UPIMAJI AFYA KWA HIARI WAFANA TANGA

February 12, 2017




Wakazi wa Tanga wakijisajili kupima afya zao kwa hiari  zoezi lililofanyika viwanja wa Mkwakwani jana.






Mratibu wa magonjwa yasiyoambukiza hospitali ya Bombo Tanga, Dr, Yassin Salim, akichukua maelezo kutoka kwa Mohammed Omar wakati w aupimaji afya kwa hiari zoezi lililofanyika uwanja wa Mkwakwani jana.

Rais Magufuli aandaa sherry Party kwa Mabalozi na Wawakilishi wa Mashirika ya Kimataifa

February 12, 2017