Tayari elimu hiyo imeshatolewa na CCM katika Kanda za Nyanda za Juu Kusini, Kanda ya Kusini, Kanda ya Kaskazini, Kanda ya Kati na Leo ni Kanda ya Magharibi.
Akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Thobias Andengenye
Hamasa zilitawala wakati wa mapokezi hayo
Chongolo akisalimiana na Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Kigoma, Josephine Genzabuke,