KLABU
ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya KOngo (DRC) imemsajili beki
wa kati anayeweza kucheza kama kiungo pia, Badibake Mpongo.
Mchezaji huyo wa Sanga Balende amesaini Mkataba wa miaka mitatu kuhamia kwa mabingwa wa DRC, baada ya klabu yake kumalizana na Mazembe.
Na huyo anakuwa mchezaji wa tatu kusajiliwa na mabingwa wa Ligi Kuu ya DRC ambao kikosi wana Watanzania wawili, Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu.
Mchezaji huyo wa Sanga Balende amesaini Mkataba wa miaka mitatu kuhamia kwa mabingwa wa DRC, baada ya klabu yake kumalizana na Mazembe.
Na huyo anakuwa mchezaji wa tatu kusajiliwa na mabingwa wa Ligi Kuu ya DRC ambao kikosi wana Watanzania wawili, Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu.
Badiabake Mpongo kulia ametua TP Mazembe |
Mazembe
inaimarisha kikosi chake kuelekea msimu ujao wa Ligi Kuu ya DRC maarufu
kama Linafoot na klabu imefurahia ujio wa mchezaji huyo ‘fundi’.
Kwa upande wake, Mpongo amesema; “Ni heshima kubwa kwangu kujiunga na TPM, klabu ambayo ni faraja ya nchi. Sasa naelekeza fikra zangu katika kucheza na kushinda mataji hapa,”amesema Badibake Mpongo, ambaye tayari ameanza mazoei na The Ravens.
Kwa upande wake, Mpongo amesema; “Ni heshima kubwa kwangu kujiunga na TPM, klabu ambayo ni faraja ya nchi. Sasa naelekeza fikra zangu katika kucheza na kushinda mataji hapa,”amesema Badibake Mpongo, ambaye tayari ameanza mazoei na The Ravens.
MAONESHO YA WIKI YA
NENDA WA SALAMA TANGA.JAMII YATAKIWA KUJIWEKEA AKIBA NA GEPF. Afisa
Masoko,Usajili na Ukusanyaji wa mfuko wa hifadhi ya jamii wa GEPF Bw
Eric Haule akiwa kwenye banda la mfuko huo ndani ya viwanja vya
Tangamano jijini Tanga yanakoendelea maonesho ya wiki ya nenda kwa
usalama barabarani kitaifa. Na Godwin Lyakurwa .TANGA. Jamii imetakiwa
kuwa na utamaduni wa kujiwekea akiba kupitia mifuko ya hifadhi ya jamii
itakayo wasaidia pindi wanapokabiliwa na majanga mbalimbali kama ajali
za barabarani ambazo husababisha majeraha na ulemavu wa kudumu. Hayo
yamesemwa na Afisa Masoko,Usajili na Ukusanyaji wa mfuko wa hifadhi ya
jamii wa GEPF Bw Eric Haule wakati akizungumza na kituo hiki kwenye
banda la mfuko huo katika maonesho ya wiki ya nenda kwa usalama
barabarani yanayoendelea kwenye viwanja vya Tangamano jiji Tanga.
Amesema ukweli ni kuwa hakuna mtu ajiuaye kesho yake kwani majanga ya
ajali kuweza kumkuta muda wowote hivyo akiba ni muhimu. Afisa huyo
amesema wanashiriki maonesho hayo ili kutoa elimu kwa watumiaji wa
barabara juu ya kujiwekea akiba itakayosaidia baada ya kukumbwa na
ajaili hivyo kila mwananchi anakaribishwa kwenye banda lao lililoko
ndani ya viwanja vya maonesho hayo. Mfuko wa hifadhi ya Jamii wa GEPF
unapokea wanachama wa hiyari na lazima ambao hujiwekea akiba kwa mujibu
wa sheria.
Copy and WIN : http://ow.ly/KNICZ
Copy and WIN : http://ow.ly/KNICZ
Copy and WIN : http://ow.ly/KNICZ
MAONESHO YA WIKI YA
NENDA WA SALAMA TANGA.JAMII YATAKIWA KUJIWEKEA AKIBA NA GEPF. Afisa
Masoko,Usajili na Ukusanyaji wa mfuko wa hifadhi ya jamii wa GEPF Bw
Eric Haule akiwa kwenye banda la mfuko huo ndani ya viwanja vya
Tangamano jijini Tanga yanakoendelea maonesho ya wiki ya nenda kwa
usalama barabarani kitaifa. Na Godwin Lyakurwa .TANGA. Jamii imetakiwa
kuwa na utamaduni wa kujiwekea akiba kupitia mifuko ya hifadhi ya jamii
itakayo wasaidia pindi wanapokabiliwa na majanga mbalimbali kama ajali
za barabarani ambazo husababisha majeraha na ulemavu wa kudumu. Hayo
yamesemwa na Afisa Masoko,Usajili na Ukusanyaji wa mfuko wa hifadhi ya
jamii wa GEPF Bw Eric Haule wakati akizungumza na kituo hiki kwenye
banda la mfuko huo katika maonesho ya wiki ya nenda kwa usalama
barabarani yanayoendelea kwenye viwanja vya Tangamano jiji Tanga.
Amesema ukweli ni kuwa hakuna mtu ajiuaye kesho yake kwani majanga ya
ajali kuweza kumkuta muda wowote hivyo akiba ni muhimu. Afisa huyo
amesema wanashiriki maonesho hayo ili kutoa elimu kwa watumiaji wa
barabara juu ya kujiwekea akiba itakayosaidia baada ya kukumbwa na
ajaili hivyo kila mwananchi anakaribishwa kwenye banda lao lililoko
ndani ya viwanja vya maonesho hayo. Mfuko wa hifadhi ya Jamii wa GEPF
unapokea wanachama wa hiyari na lazima ambao hujiwekea akiba kwa mujibu
wa sheria.
Copy and WIN : http://ow.ly/KNICZ
Copy and WIN : http://ow.ly/KNICZ
Copy and WIN : http://ow.ly/KNICZ