UJUMBE WA MKURUGENZI MKUU WA UNESCO KUHUSIANA NA SIKU YA SAYANSI YA DUNIANI

UJUMBE WA MKURUGENZI MKUU WA UNESCO KUHUSIANA NA SIKU YA SAYANSI YA DUNIANI

November 09, 2015
science
Irina_Bokova1
Mkurugenzi Mkuu wa UNESCO, Bi Irina Bokova.
Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) Lenye makao yake makuu jijini Paris, Ufaransa kupitia Mkurugenzi wake Mkuu limetoa ripoti ya ujumbe wake kuelekea siku ya Sayansi Duniani kwa amani inayotarajia kuadhimishwa leo hii Novemba 10, Duniani kote.
Mkurugenzi Mkuu wa UNESCO , Bi Irina Bokova, katika ujumbe wake, juu ya maadhimisho ya leo ameweza kugusia mambo mbalimbali:
"Hii Siku ya Sayansi Duniani kwa Amani na Maendeleo imekuja miezi miwili baada ya makubaliano ya Agenda 2030 ya maendeleo endelevu.
Ajenda hii mpya inajumuisha maono mapya kwa binadamu, kwa dunia, kwa amani , kwa miaka 15 ijayo na sayansi inasimamia katika moyo wake kama kichocheo cha mageuzi chanya na maendeleo.
Serikali zote kwa ujumla zinatambua leo nguvu ya sayansi ya kutoa majibu muhimu kwa usimamizi mzuri wa maji, kwa ajili ya hifadhi na matumizi endelevu ya bahari, ulinzi wa mazingira na viumbe hai, ili kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi na majanga, na kuendeleza uvumbuzi na kuondokana umaskini na kupunguza tofauti .
Kufanya haya, tunahitaji kuelewa wazi zaidi mazingira ya kimataifa ya sayansi na tunahitaji zana bora kufuatilia maendeleo .
Huu ndio umuhimu wa ripoti ya Sayansi ya UNESCO, inayotolewa kila miaka mitano, inayotoa mwenendo wa sayansi, teknolojia na uvumbuzi katika kila kanda.
Tutazindua toleo jipya katika Siku ya Sayansi Duniani kwa ajili Amani na Maendeleo 2015, kuonyesha mwelekeo wa sayansi, teknolojia na maendeleo kwa kila nchi katika ngazi zote za maendeleo. Kuongezeka kwa wasiwasi wa ukame, mafuriko, vimbunga na matukio mengine ya asili yamesababisha Serikali kupitisha mikakati katika ngazi za kitaifa na kikanda kulinda kilimo, kupunguza hatari ya maafa na kuongeza vyanzo vya kitaifa vya nishati.
Kuongezeka kwa uwekezaji katika sayansi huonyesha kutambuliwa zaidi haja ya kujenga jamii na uchumi wa kijani, kuleta mabadiliko katika sera na sheria ikiwa ni pamoja na maadili na tabia.
Maswali haya yatashughulikiwa katika mkutano ujao wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya Tabianchi ( COP21 ) utakaofanyika Paris mwezi ujao, wakati viongozi kutoka pande zote za dunia watakapokusanyika kupitisha mkataba mpya wa ushirikiano wa kimataifa wa kukabiliana na madhara ya mabadiliko ya tabia nchi.
Sayansi, teknolojia na ubunifu ni muhimu hapa, na ni lazima tufanye kila kitu kusaidia jamii zote duniani, kujenga na kubadilishana maarifa. Agenda ya 2030, pamoja na ajenda ya maamuzi ya Addis Ababa, imetoa wito kujenga sera imara za kitaifa za sayansi, teknolojia na ubunifu pamoja na mifumo, ili kuwezesha uhamishaji wa teknolojia na ubunifu, ambayo UNESCO imejizatiti kamilifu .
Huu ni ujumbe wa Ripoti ya Sayansi ya UNESCO na hii Siku ya Sayansi Duniani kwa Amani na Maendeleo. Nawakaribisha wote kujiunga na sisi katika kuuchukua huu ujumbe duniani kote na kujenga maisha bora ya baadaye kwa wote " Alimalizia Mkurugenzi Mkuu huyo.
Kwa habari zaidi ya ripoti hii inapatikana katika tovuti ya UNESCO ; http://www.unesco.org
Kwa maelezo zaidi unaweza pia kuwasiliana na Ofisi ya UNESCO iliyopo karibu nawe, na kwa Dar es Salaam kupitia: barua pepe: dar-es-salaam@unesco.org au tovuti: http://www.unescodar.or.tz na mawasiliano ya ofisi Simu ya Ofisi: +255 22 2915400
CHEKI.CO.TZ ADVICES ON STAYING ALERT WHEN SHOPPING ONLINE

