BUNGE MAALUM LAPITISHA AZIMIO LA KURA YA MSETO
Na Magreth Kinabo – MAELEZO, Dodoma
Hatimaye
baada ya mvutano wa baadhi wa wajumbe wa Bunge la Maalum la Katiba
kuhusu upigaji wa kura ya siri na ya wazi kuendelea leo Mwenyekiti wa
Kamati ya Kanuni na Haki za Bunge Maalum, Mhe . Pandu Ameir Kificho
amewasilisha azimio la mapendekezo ya ya upigaji kura wa wazi na
siri kutumika kwa pamoja katika kaununi ya 37 na 38, ambalo
limetipitishwa na Bunge hilo kwa matokeo ya jumla kwa kura ya ndiyo
376 na hapana 133 .