Sunday, January 12, 2014
Askari
wa zamani wanaoigiza gwaride la enzi za ukoloni, 'Tarabush' wakipita
mbele ya jukwaa kuu na kuonyesha jinsi askari hao walivyokuwa wakicheza
gwaride hilo, wakati waa sherehe za maadhimisho ya miaka 50 ya Mapinduzi
matukufu ya Zanzibar, zilizofanyika leo kwenye uwanja wa Amani mjini
Zanzibar.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar, Dkt. Mohamed
Ali Shein, akipunga mkono kusalimia wananchi wakati alipokuwa akiwasili
kwenye Uwanja wa Amani katika sherehe za maadhimisho ya miaka 50 ya
Mapinduzi matukufu ya Zanzibar, zilizofanyika leo mchana.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar, Dkt. Mohamed
Ali Shein, akikagua gwaride maalum la sherehe za maadhimisho ya miaka
50 ya Mapinduzi matukufu ya Zanzibar, zilizofanyika leo mchana.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar, Dkt. Mohamed
Ali Shein, akikagua gwaride maalum la sherehe za maadhimisho ya miaka
50 ya Mapinduzi matukufu ya Zanzibar, zilizofanyika leo mchana.