Rais John Magufuli akimkabidhi Tuzo ya ushindi wa kipengele cha
mawasiliano ya Maonesho ya 41 ya Biashara ya Kimataifa sabasaba 2017 kwa
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tigo Tanzania, Simon Karikari, jijini Dar Es
Salaam jana. Kulia ni Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles
Mwijage. (Na Mpiga Picha Wetu).
LAPF YAIBUKA KIDEDEA KATIKA MIFUKO YA KIJAMII KWENYE MAONYESHO YA SABASABA
JUMIA TRAVEL KUZINDUA RIPOTI YA UTALII TANZANIA
Na Dotto Mwaibale
KATIKA jitihada za kuchochea ukuaji wa utalii na ukarimu nchini, kampuni ya Jumia Travel ambayo inajihusisha na huduma za hoteli mtandaoni inatarajia kuzindua ripoti itakayotoa mustakabali mzima wa sekta hiyo.
WATEJA WA TIGO KUFURAHIA MAWASILIANO YA BURE KWA MWAKA MZIMA
Meneja wa Mawasiliano Tigo, Woinde Shisael akielezea jambo wakati wa uzinduzi wa J'aza Ujazwe Ujaziwe zaidi' jijini Dar Es Salaam leo |
Waandishi wa habari wakichukua matukio wakati wa mkutano huo mapema leo.
MHE KISARE MAKORI AZINDUA BARAZA LA BIASHARA WILAYA YA UBUNGO
MKUU wa Wilaya ya Ubungo Jijini Dar es salaam Mhe Kisare Makori akizungumza wakati wa ufunguzi wa Baraza la Biashara la Wilaya ya Ubungo, Leo June 30, 2017
Wadau mbalimbali wa Baraza la Biashara la Wilaya ya
Ubungo, wakimsikiliza MKUU wa Wilaya ya Ubungo Mhe Kisare Makori Leo June 30, 2017 wakati wa ufunguzi wa Baraza la Biashara la Wilaya ya Ubungo
Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Ndg John Lipesi Kayombo akizungumza kwenye mkutano wa wadau wa Baraza la Biashara la Wilaya ya
Ubungo, Leo June 30, 2017
Katibu Tawala wa Wilaya ya Ubungo Ndg James Mkumbo akimsikiliza MKUU wa Wilaya ya Ubungo Jijini Dar es salaam Mhe Kisare Makori wakati akizungumza kwenye mkutano wa wadau wa Baraza la Biashara la Wilaya ya
Ubungo, Leo June 30, 2017Mwenyekiti wa TCCIA-Ubungo Ndg Clement Bocco akisikiliza hoja za wajumbe kwenye mkutano wa wadau wa Baraza la Biashara la Wilaya ya Ubungo, Leo June 30, 2017
MKUU wa Wilaya ya Ubungo Jijini Dar es salaam Mhe Kisare Makori (Kushoto) akiteta jambo na Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Ndg john Lipesi Kayombo wakati mkutano wa wadau wa Baraza la Biashara la Wilaya ya Ubungo, Leo June 30, 2017
Mwanasheria wa Manispaa ya Ubungo Ndg Merick Luvinga akifatilia mkutano wa wadau wa Baraza la Biashara la Wilaya ya Ubungo, Leo June 30, 2017
MKUU wa Wilaya ya Ubungo Jijini Dar es salaam Mhe Kisare Makori (Katikati) akizungumza wakati wa mkutano wa wadau wa Baraza la Biashara la Wilaya ya Ubungo, Kulia ni Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Ndg john Lipesi Kayombo na Mwingine ni Mwenyekiti wa TCCIA-Ubungo Ndg Clement Bocco, Leo June 30, 2017
Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Ndg John Lipesi Kayombo akimsikiliza kwa makini MKUU wa Wilaya ya Ubungo Jijini Dar es salaam Mhe Kisare Makori kwenye mkutano wa wadau wa Baraza la Biashara la Wilaya ya Ubungo, Leo June 30, 2017
