, akitoa maelezo kwa Wanachama wa Chama Cha Waandishi wa Habari Wanawake Mkoa wa Tanga (TWMO)  wakati wa kongamano la siku moja la kuwajengea uwezo wa kujiunga na mfuko huo wa matibabu bure mwaka mzima kwa malipo kidogo kongamano lililofanyika leo Wilayani Korogwe Mkoani Tanga.





 Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mkoani Tanga, Hafsa Mtassiwa (kulia) , akipokea mashuka 100  kutoka kwa Mkurugenzi mkuu wa Mifuko ya Afya ya Jamii Makao makuu, Eugen Mikongoti, kwa ajili ya wodi ya wanawake na watoto kujikinga na malaria wakati wa kongamano la siku moja la Wanachama wa Chama Cha Waandishi wa Habari Wanawake Mkoa wa Tanga lililofanyika leo Wilayani Korogwe Mkoani Tanga , kushoto ni Meneja wa Bima ya Afya Mkoa wa Tanga, Ali Makababu.


 Wanachama wa Chama Cha Waandishi wa Habari Wanawake Mkoa wa Tanga (TWMO), wakifuatilia kwa makini elimu ya kujiunga na Mfuko wa Bima ya Afya (NHIF) kongamano lililofanyika leo Wilayani Korogwe Mkoani Tanga
 Wanachama wa Chama Cha Waandishi wa habari Wanawake Mkoa wa Tanga, (TWMO) wakiwa katika picha ya pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Hafsa Mtassiwa na viongozi wengine wa Biama ya Afya kutoka Mkoani na Makao makuu


 Bosi wa Mwananchi Communication Ltd (MCL) Mkoa wa Tanga, Salma Miraji (kushoto) akiwa na Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Hafsa Mtassiwa pamoja na Mkurugenzi wa Mifuko ya Jamii Makao Makuu Dar es Salaam, Eugen Mikongoti (katikati) mara baada ya kumalizika kongamano la siku moja la Chama Cha Waandishi Wanawake Mkoa wa Tanga (TWMO) lililofanyika leo Wilayani Korogwe Mkoani Tanga
MENEJA MASOKO wa Mwananchi Communicatio Ltd (MCL)Mkoa wa Tanga, Salma Miraji (kushoto) akiwa na msaidi wake, Cecylia wakifuatilia kwa makini kongamano la siku moja la Chama Cha Waandishi wa Hbari Wanawake juu ya kujengewa uwezo wa kujiunga na Mfuko wa Bima ya Afya (NHIF) lililofanyika leo, Wilayani Korogwe Mkoani Tanga


 Mwenyekiti wa Chama Cha Waandishi  Wanawake Mkoa wa Tanga (TWMO) Betha Mwambela kulia akiwa picha ya pamoja na Mkuu wa wilaya ya Korogwe,Hafsa Mtasiwa mara baada ya kumalizika semina ya mfuko wa Bima ya Afya leo wilayani humo
Alikiba na Diamond, Davido na Wizkid kuwania ‘Msanii Bora’ na ‘Wimbo Bora wa Mwaka’ tuzo zaRIMA 2015

Alikiba na Diamond, Davido na Wizkid kuwania ‘Msanii Bora’ na ‘Wimbo Bora wa Mwaka’ tuzo zaRIMA 2015

August 15, 2015

afrima
 Orodha ya wasanii wanaowania tuzo za All Africa Music Awards (AFRIMA) 2015 za Nigeria yametangazwa. Tanzania inawakilishwa na Diamond, Alikiba na upande wa wasanii wa kike ni Linah.
Wasanii wenye ushindani mkubwa Afrika Mashariki, Diamond na Alikiba pamoja na wasanii wenye ushindani mkubwa Afrika Magharibi, Davido na Wizkid wote kwa pamoja wamekutana katika vipengele muhimu vya ‘Wimbo Bora wa Mwaka’ na ‘Msanii Bora wa Mwaka’.
alikiba na diamond
Alikiba na Diamond pia wanawania kipengele cha ‘Msanii Bora wa Kiume Afrika Mashariki’, na Wizkid na Davido wanashindania ‘Msanii Bora Wa Kiume Afrika Magharibi’. Mwingine kutoka Afrika mashariki katika kipengele hiki ni Jose Chameleone wa Uganda.
wizkid-davido2
Linah anawania kipengele cha ‘Msanii Bora wa Kike Afrika Mashariki’.
linah nostress
Upigaji wa kura umeanza August 14, na tuzo zitatolewa November 15, 2015 jijini Lagos, Nigeria.
Hii ni orodha ya Nominees.
AFRIMA-13
AFRIMA-12
AFRIMA-11 


AFRIMA-10
AFRIMA-9
AFRIMA-8
AFRIMA-7
AFRIMA-6
AFRIMA-5
AFRIMA-4
AFRIMA-3
AFRIMA-2
AFRIMA-1

TPB YAZINDUA RASMI KADI YA ATM KWA KIKUNDI CHA VICOBA ENDELEVU

August 15, 2015

 Rais wa VICOBA Endelevu, Devota Likokola, (Watatu kushoto), akinyanyua juu, mfano wa ATM kadi ya Benki ya Posta Tanzania, TPB, wakati wa uzinduzi wa kadi hiyo itakayotumiwa na wanachama wa VICOBA Endelevu kota nchini. Uzinduzi huo ulifanyika leo Agosti 15, 2015 kwenye bustani ya kumbukumbu ya mashujaa, Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Wanaoshuhudia kutoka kushoto ni Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa TPB, Moses Manyanta, Mwenyekiti wa Bodi wa Wadhamini ya Benki hiyo, Profesa Lettic Rutashobya, na Katimu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezweshaji Wananchi Kiuchumi, NEEC, Beng’ Issa.(Picha na Habari na K-VIS MEDIA)

 Wana VICOBA Endelevu wakiingia kwenye bustani hiyo kwa maandamano


 MWENYEKITI wa Bodi hya Wadhamini ya Benki ya Posta Tanzania, TPB, Profesa Lettic Rautashobya, (katikati), Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa TPB, Moses Manyanta, na Meneja Mkuu wa TPB anayeshughulikia masuala ya kampuni, Noves A. Moses


 Profesa Lettic, na Katibu Mtendaji wa NEEC, Beng' Issa, wakitembelea shughuli za wajasiriamali ambao ni wanachama wa VICOBA Endelevu
 Profesa Rutashobya, akizungumza na waandishi wa habari
 Beng' akizungumza na waandishi wa habari

WAELIMISHAJI kuhusu shughuli za ujasiriamali wa VIDOBA Endelevu, wakipozi kwa picha