CHEKI.CO.TZ ADVICES ON STAYING ALERT WHEN SHOPPING ONLINE

November 09, 2015
SellYourCar1
Buying anything online is a tough gig – you’re behind your laptop gazing longingly at potential dream purchases, you never know who is waiting eagerly for your hard earned cash to fall into their pockets.
While there are many legitimate sellers online, there are few but very dangerous fraudulent online sellers that makes online purchases a bit challenging. Popular online fraud includes lotteries and sweepstake scams, dating scams, Nigerian Email scams and money transfer scams but there are many scammers coming up with new methods every day.
But just like on the traditional business arena, there are a few things you should pay good mind to before you head to the proverbial checkout, especially when it comes to important purchases like a car.
When you transact online, who are you buying from is as important as what you buy. The possibility that you’ll be able to give a 100% certain answer to this question is a bit of a myth. But when you are buying a car, for the primary common sense reason of safety, you want to be sure that you are buying from a reputable source. It’s no secret that criminals head up lucrative industries by preying on the naïve, non-net-savvy innocents out there.
Mori Bencus, Country Manager for Cheki.co.tz points out the warning signs for potential fraudulent items for sale on the internet.
Warning Signs
1.Unbelievably low price – scammers always play a con game by putting insanely low price to trap more buyers. When you see these crazy prices you have to trade carefully, think twice before you make any decision and double check the authenticity of the seller. At cheki.co.tz we have a team that double check the cars posted on our website before they go online.
2.Amazing features/benefits that are too good to be true – on these kind of items scammers try to make you feel so lucky that you have got the best deal in the market but in reality there is no such an item for sale. When you fall in their trap and send them money you will never hear from them again. At www.cheki.co.tz we have taken a step to minimize the risk for car buyers by carefully monitoring all the items posted by private sellers before they go online.
3.Seller does not provide adequate information about the product –
4.The other party demand immediate payments before you see/inspect the product. At cheki.co.tz we have a team that double check the cars posted on our website before they go online.
Safe purchase check list while purchasing cars online
Cheki.co.tz takes the security matter very seriously. We have employed a number of resources to ensure safe buying and selling.
Ground operations to take photos and upload cars
Unlike other sites that download photos from other sites on the internet, cheki.co.tz has a team of staff on the ground assigned to visit showrooms in order to take photos and other details of the cars and upload them on the website. This is to ensure that all the cars on the website are the cars that are in the market for sale.
Examining car listing before going online (private sellers)
For Private Car Sellers who sell vehicles on cheki.co.tz, there is a team that reviews car listings before it goes live on the website. The team does all that is needed to make sure the cars that goes online pass our standards.
Car details
To aid the buyer to get the right car that he/she is looking for we make sure we provide the CORRECT INFORMATION about the car to help buyer in the selection process. Vital car information such as engine size, fuel type, millage, and transmission.
Fraudulent seller reporting
In the unlikely event that a fraudulent listing has been posted on cheki.co.tz a buyer can report a fraudulent seller and we will take necessary actions including blocking the seller and working with the authority to track down the fraudulent seller.
SECURITY FOR SELLER TIPS
It is possible someone with fraudulent intention to masquerade as a buyer therefore we have a mechanism to protect seller against possible fraudulent car buyers.
On cheki.co.tz we have safe selling tips which tells car sellers how to sell their cars safely on cheki.co.tz. The page advices on matters like sharing personal details, Your account details or any banking information, Any details about your Mobile money Account or phone account, Any details about your www.cheki.co.tz transaction and to avoid sharing normal overnight precise street location of the vehicle e.g. Where you park your car, the night life preferences, etc.
Contact Seller Process
When a buyer wants to buy a car through cheki.co.tz they must register (there is a contact seller form that a buyer has to fill) and the seller will receive the contact details of the buyer. This process is designed to discourage bogus buyers and unlike other websites we don’t put seller’s contact on the open. This process also helps us on the unlikely fraudulent event where we will work with the proper authorities to track down the fraudulent using car buyer’s information that we store on our backup servers.
How to handle inspection and test drive request from buyers
As we have advised on safe buying tips Buyers may ask to inspect the vehicle prior to purchase so they can make sure they're happy with it. To minimize risks in a way that won't put off genuine buyers but a very unattractive to bogus buyers, When a buyer has requested a test drive ask to meet at a neutral location like a police station or shopping centre car park, take someone with you and NEVER let a potential buyer drive your car without you.
About Cheki: www.Cheki.co.tz is part of One Africa Media which operates Africa’s largest portfolio of online marketplaces, with sites focused on Jobs, Cars, Property and Travel.
The company holds strong lead positions all the markets in which it currently operates, including Nigeria, Ghana, Kenya and Uganda. In addition, it has a network of operations across a number of other key economies across the continent.
Cheki recognizes that Tanzania is a pivotal market in Africa, one that is advancing rapidly in its use of the Internet to support business and is excited to dive in and be a part of the Internet revolution in Tanzania.
Safe Buying Tips
To help car buyers to buy cars safely on cheki.co.tz we have safe car buying page which tells buyers what to do when they are connected with the car seller.
OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU YATANGAZA MFUMUKO WA BEI WA MWEZI OKTOBA, 2015

OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU YATANGAZA MFUMUKO WA BEI WA MWEZI OKTOBA, 2015

November 09, 2015

tak1
Mkurugenzi wa Sensa ya Watu na Takwimu za Jamii Ephraim Kwesigabo wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu akizungumza na waandishi wa habari  leo Jijini Dar es Salaam Kuhusu Mfumuko wa Bei wa Taifa kwa mwezi Oktoba, 2015 ambao umepanda hadi kufikia asilimia 6.3 kutoka asilimia 6.1 kwa mwezi Septemba, 2015.
tak2
Mkurugenzi wa Sensa ya Watu na Takwimu za Jamii Ephraim Kwesigabo wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu akizungumza na waandishi wa habari  leo Jijini Dar es Salaam Kuhusu Mfumuko wa Bei wa Taifa kwa mwezi Oktoba, 2015 ambao umepanda hadi kufikia asilimia 6.3 kutoka asilimia 6.1 kwa mwezi Septemba, 2015. Kulia kwake ni Mtakwimu Mkuu wa Ofisi hiyo Bw. Muhdin Mtindo. (PICHA NA VERONICA KAZIMOTO)
,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
Na Veronica Kazimoto
Dar es Salaam.
 
MFUMUKO wa bei wa Taifa kwa mwezi Oktoba, 2015 umeongezeka hadi kufikia asilimia 6.3 kutoka asilimia 6.1 mwezi Septemba mwaka huu.
 
Akizungumza na waandishi wa habari Jijini Dar es Salaam leo Mkurugenzi wa Sensa ya Watu na Takwimu za Jamii,Ephraim Kwesigabo amesema kuongezeka kwa Mfumuko wa Bei kumesababishwa na kupanda kwa bei za bidhaa na huduma zingine za kijamii ikiwemo chakula na nishati.
 
“Kupanda kwa Mfumuko wa Bei wa mwezi Oktoba, 2015 kumechangiwa na ongezeko la bei za vyakula kama vile Mchele ambao umeongezeka bei kwa asilimia 0.8, unga wa muhogo umeongezeka hadi asilimia 0.7, nyama kwa asilimia 0.8, samaki kwa asilimia 5.5, ndizi za kupika asilimia 0.7 na choroko kwa asilimia 0.9”, amesema Kwesigabo.
 
Bidhaa zisizokuwa za vyakula kama vile vitambaa kwa ajili ya nguo za kike zimepanda kwa asilimia 1.6, viatu vya kiume asilimia 1.1, mkaa asilimia 1.4 na gharama za kupata ushauri kwa daktari pia zimepanda hadi kufikia asilimia 1.4.
 
Kwa upande Mfumuko wa bei kwa kipimo cha mwezi umeongezeka kwa asilimia 0.1 ambao ni ongezeko sawa na mwezi Septemba, 2015. Fahirisi za bei pia zimeongezeka kutoka 159.04 hadi kufikia 159.17 kwa mwezi Oktoba, 2015.
 
“Fahirisi za bei za vyakula vya nyumbani na migahawani iliongezeka kidogo hadi kufikia asilimia 10.0 kutoka asilimia 9.4 kwa mwezi Septemba, 2015 ambapo bidhaa zisizokuwa za vyakula zimepungua kidogo kutoka asilimia 1.9 hadi asilimia 1.7 kwa mwezi Oktoba, 2015,” amefafanua Kwesigabo.
 
Kwesigabo amesema kuwa Mfumuko wa Bei ambao haujumuishi vyakula na nishati kwa mwezi Oktoba, 2015 umepungua kidogo hadi kufikia asilimia 2.1 kutoka asilimia 2.2 kwa mwezi Septemba, 2015.
MAKAMU WA RAIS, MAMA SAMIA AKABIDHIWA OFISI RASMI NA DKT. BILAL, AKAKABRIBISHWA RASMI NA WAFANYAKAZI WA OFISI YAKE.

MAKAMU WA RAIS, MAMA SAMIA AKABIDHIWA OFISI RASMI NA DKT. BILAL, AKAKABRIBISHWA RASMI NA WAFANYAKAZI WA OFISI YAKE.