Kushoto ni Afisa Utumishi Mkuu Manispaa ya Ubungo Ndg Ally Juma Ally, Mwingine ni Mchumi Mkuu Manispaa ya Ubungo Ndg Yamo Wambura wakimfatilia kwa makini MKUU wa Wilaya ya Ubungo Jijini Dar es salaam Mhe Kisare Makori kwenye mkutano wa wadau wa Baraza la Biashara la Wilaya ya Ubungo, Leo June 30, 2017
MHE KISARE MAKORI AZINDUA BARAZA LA BIASHARA WILAYA YA UBUNGO
MKUU wa Wilaya ya Ubungo Jijini Dar es salaam Mhe Kisare Makori akizungumza wakati wa ufunguzi wa Baraza la Biashara la Wilaya ya Ubungo, Leo June 30, 2017
Wadau mbalimbali wa Baraza la Biashara la Wilaya ya Ubungo, wakimsikiliza MKUU wa Wilaya ya Ubungo Mhe Kisare Makori Leo June 30, 2017 wakati wa ufunguzi wa Baraza la Biashara la Wilaya ya Ubungo
Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Ndg John Lipesi Kayombo akizungumza kwenye mkutano wa wadau wa Baraza la Biashara la Wilaya ya Ubungo, Leo June 30, 2017
Katibu Tawala wa Wilaya ya Ubungo Ndg James Mkumbo akimsikiliza MKUU wa Wilaya ya Ubungo Jijini Dar es salaam Mhe Kisare Makori wakati akizungumza kwenye mkutano wa wadau wa Baraza la Biashara la Wilaya ya Ubungo, Leo June 30, 2017
Mwenyekiti wa TCCIA-Ubungo Ndg Clement Bocco akisikiliza hoja za wajumbe kwenye mkutano wa wadau wa Baraza la Biashara la Wilaya ya Ubungo, Leo June 30, 2017
MKUU wa Wilaya ya Ubungo Jijini Dar es salaam Mhe Kisare Makori (Kushoto) akiteta jambo na Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Ndg john Lipesi Kayombo wakati mkutano wa wadau wa Baraza la Biashara la Wilaya ya Ubungo, Leo June 30, 2017
Mwanasheria wa Manispaa ya Ubungo Ndg Merick Luvinga akifatilia mkutano wa wadau wa Baraza la Biashara la Wilaya ya Ubungo, Leo June 30, 2017
MKUU wa Wilaya ya Ubungo Jijini Dar es salaam Mhe Kisare Makori (Katikati) akizungumza wakati wa mkutano wa wadau wa Baraza la Biashara la Wilaya ya Ubungo, Kulia ni Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Ndg john Lipesi Kayombo na Mwingine ni Mwenyekiti wa TCCIA-Ubungo Ndg Clement Bocco, Leo June 30, 2017
Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Ndg John Lipesi Kayombo akimsikiliza kwa makini MKUU wa Wilaya ya Ubungo Jijini Dar es salaam Mhe Kisare Makori kwenye mkutano wa wadau wa Baraza la Biashara la Wilaya ya Ubungo, Leo June 30, 2017
Kushoto ni Afisa Utumishi Mkuu Manispaa ya Ubungo Ndg Ally Juma Ally, Mwingine ni Mchumi Mkuu Manispaa ya Ubungo Ndg Yamo Wambura wakimfatilia kwa makini MKUU wa Wilaya ya Ubungo Jijini Dar es salaam Mhe Kisare Makori kwenye mkutano wa wadau wa Baraza la Biashara la Wilaya ya Ubungo, Leo June 30, 2017
Na Mathias Canal, Dar es salaam
MKUU wa Wilaya ya Ubungo Jijini Dar es salaam Mhe Kisare Makori leo June 30, 2017 amezindua Baraza la Biashara la Wilaya ya Ubungo.
Akihutubiwa wadau mbalimbali waliojitokeza kwenye Mkutano huo wa ufunguzi wa Baraza hilo uliofanyika katika Ukumbi wa Manispaa ya Ubungo uliopo Kibamba CCM, Mhe Makori alisema kuwa lengo la kuanzishwa kwa Baraza la Biashara la Taifa ni uwezeshaji wa wananchi kiuchumi na serikali kwa kushirikisha wadau mbalimbali.
