Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti
wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) mara walipoingia katika
ukumbi wa mikutano wa Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Unguja leo
katika kikao cha kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM NEC ya
Zanzibar,(kulia) Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai na
Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi(kushoto)
Picha zote na Ikulu.
Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai alipokuwa akitoa taarifa ya kikao kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM NEC ya Zanzibar kwa
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo
Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein katika ukumbi wa
mikutano wa Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Unguja leo kbla ya
kukifungua kikao hicho,
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti
wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) alipokuwa akikifungua kikao cha kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM NEC ya Zanzibar leo katika
ukumbi wa mikutano wa Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Unguja,(kulia)
Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai na Makamo wa Pili wa
Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi(kushoto)
Baadhi ya wajumbe wa kikao
cha kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM NEC ya Zanzibar
wakifuatuilia kwa makini ratiba ya kikao hicho kilichofanyika leo katika
ukumbi wa Ofisi ya CCM Kisiwandui Mjini Unguja,
Baadhi ya wajumbe wa kikao
cha kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM NEC ya Zanzibar
wakifuatuilia kwa makini ratiba ya kikao hicho kilichofanyika leo katika
ukumbi wa Ofisi ya CCM Kisiwandui Mjini Unguja,