November 09, 2015

sa1
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan, akipokea nyaraka za Ofisi kutoka kwa Makamu wa Rais Mstaafu, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, wakati wa makabidhiano ya Ofisi yaliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam,leo No 9, 2015. Kushoto ni Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Sazi Salula. Picha na OMR
sa2
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan, akipokea nyaraka za Ofisi kutoka kwa Makamu wa Rais Mstaafu, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, wakati wa makabidhiano ya Ofisi yaliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam,leo Nov  9, 2015. Picha na OMR
sa3
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan, akisaini Kitabu cha wageni wakati alipoingia Ofisini kwake kwa mara ya kwanza baada ya kukabidhiwa Ofisi na Makamu wa Rais Mstaafu, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, leo Nov 9, 2015  Ikulu jijini Dar es Salaam. Picha na OMR
sa5
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan (wa pili kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Makamu wa Rais Mstaafu, Dkt. Mohammed Gharib Bilal (kulia kwake), Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Sazi Salula na Naibu Katibu Mkuu wake, ….baada ya makabidhiano ya Ofisi yaliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam,leo Nov 9,2015. Picha na OMR
sa6
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan, Makamu wa Rais Mstaafu, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa Ofisi Binafsi ya Makamu wa Rais, baada ya bakabidhiano ya Ofisi yaliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Nov 9, 2015. Picha na OMR
sa7
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan, Makamu wa Rais Mstaafu, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa Ofisi Binafsi ya Makamu wa Rais, baada ya bakabidhiano ya Ofisi yaliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Nov 9, 2015. Picha na OMR
sa8
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan, akipokea zawadi ya Maua kama ishara ya makaribisho, kutoka kwa mfanyakazi wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Martha Mashuki, wakati alipowasili kwa mara ya kwanza kwenye Ofisi yake na kupokelewa na wafanyakazi wake leo, Nov 9, 2015. Picha na OMR
sa9
Makamu wa Rais wa Jamhuri ua Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan,akisalimiana na Katibu Mkuu wa Ofisi yake, Sazi Salula,wakati alipowasili kwenye Ofisi yake kwa mara ya kwanza baada ya kukabidhiwa ofisi rasmi leo, Nov 9,2015. Kulia ni Naibu Katibu Mkuu, Eng. Angelina Madete. Picha na OMR
sa10
Makamu wa Rais Mstaafu, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiagana na Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu Hassan na baadhi ya wafanyakazi wa Ofisi Binafsi ya Makamu wa Rais, wakati akiondoka baada ya makabidhiano ya Ofisi yaliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Nov 9, 2015. Picha na OMR
sa11
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na baadhi ya wafanyakazi wa Ofisi yake wakati alipowasili kwenye Ofisi yake kwa mara ya kwanza leo baada ya kukabidhiwa rasmi Ofisi na Makamu wa Rais Mstaafu, Dkt. Bilal. Wafanyakazi hao walijipanga kumpokea huku wakiimba, kupiga makofi na vigeregre wakati akiwasili. Picha na OMR
sa12
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na baadhi ya wafanyakazi wa Ofisi yake wakati alipowasili kwenye Ofisi yake kwa mara ya kwanza leo baada ya kukabidhiwa rasmi Ofisi na Makamu wa Rais Mstaafu, Dkt. Bilal. Wafanyakazi hao walijipanga kumpokea huku wakiimba, kupiga makofi na vigeregre wakati akiwasili. Picha na OMR
sa13
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan, akizungumza na wafanyakazi wa Ofisi ya Makamu wa Rais, wakati alipowasili kwenye Ofisi hiyo leo Nov 9, 2015 baada ya makabidhiano. Akizungumza na wafanyakazi hao Mama Samia, aliwataka watumishi hao kufanya kazi kwa mashirikiano na kwa bidii ili kutimiza Kaulimbiu ya Mhe.Rais ya ‘HAPA KAZI TU’. Picha na OMR
sa15
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan, akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Wakurugenzi wa Wizara zilizo chini ya Ofisi ya makamu wa Rais (Mazingira na Muungano) alipowasili ofisi kwake kwa mara ya kwanza leo Nov 9, 2015. Picha na OMR
sa17
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan, akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Wafanyakazi wanamama wa Ofisi yake baada ya kuzungumza nao alipowasili ofisi kwake kwa mara ya kwanza leo Nov 9, 2015 kwa makabidhiano ya Ofisi na Makamu wa Rais Mstaafu. Picha na OMR
,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan leo amekabidhiwa rasmi ofisi na Makamu wa Rais Mstaafu Dkt. Mohammed Gharib Bilal Ikulu, Jijini Dar es salaam.
Baada ya makabidhiano hayo Mhe. Samia, alikaribishwa na watumishi wa ofisi yake ambapo alitumia fursa hiyo kuwataka watumishi hao kufanya kazi kwa bidii kulingana na kauli mbiu ya ‘Hapa ni Kazi tu’.
“Kila mmoja afanye kazi kwa bidii mahala pake pa kazi. Wale ambao kauli mbiu ya Hapa ni Kazi tu, itawapita wakae pembeni… watatusamehe”, alisema Makamu wa Rais
Aidha Mhe. Samia alisisitiza suala la kuendelea kupendana na kushirikiana miongoni mwa watumishi wa Ofisi ya Makamu wa Rais ili kufanikisha azma ya kuleta matarajio ya maendeleo ya Watanzania wanayotaka kuyaona katika uongozi wa awamu ya tano.
Baada ya kutoa nasaha hizo alifanya kikao na Menenjimenti ya ofisi ambapo alitoa uelekeo wa utendaji kazi katika ofisi hiyo hususan kuzingatia kusimamia masuala ya muungano na mazingira ili kufanikisha malengo ya Serikali ya Awamu ya Tano.
Aliitaka Menejimenti hiyo kujipanga upya na kuacha kufanya kazi kwa mazoea kwa ajili ya kuleta mabadiliko kwa upande wa masuala ya muungano na mazingira.
Imetolewa na Ofisi ya Makamu wa Rais
Dar es salaam
9/11/2015
Rais Magufuli katika ziara ya Ghafla Muhimbili.Amjulia hali Helen Kijo Bisimba

