Na Mwandishi Wetu,Tanga.
MWENYEKITI wa Klabu ya Yanga,Yusuph Maji kesho anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa tawi la Yanga mkoa wa Tanga lilopo Chumbageni mtaa wa Mwanzang'ombe jijini Tanga.
Akizungumza na blogg hii,Mwenyekiti wa Tawi hilo,Adam Daudi alisema maandalizi ya ufunguzi huo yamekamilika kwa asilimia kubwa ambapo shamra shamra hizzo zitaanza saa mbili asubuhi.
Daudi alisema tawi hilo linawanachama hai 105 ambapo mpaka kufikia mwezi desemba mwaka huu wanatarajiwa wanachama hao kuongezeka idadi yao na kufikia 1000.
Mwenyekiti huyo alisema tawi hilo linaviongozi mbalimbali wakiwamoDavid Manyilizu ambaye ni katibu wa tawi hilo,katibu msaidizi Ally Mohamed,Mweka Hazina Mohamed Chandima.
Wajumbe katika tawi hilo ni Abdi Kambutu,Kassimiri kifaru,Hassan Mahundi,Omari Hassani na Maalim Bin Nuh
MWENYEKITI wa Klabu ya Yanga,Yusuph Maji kesho anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa tawi la Yanga mkoa wa Tanga lilopo Chumbageni mtaa wa Mwanzang'ombe jijini Tanga.
Akizungumza na blogg hii,Mwenyekiti wa Tawi hilo,Adam Daudi alisema maandalizi ya ufunguzi huo yamekamilika kwa asilimia kubwa ambapo shamra shamra hizzo zitaanza saa mbili asubuhi.
Daudi alisema tawi hilo linawanachama hai 105 ambapo mpaka kufikia mwezi desemba mwaka huu wanatarajiwa wanachama hao kuongezeka idadi yao na kufikia 1000.
Mwenyekiti huyo alisema tawi hilo linaviongozi mbalimbali wakiwamoDavid Manyilizu ambaye ni katibu wa tawi hilo,katibu msaidizi Ally Mohamed,Mweka Hazina Mohamed Chandima.
Wajumbe katika tawi hilo ni Abdi Kambutu,Kassimiri kifaru,Hassan Mahundi,Omari Hassani na Maalim Bin Nuh