Katika uzinduzi wa Baraza la Biashara Wilaya ya Ubungo Wadau mbalimbali wameshiriki kutoka Sekta binafsi, Mashirika yasiyo ya kiserikali na watu binafsi kutumia fursa zilizopo katika mazingira yanayowazungumza kwa kuwezeshwa kiuchumi.
Mhe Makori alisema kuwa kupitia Mabaraza ya Wilaya wananchi wataongeza uwezo wao wa ubunifu na uzalishaji na biashara ambapo kwa uwezeshaji huo wananchi watafikia matarajio yao ya kuwa na maisha bora.
Alisema kuwa ili kufikia lengo hilo sera mbalimbali zimetekelezwa ikiwa ni pamoja na kupitishwa kwa sera na sheria namba 16 ya uwezeshaji wananchi kiuchumi ya mwaka 2004, Kuundwa kwa baraza la Taifa la uwezeshaji kiuchumi mwaka 2015 na Uanzishwaji na uimarishwaji wa mifuko mbalimbali ya kuwezesha wananchi kiuchumi.
Alisema kuwa kutokana na upya wa Wilaya ya Ubungo ilitakiwa kuunda Baraza lake la Biashara likiwa chini ya Baraza la Mkoa na Taifa.
Mhe Kisare alisema kuwa Kuanzishwa kwa Mabaraza ya biashara ya Wilaya ni kuwa chombo cha mwanzo wa majadiliano kati ya sekta ya umma na sekta binafsi kwa lengo la kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji, Kuwa chombo cha kuratibu, kufuatilia na kutathimini utekelezaji wa Programu mbalimbali za maendeleo ya wananchi kiuchumi.
Kuanzishwa kwa mabaraza ya biashara Wilaya itakuwa ni sehemu ya kupeleka mafanikio ya ukuaji uchumi mpana katika ngazi ya chini ya uchumi wa jamii kwa kuwahusisha wananchi katika majadiliano ya kuibua fursa za uwekezaji kwa ajili ya kuzalisha ajira, kukuza kipato, kuongeza tija na kupunguza umasikini kuanzia ngazi ya Kijiji hadi Wilaya.
Awali akizungumza kabla ya Kufunguliwa kwa Baraza hilo Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Ndg John Lipesi Kayombo alisema kuwa Baraza la Biashara la Wilaya lina wajumbe arobaini kutoka sekta binafsi na ya Umma, kila sekta ikiwa na wajumbe ishirini kutokana na nyadhifa, nafasi na ujuzi.
Kayombo aliongeza kuwa Baadhi ya wajumbe wanapangwa kwenye kamati/vikundi kazi kwa kuzingatia maeneo ya kipaombele yanayopaswa kufanyiwa kazi.
Mkurugenzi Kayombo alisema kuwa Uzinduzi wa kuanzishwa kwa Baraza hilo ni utekelezaji wa agizo la kuanzishwa mabaraza ya Biashara ya Wilaya lililotolewa na Mwenyekiti wa Baraza la Biashara la Taifa Mhe Jakaya Mrisho Kikwete katika Mkutano wa tano wa Baraza hilo Disemba 4, 2008 uliofanyika Jijini Dar es salaam ambapo alisisitiza uundwaji huo kusimamiwa na Mabaraza ya Mikoa na Taifa.