Rais Magufuli katika ziara ya Ghafla Muhimbili.Amjulia hali Helen Kijo Bisimba

November 09, 2015

gu1
-Rais Dkt.John Pombe Magufuli akimjulia hali Mkurugenzi wa kituo cha Sheria na Haki za Binadamu(LHRC) Dkt.Helen Kijo Bisimba aliyelazwa katika hospitali ya Aga Khan Jijini Dar es Salaam baada ya kujeruhiwa katika ajali jana.
gu2
-Rais Dkt.John Pombe Magufuli akimjulia hali Mkurugenzi wa kituo cha Sheria na Haki za Binadamu(LHRC) Dkt.Helen Kijo Bisimba aliyelazwa katika hospitali ya Aga Khan Jijini Dar es Salaam baada ya kujeruhiwa katika ajali jana.
gu3
Rais Dkt.John Pombe Magufuli akiwajulia hali wagonjwa waliolazwa katika hospitali ya Taifa Muhimbili wakati alipofanya ziara ya kushtukiza hospitalini hap oleo na kuwafariji wagonjwa.
gu5
-Rais Dkt.John Pombe Magufuli akisalimiana na kuwapa moyo wauguzi katika hospitali ya taifa Muhimbili wakati alipofanya ziara ya ghafa kujionea hali halisi.
gu6
Rais Dkt.John Pombe Magufuli akizungumza na kuwapa moyo wauguzi katika hospitali ya taifa Muhimbili wakati alipofanya ziara ya ghafa kujionea hali halisi.
gu7
-Rais Dkt.john Pombe Magufuli akiondoka katika hospitali ya taifa Muhimbili wakati alipofanya ziara ya ghafa kujionea hali halisi.
gu8
(picha na Freddy Maro)
gu4
Rais Dkt.john Pombe Magufuli akisalimiana na mmoja wa akina mama aliyelazwa na mtoto wake katika hospitali ya taifa Muhimbili wakati alipofanya ziara ya ghafa kujionea hali halisi.

Kampuni ya TTCL Yawasaidia Watoto Vifaa vya Masomo Kituo cha Awali Lukema Vingunguti

