Katibu
Mkuu Wizara ya Maji na Umwagiliaji,Prof Kitila Mkumbo akitia saini
katika kitabu cha wageni alipotembelea Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa
Mazingira mjini Moshi (MUWSA) kwa ajili ya uzinduzi wa mradi wa Maji
katika kijiji cha Newland.
Mkurugenzi
wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira mjini Moshi,(MUWSA) Joyce
Msiru akizungumza wakati wa utamburisho wa wajumbe wa Bodi ya Mamlaka
hiyo kwa katibu Mkuu wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji,Prof Kitila Mkumbo
alipotembelea Mamlaka hiyo.
Baadhi ya Wajumbe wa Bodi ya Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa MAzingira mjini Moshi (MUWSA) .
Mkurugenzi
wa Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira mjini Moshi (MUWSA) Joyce
Msiru akimkaribisha Katibu Mkuu Wizara ya Maji na Umwagiliaji
Prof,Kitila Mkumbo katika eneo la Shabaha kwa ajili ya uzinduzi wa tanki
la Maji linalohifadhi maji kwa ajili ya wakazi wa kijiji cha Newland.
Tenki la kuhifadhia Maji kwa ajili ya Mradi wa Maji yanayosambazwa katika kijiji cha Newland.
Katibu
Mkuu Wizara ya Maji na Utalii,Prof Kitila Mkumbo akizindua tenki la
Maji katika eneo la Shabaha kwa ajili ya wakazi wa kijiji cha
Newland.kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakuruenzi wa Mamlaka ya Maji
safi na Usafi wa Mazingira mjini Moshi,(MUWSA) Prof Faustine Bee na
kushoto mwa katbu Mkuu ni Mjumbe wa Bodi hiyo ,Bi Hajira Mmambe.