IMETOLEWA NA;
KITENGO CHA HABARI NA UHUSIANO
HALMASHAURI YA MANISPAA YA UBUNGO
Wadau mbalimbali wa Baraza la Biashara la Wilaya ya Ubungo, wakimsikiliza MKUU wa Wilaya ya Ubungo Mhe Kisare Makori Leo June 30, 2017 wakati wa ufunguzi wa Baraza la Biashara la Wilaya ya Ubungo
Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Ndg John Lipesi Kayombo akizungumza kwenye mkutano wa wadau wa Baraza la Biashara la Wilaya ya Ubungo, Leo June 30, 2017
Katibu Tawala wa Wilaya ya Ubungo Ndg James Mkumbo akimsikiliza MKUU wa Wilaya ya Ubungo Jijini Dar es salaam Mhe Kisare Makori wakati akizungumza kwenye mkutano wa wadau wa Baraza la Biashara la Wilaya ya Ubungo, Leo June 30, 2017
Mwenyekiti wa TCCIA-Ubungo Ndg Clement Bocco akisikiliza hoja za wajumbe kwenye mkutano wa wadau wa Baraza la Biashara la Wilaya ya Ubungo, Leo June 30, 2017
MKUU wa Wilaya ya Ubungo Jijini Dar es salaam Mhe Kisare Makori (Kushoto) akiteta jambo na Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Ndg john Lipesi Kayombo wakati mkutano wa wadau wa Baraza la Biashara la Wilaya ya Ubungo, Leo June 30, 2017
Mwanasheria wa Manispaa ya Ubungo Ndg Merick Luvinga akifatilia mkutano wa wadau wa Baraza la Biashara la Wilaya ya Ubungo, Leo June 30, 2017
MKUU wa Wilaya ya Ubungo Jijini Dar es salaam Mhe Kisare Makori (Katikati) akizungumza wakati wa mkutano wa wadau wa Baraza la Biashara la Wilaya ya Ubungo, Kulia ni Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Ndg john Lipesi Kayombo na Mwingine ni Mwenyekiti wa TCCIA-Ubungo Ndg Clement Bocco, Leo June 30, 2017
Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Ndg John Lipesi Kayombo akimsikiliza kwa makini MKUU wa Wilaya ya Ubungo Jijini Dar es salaam Mhe Kisare Makori kwenye mkutano wa wadau wa Baraza la Biashara la Wilaya ya Ubungo, Leo June 30, 2017
Kushoto ni Afisa Utumishi Mkuu Manispaa ya Ubungo Ndg Ally Juma Ally, Mwingine ni Mchumi Mkuu Manispaa ya Ubungo Ndg Yamo Wambura wakimfatilia kwa makini MKUU wa Wilaya ya Ubungo Jijini Dar es salaam Mhe Kisare Makori kwenye mkutano wa wadau wa Baraza la Biashara la Wilaya ya Ubungo, Leo June 30, 2017
Na Mathias Canal, Dar es salaam
MKUU wa Wilaya ya Ubungo Jijini Dar es salaam Mhe Kisare Makori leo June 30, 2017 amezindua Baraza la Biashara la Wilaya ya Ubungo.
Akihutubiwa wadau mbalimbali waliojitokeza kwenye Mkutano huo wa ufunguzi wa Baraza hilo uliofanyika katika Ukumbi wa Manispaa ya Ubungo uliopo Kibamba CCM, Mhe Makori alisema kuwa lengo la kuanzishwa kwa Baraza la Biashara la Taifa ni uwezeshaji wa wananchi kiuchumi na serikali kwa kushirikisha wadau mbalimbali.
Katika uzinduzi wa Baraza la Biashara Wilaya ya Ubungo Wadau mbalimbali wameshiriki kutoka Sekta binafsi, Mashirika yasiyo ya kiserikali na watu binafsi kutumia fursa zilizopo katika mazingira yanayowazungumza kwa kuwezeshwa kiuchumi.
Mhe Makori alisema kuwa kupitia Mabaraza ya Wilaya wananchi wataongeza uwezo wao wa ubunifu na uzalishaji na biashara ambapo kwa uwezeshaji huo wananchi watafikia matarajio yao ya kuwa na maisha bora.
Alisema kuwa ili kufikia lengo hilo sera mbalimbali zimetekelezwa ikiwa ni pamoja na kupitishwa kwa sera na sheria namba 16 ya uwezeshaji wananchi kiuchumi ya mwaka 2004, Kuundwa kwa baraza la Taifa la uwezeshaji kiuchumi mwaka 2015 na Uanzishwaji na uimarishwaji wa mifuko mbalimbali ya kuwezesha wananchi kiuchumi.