November 09, 2015

Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Simu nchini Tanzania (TTCL), Nicodemus Mushi (kulia) akimkabidhi Mkurugenzi wa Shirika lisilokuwa la Serikali la LUKEMA Community Development and Training Services baadhi ya vibao maalumu kwa ajili ya kujifunzia wanafunzi wa darasa la awali.
Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Simu nchini Tanzania (TTCL), Nicodemus Mushi (kushoto) akimkabidhi Mkurugenzi wa Shirika lisilokuwa la Serikali la LUKEMA Community Development and Training Services baadhi ya maboksi ya chaki kwa ajili ya kufundishia watoto wa darasa la awali ikiwa ni sehemu ya msaada kukisaidia kituo hicho. Vifaa vingine vilivyotolewa kama msaada na TTCL kwa kituo cha LUKEMA ni pamoja na maboksi ya chaki, vibao vya kuandikia, madaftari aina mbalimbali ya wanafunzi wa awali, mikeka kwa ajili ya kukalia wanafunzi. Kulia pembeni ni Ofisa Uhusiano wa TTCL Amanda 
Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Simu nchini Tanzania (TTCL), Nicodemus Mushi (kulia) akiwagawia madaftari wanafunzi wa darasa la awali ikiwa ni sehemu ya msaada uliotolewa kukisaidia kituo hicho. Vifaa vingine vilivyotolewa kama msaada na TTCL kwa kituo cha LUKEMA ni pamoja na maboksi ya chaki, vibao vya kuandikia, madaftari aina mbalimbali ya wanafunzi wa awali, mikeka kwa ajili ya kukalia wanafunzi.
Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Simu nchini Tanzania (TTCL), Nicodemus Mushi (kulia) akiwagawia madaftari wanafunzi wa darasa la awali ikiwa ni sehemu ya msaada uliotolewa kukisaidia kituo hicho. Vifaa vingine vilivyotolewa kama msaada na TTCL kwa kituo cha LUKEMA ni pamoja na maboksi ya chaki, vibao vya kuandikia, madaftari aina mbalimbali ya wanafunzi wa awali, mikeka kwa ajili ya kukalia wanafunzi.
Wanafunzi wa darasa la awali wa kituo cha LUKEMA kinachomilikiwa na Shirika lisilokuwa la Serikali la LUKEMA Community Development and Training Services kilichopo jijini Dar es Salaam wakifurahia madaftari waliyopewa na TTCL kwa ajili ya masomo. Miongoni mwa vifaa vingine vilivyotolewa kama msaada na TTCL ni pamoja na maboksi ya chaki, vibao vya kuandikia, madaftari aina mbalimbali ya wanafunzi wa awali na mikeka kwa ajili ya kukalia wanafunzi.
Baadhi ya maofisa wa Kampuni ya Simu nchini Tanzania (TTCL) na walimu na uongozi wa Shirika lisilokuwa la Serikali la LUKEMA Community Development and Training Services linalomiliki kituo cha awali wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wanafunzi wa darasa la awali wa kituo cha LUKEMA mara baada ya kukabidhiwa misaada mbalimbali ya vifaa vya masomo. Miongoni mwa vifaa vingine vilivyotolewa kama msaada na TTCL ni pamoja na maboksi ya chaki, vibao vya kuandikia, madaftari aina mbalimbali ya wanafunzi wa awali na mikeka kwa ajili ya kukalia wanafunzi. Shule hiyo yenye wanafunzi zaidi ya 80 inakabiliwa na changamoto mbalimbali hasa vifaa vya masomo kwa wanafunzi wake.
Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Simu nchini Tanzania (TTCL), Nicodemus Mushi (wa pili kulia) akimkabidhi baadhi ya mikeka Mkurugenzi wa Shirika lisilokuwa la Serikali la LUKEMA Community Development and Training Services vifaa hivyo vimetolewa kwa ajili ya wanafunzi wa darasa la awali la kituo hicho kama msaada.
Muonekano wa darasa hilo la awali kabla ya kukabidhiwa mikeka ya kukalia, awali wanafunzi hao walikuwa wakikaa chini. 
Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Simu nchini Tanzania (TTCL), Nicodemus Mushi (anayeandika ubaoni) akiwachemsha bongo wanafunzi wa darasa la awali wa kituo cha LUKEMA kwa maswali ya hesabu kabla ya kukabidhi misaada ya vifaa vya masomo leo shuleni hapo.
Muonekano wa darasa hilo la awali baada ya kukabidhiwa misaada ya mikeka ya kukalia. Vifaa vingine vilivyotolewa kama msaada na TTCL kwa kituo cha LUKEMA ni pamoja na maboksi ya chaki, vibao vya kuandikia, madaftari aina mbalimbali ya wanafunzi wa awali, mikeka kwa ajili ya kukalia wanafunzi.

WIZARA YA AFYA, WHO WAENDESHA SEMINA KUHUSU UGONJWA WA KIPINDUPINDU HOTELI YA NEW AFRIKA JIJINI DAR ES SALAAM

November 09, 2015

 Mratibu wa Magonjwa ya Mlipuko Mkoa wa Dar es Salaam, Vicktoria Bulla (kulia), akizungumza na waandishi wa habari na wadau wa afya wakati akifungua semina ya siku moja ya ugonjwa wa kipindupindu Dar es Salaam jana, kwa niaba ya Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ambaye alikuwa mgeni rasmi. Kutoka kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi wa Elimu ya Afya kwa Umma, Hellen Semu na Mkurugenzi Msaidizi Kitengo cha Ufuatiliaji wa Magonjwa ya Mlipuko wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk.Janeth Mghamba. Semina hiyo iliandaliwa na wizara hiyo kwa kushirikiana na Shirika la Afya Duniani (WHO)
 Wadau mbalimbali wakiwa kwenye semina hiyo.
 Ofisa Habari wa Wizara ya Afyaaaa na Ustawi wa Jamii, Catheline Sungura (kulia), akibadilishana mawazo na mwenzake katika semina hiyo.
 Wanahabari wakiwa kwenye semina hiyo.
 Mada mbalimbali kuhusu ugonjwa huo na magonjwa ya mlipuko zikiendelea kutolewa.
 Semina ikiendelea.
Wadau wa Afya wakiwa kwenye semina hiyo.
………………………………………………………………………………….
Na Dotto Mwaibale
WANANCHI wa jiji la Dar es Salaam asilimia 70 kati yao wanatumia maji yasiyo salama ambayo yanachangia kwa kiwango kikubwa kukithiri kwa magonjwa ya mlipuko.
 
Hayo yalibainishwa Dar es Salaam juzi na  mtaalam wa afya kutoka idara ya kinga kitengo cha afya na mazingira wa  Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii,  Dk.Theophil Likingaga katika semina ya waandishi wa habari ya siku moja iliyoandaliwa na wizara hiyo kwa kushirikiana na Shirika la Afya Duniani (WHO) iliyohusu ugonjwa wa kipindupindu.
 
