MECHI YA SIMBA, MTIBWA YAINGIZA MIL 102/-

September 15, 2013
NA BONIFACE WAMBURA,DAR ES SALAAM.
Mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kati ya Simba na Mtibwa Sugar iliyochezwa jana (Septemba 14 mwaka huu) katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam imeingiza sh. 95,080,000.

Watazamaji 16,507 walikata tiketi kushuhudia mechi hiyo namba 15 ya VPL msimu wa 2013/2014 iliyomalizika kwa wenyeji Simba kuibuka na ushindi wa mabao 2-0.

Viingilio katika mechi hiyo vilikuwa sh. 5,000, sh. 8,000, sh. 15,000 na sh. 20,000 huku kila klabu ikipata mgawo wa sh. 23,018,077.45 wakati Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) iliyolipwa ni sh. 14,503,728.81.

Mgawo mwingine wa mapato hayo ni asilimia 15 ya uwanja sh. 11,704,107.18, tiketi sh. 2,548,890, gharama za mechi sh. 7,022,464.31, Kamati ya Ligi sh. 7,022,464.31, Mfuko wa Maendeleo ya Mpira wa Miguu (FDF) sh. 3,511,232.15 na Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA) sh. 2,730,958.34.

MJINI MAGHARIBI MABINGWA COPA COCA-COLA

September 15, 2013
Na Boniface Wambura,Dar es Salaam.
Mjini Magharibi imetwaa ubingwa wa michuano ya Copa Coca-Cola kwa vijana wenye umri chini ya miaka 15 upande wa wavulana baada ya jana (Septemba 14 mwaka huu) kuifunga Ilala bao 1-0.

Mechi hiyo ya fainali ilichezwa Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume jijini Dar es Salaam. Ilala iliwavua ubingwa Morogoro baada ya kuwafunga kwenye mechi ya nusu fainali kwa kuivua ubingwa Morogoro katika mechi iliyoamriwa kwa mikwaju ya penalti.

Kwa upande wa wasichana, Mwanza ndiyo imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 kwa njia ya penalti dhidi ya Ilala. Hadi muda wa kawaida wa mchezo huo uliochezwa jana (Septemba 14 mwaka huu) jioni Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume, jijini Dar es Salaam timu hizo zilikuwa suluhu.

SIR JOHN, AN ENGLISH MEDIUM PRIMARY SCHOOL TO RECKON WITH

SIR JOHN, AN ENGLISH MEDIUM PRIMARY SCHOOL TO RECKON WITH

September 15, 2013

By Paskal Mbunga, Tanga        September 2013

Sir John English Medium Primary school is a new name among the residents of this city, but last week during the 8th graduation ceremony staged ait the school premises,  turned out to be a name to reckon with when its pupils displayed a mastery in the English language infront of their delighted parents.
 
The graduands were 36 out of which 20 were boys and 16 were girls who had boarded in the from Standard one to Standard  Seven when they completed their primary education after sitting for the Standard Seven National Examination, last week.
The parents were treated to a thrilling competition displayed by pupils of the school, ranging from debate, drama and wrestling all performed and directed in English language.  The well  spoken English language portrayed the command the pupils have in it.
The graduation festival had diversity of themes ranging from the current constitutional review proposals, why not make Sambaa, a national language and the abolition of canning in schools.
The pupils' good interpretations of the scripts into stage production were evident in both sections.  The stories and themes captured in the festival were well communicated to the audience.
The scripts were relevant to the pupils and the general public and most of them were of high standards.
A plea to parents to embrace modeling as a rewarding career for their children was well echoed when every pupil on stage boasted of the attire he or she had put on, but had also not only praisedi the designer of the cloth but most of them showed the desire to become cloth designers.
The guest of honour, the Tanga District Administrative Secretary, Patrice Marceline appealed to parents to fulfill their obligations in the educational field by cooperating with the school management in maintaining a brilliant behaviour for the good reputation of thei children as well as the school.
Earlier, the Principal of the school, Kafuku Mdaki called on the government to create conducive environment for teaching so that the profession can draw more teachers into the job.
"How serious are the parents and the government on the teaching profession", he asked, while appealing to them to focus  on how the teachers are nurtured, recruited and treated.
One of the parents echoed the importance of discipline on the pupils as well as the parents, saying that without discipline, the survival of many schools is at stake.
Engineer John Mgeyekwa, the Managing Director, UWASA said discipline is no longer observed in many schools because teachers were let down by parents who do not take action on their misbehaved children.
(ends)
0716655098/0784126184