Alisema kuwa kutokana na upya wa Wilaya ya Ubungo ilitakiwa kuunda Baraza lake la Biashara likiwa chini ya Baraza la Mkoa na Taifa.
Mhe Kisare alisema kuwa Kuanzishwa kwa Mabaraza ya biashara ya Wilaya ni kuwa chombo cha mwanzo wa majadiliano kati ya sekta ya umma na sekta binafsi kwa lengo la kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji, Kuwa chombo cha kuratibu, kufuatilia na kutathimini utekelezaji wa Programu mbalimbali za maendeleo ya wananchi kiuchumi.
Kuanzishwa kwa mabaraza ya biashara Wilaya itakuwa ni sehemu ya kupeleka mafanikio ya ukuaji uchumi mpana katika ngazi ya chini ya uchumi wa jamii kwa kuwahusisha wananchi katika majadiliano ya kuibua fursa za uwekezaji kwa ajili ya kuzalisha ajira, kukuza kipato, kuongeza tija na kupunguza umasikini kuanzia ngazi ya Kijiji hadi Wilaya.
Awali akizungumza kabla ya Kufunguliwa kwa Baraza hilo Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Ndg John Lipesi Kayombo alisema kuwa Baraza la Biashara la Wilaya lina wajumbe arobaini kutoka sekta binafsi na ya Umma, kila sekta ikiwa na wajumbe ishirini kutokana na nyadhifa, nafasi na ujuzi.
Kayombo aliongeza kuwa Baadhi ya wajumbe wanapangwa kwenye kamati/vikundi kazi kwa kuzingatia maeneo ya kipaombele yanayopaswa kufanyiwa kazi.
Mkurugenzi Kayombo alisema kuwa Uzinduzi wa kuanzishwa kwa Baraza hilo ni utekelezaji wa agizo la kuanzishwa mabaraza ya Biashara ya Wilaya lililotolewa na Mwenyekiti wa Baraza la Biashara la Taifa Mhe Jakaya Mrisho Kikwete katika Mkutano wa tano wa Baraza hilo Disemba 4, 2008 uliofanyika Jijini Dar es salaam ambapo alisisitiza uundwaji huo kusimamiwa na Mabaraza ya Mikoa na Taifa.
IMETOLEWA NA;
KITENGO CHA HABARI NA UHUSIANO
HALMASHAURI YA MANISPAA YA UBUNGO
Benki ya UBA yawavutia wateja katika maonyesho ya Sabasaba
Afisa wa Bank ya UBA Tanzania, Bi Mtinta Joseph Ringa pamoja na afisa wa bank Bw. Sihika Malunguja wakifurahi kumuhudumia mmoja wa wateja aliyetembelea banda la bank ya UBA Tanzania katika Maonyesho ya 41 ya kibiashara Tanzania yaliyoanza hivi karibu. Bank ya UBA inawakaribisha wateja wote kuweza kufika katika banda lao kwaajili ya kujipatia huduma mbalimbali za kibenki ikiwemo na kufungua akaunti na kujipatia kadi mpya ya Mastercard ambayo unaweza kuwa nayo bila kuwa na akaunti.
Afisa wa benki ya UBA Tanzania, Bw Fahimu Zuberi akimpatia maelezo kuhusiana na kadi mpya za mastercard mmoja wa wateja waliotembelea banda la benki hiyo lililopo katika banda la Sabasaba kwenye maonyesho ya 41 ya kibiashara ya kimataifa yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Nyerere vilivyopo barabara ya Kilwa Jijini Dar Es Salaam
Afisa wa benki ya UBA Tanzania, Bw Fahimu Zuberi akiendelea kumpatia maelekezo ya kina kuhusiana na kadi mpya mpya za mastercard ambazo mteja anaweza kuwa nayo bila kuwa na akaunti ya benki
Wafanyakazi wa benki ya UBA Tanzania waliopo kwenye banda lao katika maonyesho ya 41 ya kimataifa ya biashara wakiwa katika picha ya pamoja huku wakifurahia kuwahudumia baadhi ya wateja waliofika katika banda lao huku wakiwakaribisha wateja kufika katika banda lao na kujipatia huduma mbalimbali za kibenki. Picha zote na Josephat Lukaza - Lukaza Blog
--
................................................................................................