Dk. Likingaga alisema asilimia hiyo kubwa ya watanzania kutumia maji yasiyo salama imetokana na Shirika la Maji safi na Taka (DAWASCO), kuhudumia asilimia 30 tu ya wananchi wa Dar es Salaam hivyo kuwa changamoto.
 
Alisema pia asilimia 15 tu ya wananchu wa Dar es Salaam ndiyo waliounganishwa kwenye mfumo wa maji taka hivyo kyfanta tatizo la uhaba wa maji safi na utunzaji wa mazingira kuwa kubwa.
 
“Hayo ndiyo baadhi ya maeneo ambayo tumeyaona pia suala la uuzaji matunda kiholela, biashara za vyakula pia imekuwa ikichangia kuenea kwa ugonjwa wa kipindupindu,” alisema Dk.Likangaga.
 
Alisema wizara hiyo imejitahidi kudhibiti ugonjwa wa kipindupindu kwa kugawa dawa za kusafisha maji pamoja na kutoa elimu kwa wananchi.
 
Likangaga alisema serikali kupitia DAWASCO imejitahidi kufunga vioski katika maeneo mbalimbali na kusambaza maji kwa kutumia magari ili wananchi wapate maji safi na salama.
 
Kwa upande Mtaalam wa Maabara ya Taifa, Dk.Theophil Malibiche alisema tangu ugonjwa wa kipindupindu uanze Agosti 15 mwaka huu, wamefanya vipimo 1071 ili kubaini vimelea vya kipindipindu.
 
Alisema kati ya hizo sampuli 668 sawa na asilimia 62 zimebainika kuwa na vimelea vya kipindupindu.
 
Kwa upande wake, Ofisa Afya wa Mkoa wa Dar es Salaam, Emmanuel Mwandepa alisema serikali inaendelea kuangalia mbinu mbadala ya kutoa huduma ya maji safi kwa wananchi.
 
Alisema kutokana na mkakati huo wameanzisha kampeni yq nyumba kwa nyumba ambayo itakuwa inakagua mazingira pamoja na ubora wa visima vya maji.
 
 
Aliongeza kutokana na mpango huo visima vifupi vya maji vitafungiwa ili kupunguza ugonjwa wa mlipuko.
 
 

KAMPUNI YA STAR MEDIA TANZANIA LIMITED YASHINDA TUZO YA UBORA YA WQC

November 09, 2015

 Makamu wa Rais wa kampuni ya StarTimes Tanzania, Bi. Zuhura Hanif (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusiana na tuzo ya utoaji huduma bora waliyoipokea nchini Ufaransa mwishoni mwa mwezi Oktoba kutoka kwa kampuni ya Business Initiative Directions (BID). Pamoja naye kulia ni Kaimu Ofisa Mtendaji Mkuu wa StarTimes, Bw. Lanfang Liao.
 Makamu wa Rais wa kampuni ya StarTimes Tanzania, Bi. Zuhura Hanif (kushoto), akisisitiza jambo katika mkutano huo na wanahabari.
Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa StarTimes, Bw. Lanfang Liao akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusiana na tuzo ya utoaji huduma bora waliyoipokea nchini Ufaransa mwishoni mwa mwezi Oktoba kutoka kwa kampuni ya Business Initiative Directions (BID).
,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
 
Na Mwandishi Wetu
 
Kampuni ya Business Initiative Directions (BID) ya nchini Ufaransa imeitunuku kampuni ya StarTimes kutoka nchini tanzania tuzo ya World Quality Commitment (WQC) kwa utoaji huduma bora kwa wateja wake.
 
Sherehe za tuzo hizo zilizofanyika kwa mara ya 29 ziliyofanyika jijini Paris ambapo makampuni mbalimbali yalishinda yalishiriki.
 
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam wakati wa kuonyesha tuzo hiyo Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa StarTimes Tanzania, Bw. Lanfang Liao amesema kuwa hiyo ni habari njema si tu kwa kampuni bali kwa taifa kwa ujumla kwa utoaji wa huduma bora kwa wateja wake.
 
“Tuzo hii imetolewa jijini Paris, Ufaransa mwishoni mwa mwezi Oktoba ambapo kampuni ya Business Initiative Directions (BID) ndio waandaaji wakuu wa tuzo hizi ambazo zimefanyika mara ya 29 kwa mwaka huu.” Alisema Bw. Liao
 
“Utolewaji wa tuzo huu ulihusisha marais, wakurugenzi, viongozi wa makampuni na wafanyabiashara kwa ujumla ambao walikuwa wanapendekeza majina ya kampuni inayostahili tuzo hiyo kutoka sehemu mbalimbali duniani.”
Katika upigaji huo wa kura ambao hufanyika kwa siri bila ya hata kampuni inayopigiwa kura kujua. Baada ya upigaji huo wa kura kampuni ya StarTimes ambayo ndiyo pekee kutoka nchini Tanzania kujinyakulia tuzo hiyo ya heshima.
 
