Mratibu wa Maafa Ofisi ya Waziri
Mkuu, Edgar Senga akieleza uratibu wa shughuli za maafa kwa wananchi
waliotembelea Banda hilo katika Maonesho ya Nane Nane yanayoendelea
katika viwanja vya Ngongo mkoani Lindi, Tarehe 7 Agosti , 2015.
Wanafunzi wa shule ya Sekondari ya
Wavulana ya Ndada wakipata maelezo juu ya sera baina ya Ubia kati ya
Sekta ya Umma na Sekta Binafsi kutoka kwa Mchumi wa Ofisi ya Waziri
Mkuu, Idara ya Maendeleo ya Sekta Binafsi, Uwekezaji na Uwezeshaji ,
Vedastus Manumbu walipotembelea Banda hilo katika Maonesho ya Nane Nane
yanayoendelea katika viwanja vya Ngongo mkoani Lindi, Tarehe 7 Agosti ,
2015