Rais Jakaya Mrisho kikwete akimsikiliza Meneja wa Klabu bingwa wa Kombe la Kagame na
mabingwa wa
Tanzania Azam FC walipofika Ikulu jijini Dar es salaam kumkabidhi kombe
hilo Ikulu jijini Dar es salaam leo Agosti 6, 2015
Rais Jakaya Mrisho kikwete pozi
na mabingwa Kombe la Kagame na mabingwa wa Tanzania Azam FC walipofika
Ikulu jijini Dar es salaam kumkabidhi kombe hilo Ikulu jijini Dar es
salaam leo Agosti 6, 2015
Rais Jakaya Mrisho kikwete akikabidhiwa kombe la ubingwa michuano ya Kagame ya CECAFA na nahodha wa
mabingwa wa
Tanzania Azam FC walipofika Ikulu jijini Dar es salaam kumkabidhi kombe
hilo Ikulu jijini Dar es salaam leo Agosti 6, 2015
Rais Jakaya Mrisho kikwete akikabidhiwa kombe la ubingwa michuano ya Kagame ya CECAFA na nahodha wa
mabingwa wa
Tanzania Azam FC walipofika Ikulu jijini Dar es salaam kumkabidhi kombe
hilo Ikulu jijini Dar es salaam leo Agosti 6, 2015
PICHA NA IKULU