“Kwa niaba ya kampuni ya StarTimes ningependa kuchukua fursa hii kwanza kabisa kuwatangazia wateja wetu na watanzania kwa ujumla kuwa wao ndio sababu kubwa mpaka sisi kutunukiwa tuzo hii. Pili, ningependa watanzania wafahamu kuwa ushindi wa tuzo hii sio wa kampuni pekee bali ni kwa Tanzania kwa ujumla kwani StarTimes ndio kampuni pekee iliyotunukiwa tuzo hii.” Aliendelea bosi huyo
 
“Hivyo basi, ningependa kuwashukuru wateja wetu lakini kikubwa zaidi ni serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa kuendelea kuweka mazingira mazuri kwa kampuni zinazokuja kuwekeza nchini kuwahudumia wananchi wake. Tunawashukuru wadau kama vile Tanzania Investment Center (TIC), TCRA, na wizara zote bila ya kusahau vyombo vya habari ambavyo tumekuwa navyo bega kwa bega katika shughuli zetu.” Aliongezea
 
“Ni kutokana na mazingira mazuri ya uwekezaji nchi na wananchi wake wananufaika na kusonga mbele kimaendeleo.”
 
“Kwa kuhitimisha, ningependa kuchukua fursa hii kuwashukuru tena watanzania kwa kuendelea kutuamini na kutuunga mkono katika shughuli zetu na wakae mkao wa kula kwa kampeni zetu kabambe zinazoendelea kuzinduliwa hivi karibuni.” Alihitimisha
 

MERU LOGISTICS KAMPUNI YA UHAKIKA YA KUSAFIRISHA MIZIGO KUTOKA UK KUJA TANZANIA

November 09, 2015

Karibu Meru Logistics kwa huduma nzuri, safi, zenye uhakika na haraka kutuma mizigo kutoka UK kwenda Tanzania.

Wasiliana nasi pia kama unahitaji chochote kutoka UK kama vile magari, matractor, fridge, TV, Vyombo nk. tuta kusaidia kununua na kukutumia mpaka Tanzania bila tatizo lolote na vitafika salama kabisa

Bei za kutuma mizigo ni kama ifuatavyo:

20' CONTAINER TO DAR /MOMBASA FROM £1,300 
40' CONTAINER TO DAR /MOMBASA FROM £1,800
4X4 TO DAR/MOMBASA FROM £850
SALOON CARS TO DAR/ MOMBASA FROM £750
AIR CARGO TO DAR £5 A KILO
AIR CARGO TO ZNZ £4 A KILO 
INCLUSIVE CLEARANCE
TO COLLECT CARGO LONDON FROM £25 
TO COLLECT CARGO OUTSIDE LONDON FROM £50
ONCE YOU PAY HERE IN UK YOU DONT PAY ANYTHING IN TANZANIA
(UKIISHA LIPA UK UNAKWENDA TU KUCHUKUA MZIGO WAKO)



Address in UK: Unit 12 Manor Way Business Centre
Marsh Way, Rainham, Essex
RM13 8UG

COLLECTION POINT IN DAR IS:
 DAR FREE MARKET, ALI HASSAN MWINYI ROAD
OYSTER BAY NEAR KENYAN EMBASSY & DSTV

Telephone: +44 (0) 1708554632
Instagram: @merulogistics 
Facebook: Meru Logistics

CUSTOMER SATISFACTION GURANTEED!!!
-- Regards, Jestina George Mobile +44 7557 304 940 Email: jestinageorge@gmail.com info@jestina-george.com website: www.jestina-george.com
RAIS DK. JOHN POMBE MAGUFULI AVAMIA TENA, SAFARI HII NI HOSPITALI YA MUHIMBILI

RAIS DK. JOHN POMBE MAGUFULI AVAMIA TENA, SAFARI HII NI HOSPITALI YA MUHIMBILI

November 09, 2015

jo1
Rais Dk. John Pombe Magufuli amevamia tena leo katika Hospitali ya taifa ya Muhimbili na kutembelea wagonjwa mbalimbali pamoja na kuzungumza nao, ili kujua matatizo wanayokabiliana nayo katika kupata huduma, Dk. Magufuli pia amemjulia hali Mkurugenzi wa Kituo cha  Sheria na  haki za binadamu LHRC Mama Hellen Kijo Bisimba ambaye amelazwa hospitalini hapo kutokana na majereaha aliyoyapata wakati alipopata ajali na gari lake maeneo ya Upanga jijini Dar es salaam na kulazwa hospitalini hapo.
jo2
Rais Dk. John Pombe Magufuli Mkurugenzi wa Kituo Sheria na  haki za binadamu LHRC Mama Hellen Kijo Bisimba ambaye amelazwa hospitalini hapo kutokana na majereaha aliyoyapata wakati alipopata ajali na gari lake maeneo ya Upanga jijini Dar es salaam na kulazwa hospitalini hapo.