NAME: JOSEPHAT LUKAZA
Founder/C.E.O Lukaza Blog.
Website: http://www.josephatlukaza.com
"The First Blog In Tanzania to Bring Trophy in Tanzania"
Phone: +255 712 390 200
E-mails: Josephat.lukaza@gmail.com
Wafanyakazi wa Mohammed Enterprises (MeTL Group) wajitolea damu
Wafanyakazi wa kampuni ya Tanzania Match Industries Limited ambayo ni kampuni tanzu ya Mohammed Enterprises Tanzania Limited (MeTL Group) wamejitoa kusaidia maisha ya mamia ya Watanzania kwa kujitolea damu ambazo zitatumika katika hospitali mbalimbali nchini.
Katika tukio hilo la kujitolea damu ambalo lilifanyika kwenye ofisi za kampuni hiyo, wafanyakazi 40 walijitolea damu zao ambazo zitapelekwa kusaidia wagonjwa katika hospitalini zenye uhitaji mkubwa wa damu.
Akizungumzia umuhimu wa kutoa damu, Meneja Msaidizi wa Hospitali ya Sanitas, Dr. Sajjad Fazel alisema utoaji wa damu huo ni muhimu kwa kusaidia maisha ya watu wengine kwani hata chupa moja ya damu ina muhimu mkubwa na inaweza kusaidia kuoa maisha ya watu watatu.
“Kuna uhaba wa damu, kwa kila Mtanzania ahakikishe kuwa anaonyesha uzalendo na upendo wako kwa Watanzania wenzake kwa kuchangia damu na kuokoa maisha yao,” alisema Dk. Fazel.
Wafanyakazi wa kampuni ya Tanzania Match Industries Limited ambayo ni kampuni tanzu ya Mohammed Enterprises Tanzania Limited (MeTL Group) wakijitolea damu.
WASHIRIKI WA SHINDANO LA BONGO STYLE WAENDESHEWA SEMINA KUHUSU PICHA,MITINDO NA UANDISHI WA FILAMU
Bi. Joyce Msigwa ambaye ni Mratibu wa Faru Arts and Sports Development Organization (FASDO) akitoa maelezo kwa washiriki wa 'Bongo Style Competition' 2017, kuhusiana na asasi ya FASDO
Mwezeshaji Bw. Erick Chrispin akitoa semina kwa washiriki wa Bongo Style namna ya kujiongoza wenyewe katika maswala ya Fedha,Muda na uongozi.
Baadhi ya washiriki wa shindano la Bongo Style 2017, wakiwemo wapiga picha,waandishi wa miswada ya Filamu na wabunifu wa mitindo upande wa mavazi wakiwa wanafanya zoezi waliopewa na mwezeshaji Bw. Erick Chrispin (ambaye hayupo pichani)
Baadhi ya Washiriki wa Bongo Style Competition 2017 wakiwa wanafanya kazi waliyopewa na mwezeshaji Bw. Erick Chrispin (hayupo pichani) baada ya kumaliza semina yake.
Mkufunzi na Mtaalam wa maswala ya Picha Bw. Iddy John akitoa somo juu ya maswala ya picha kwa washiriki wa Shindano la Bongo Style kundi la Picha
Mbunifu maarufu wa Mitindo ya mavazi Martin Kadinda akitoa somo kwa washiriki kundi la mitindo
Washiriki wa kundi la Ubunifu wa mitindo upande wa mavazi wakipewa vitendea kazi.
Bi. Christina Pande(aliyesimama) ambaye ni Mtunzi na muongozaji wa Filamu, akiwapa darasa vijana ambao wapo katika kundi la Uandishi wa miswada ya Filamu shindano la Bongo Style 2017.
Picha zote na Fredy Njeje.
Subscribe to:
Posts (Atom)